Othman Qadir
Member
- Apr 19, 2024
- 35
- 82
Mwamunyange CDF mstaafu alikuwa Mkuu wa JKT by then and later he was appointed by Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa majeshi .
I remember Mwamunyange ali-replace nafasi ya Mej jenerali Makame Rashid aliyestaafu ukuu wa JKT kabla hajateuliwa kuwa Balozi.
I remember Mwamunyange akiwa Mkuu wa JKT akim-replace Major general Makame Rashid..... nilikuwa pale Ruvu JKT ( intake ya 2001 mwezi October) tukiwa kuruta 2000 tu tz nzima . 1000 Ruvu JKT ....nikiwa Eagle coy , na 1000 wengine makutupora Dodoma.
Kwa hiyo sio kweli kuwa kwa tz wanaangalia kutoka makao makuu tu ya jeshi , SIO KWELI.
NB: WALE WA KWA DOSA, VIBWENDE tujuane
I remember Mwamunyange ali-replace nafasi ya Mej jenerali Makame Rashid aliyestaafu ukuu wa JKT kabla hajateuliwa kuwa Balozi.
I remember Mwamunyange akiwa Mkuu wa JKT akim-replace Major general Makame Rashid..... nilikuwa pale Ruvu JKT ( intake ya 2001 mwezi October) tukiwa kuruta 2000 tu tz nzima . 1000 Ruvu JKT ....nikiwa Eagle coy , na 1000 wengine makutupora Dodoma.
Kwa hiyo sio kweli kuwa kwa tz wanaangalia kutoka makao makuu tu ya jeshi , SIO KWELI.
NB: WALE WA KWA DOSA, VIBWENDE tujuane