Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Mwamunyange CDF mstaafu alikuwa Mkuu wa JKT by then and later he was appointed by Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa majeshi .

I remember Mwamunyange ali-replace nafasi ya Mej jenerali Makame Rashid aliyestaafu ukuu wa JKT kabla hajateuliwa kuwa Balozi.
I remember Mwamunyange akiwa Mkuu wa JKT akim-replace Major general Makame Rashid..... nilikuwa pale Ruvu JKT ( intake ya 2001 mwezi October) tukiwa kuruta 2000 tu tz nzima . 1000 Ruvu JKT ....nikiwa Eagle coy , na 1000 wengine makutupora Dodoma.

Kwa hiyo sio kweli kuwa kwa tz wanaangalia kutoka makao makuu tu ya jeshi , SIO KWELI.

NB: WALE WA KWA DOSA, VIBWENDE tujuane
 
A Very short-sighted mind argument.

Siyo kila mtu ambaye amevaa sare (uniform) za Jeshi ni Mwanajeshi, lakini pia, siyo kila Mwanajeshi ni lazima avae uniform za Jeshi ili kujitambulisha kwa watu wengine kuhusu Uanajeshi wake. Aidha, siyo kila mtu ambaye ni Mwanajeshi kwa hapa Tanzania ni yule tu ambaye amepitia mafunzo ya kijeshi ndani ya Majeshi ya Tanzania, Usione Ukadhani!
100% ...salute kwako
 
Mwamunyange nlikua sijui hii, shukrani sana.
Mwamunyange anabakia mtu pekee kuwa Mkuu wa JKT na Mkuu wa JWTZ
IMG_0775.jpeg
 
Wewe haujaelewa kitu,chukulia mfano jkt,si inaongozwa na kiongozi kutoka Jw,na iko jeshi la akiba pia,lipo chini ya Jw.
JKT ni JWTZ, kitu ambacho hujajua JKT ni chuo cha mafunzo (maandalizi) tu, wale ma kuruta na private ndio jkt, akishaajiriwa ni JWTZ au TPDF,mengine ni vitengob tu. Mavazi, vitambulisho na kila kitubni TPDF. jkt ina baki kama kituo cha mafunzo na uzalishaji tu
 
Ni kwasababu sisi hatuna specialization toka mwanzo, wenzetu wakiingia jeshini tu wanaspecialize mapema sana, kama wewe ni Navy utakaa navy ufanye kozi za huko hadi utakapostafu, lakini kwa bongo kila askari anaanza kama askari wa nchi kavu, hata maofisa 97% wanafanya kozi ya infantria.. unaweza kukuta hata CDF wa sasa katokea MMJ lakini kuna muda alikuaga Land force.
Mimi naona sahihi kupata mafunzo ya infantry kila mwanajeshi.

Fikiria rubani wa air Force ametua porini na parachute baada ya kutungiliwa au ndege kuleta shida ata survive vipi kwa muda mrefu kabla ya kuokolewa?
Askari wa Navy ata survive vipi porini au kisiwani baada ya kupata ajali au kudhibitiwa na adaui akakimbilia nchi kavu Kama lile tukio la wa Cuba waasi kwenye kisa cha Bay of pigs?
 
Sio kweli Mkuu, Kamandi ya JKT mkuu ni Meja Jenerali R. Mabele. Labda kama ulikua unamaanisha Mkuu wa Kikosi ndio mara nyingi wanakuwa na cheo cha Kanali.
Lakini Kamandi zote wakuu wake wana cheo cha Meja Jenerali kasoro Kamandi ya Jeshi la Akiba nadhani ni Mkuu wake ni Kanali
Aliyepo ni Brg. Gen
 
Kuna komandi zingine nadhani zina limitation ya cheo cha juu, kwahiyo hata ukitaka kumpa U CDF ni lazima uanze kumpandisha vyeo zaidi ambalo litamfanya awe overqualified kwenye hiyo command na kulazimika kuamishiwa Komandi nyingine.
Kama nipo sahihi Komandi kama JKT maximum rank ni Kanali, nili observe hilo nilipo kua Jitegemee kitambo
Maximum rank Kwa wakuu wote wa kamandi ni MAJOR GENERAL
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Je mboma alitokea wapi
 
Nahis kama unaongea vitu hata huvijui, ila badala ya kuomba kuelimishwa unajitia ujuaji.

Kwanza kabisa ushasema utaratibu wa Kenya. Bas jua na Tanzania wana utararibu wao. Wao wanakwemda Tz wanaweza wakawa wanaangalia vigezo vingine.

Japo kwa kumalizia tu faham kwamba

1. Mbona alikua Airwing
2. Mwamunyange alitokea JkT

Wengine sifahamu
 
Ni kwasababu sisi hatuna specialization toka mwanzo, wenzetu wakiingia jeshini tu wanaspecialize mapema sana, kama wewe ni Navy utakaa navy ufanye kozi za huko hadi utakapostafu, lakini kwa bongo kila askari anaanza kama askari wa nchi kavu, hata maofisa 97% wanafanya kozi ya infantria.. unaweza kukuta hata CDF wa sasa katokea MMJ lakini kuna muda alikuaga Land force.
Siyo kwamba majeshi yote lazima mjeshi ale kwanza kozi ya infantry?
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Mbona CDF Mwanyange alitokea JKT
 
Nahis kama unaongea vitu hata huvijui, ila badala ya kuomba kuelimishwa unajitia ujuaji.

Kwanza kabisa ushasema utaratibu wa Kenya. Bas jua na Tanzania wana utararibu wao. Wao wanakwemda Tz wanaweza wakawa wanaangalia vigezo vingine.

Japo kwa kumalizia tu faham kwamba

1. Mbona alikua Airwing
2. Mwamunyange alitokea JkT

Wengine sifahamu
Ni kweli sio vyote najua ndio maana tupo hapa kijuzana.
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Unazungumzia Tonji Rule......

Rotation
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF…
Sasa mbona tangu uhuru wamekuwa wakipokezana maraisi kutoka kabila mbili tu?
 
Back
Top Bottom