Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Hivi na huko majeshini mpo wenye kupenda masifa ya kisomo kama kule kwa kina Rweyemamu . Maana nimeona unavyojinasibu na hizo University zenu.

Anyway my mind count that, lack of security consciousness for some individuals like you is a very big challenge.
Imagine a layman like me I'm egger to know much of what you have disclosed.

I think one day you will comment and tell the strategies of your organisation before its maturity
Alafu usiwe na gubu kama mdada aliyepigwa Bao moja na sharobaro ,hapo Kuna sehem mtu kajinasibu na mambo ya university? Ndomana watz wengi ni mbumbumbu vitu common kama hivi unataka kusema ni Siri eti nime disclose information,acha ujinga narudia Tena vitu kama hivi hata kwenye majarida ya jeshi yapo
 
Mkuu wa Bodi gani tena mara ya mwisho namskia alikua Balozi wa Tanzania nchini Urusi sijajua kwa sasa Mzee wangu yupo wapi?
Alivyotolewa Russia aliyemrithi alikuwa meja jenerali mstaafu Simon mumwi ,kisamba ni mwenyekiti ya bodi shirika la nyumbu ila kama atakuwa katolewa sawa ila hiyo ndo position ambayo naijua anayo mpaka sasa japo changes bongo zinatokea muda wwte
 
Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
Kati yako na amiri jeshi ni nani anayelijua jeshi?
 
Kwanza kwa Tanzania, ni vigezo gani hutumika ktk kumteua mtu Mwanajeshi kuwa Mkuu wa Majeshi(CDF)?? Je, uchawa haupo kabisa kwenye vigezo vya kuweza kuteuliwa kuwa CDF hapa Tz?

Jaribu tu kufikiria, kama Paul Makonda na umbumbumbu wake pamoja na uhalifu wake alionao ameweza kuteuliwa kushika nyadhifa kubwa kubwa hapa Tanzania Huku wakiachwa watu wengine wengi ambao ni Wasomi, waadilifu na weledi, Je, inashindikana nini kumteua CDF kwa kufuata utaratibu kama huo ambao unaulalamikia????
Nyadhifa kubwa ipi ambayo makonda aliwahi kupewa.?
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.

Amiri Jeshi mkuu ambaye ni Rais ana mteua kua CDF yoyote anayeona anamfaa kati ya hao wakuu wa kamandi
 
Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
Jeshi ni la wananchi. Sio dhambi wananchi kulijua jeshi lao. Ni muhimu sana.
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Kupokezana kwa kamandi ni utaratibu wa hovyo. Kuna kamandi zina askari wengi zaidi hivyo kuna kuwa na maafisa wengi pia wa ngazi za juu humo ndipo tunapata CDF.

Tuendelee na utaratibu wetu.
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Ule utaratibu kwa upande wangu sio mzuri kwa sababu unamlazimisha Rais kumteua mkuu wa majeshi hata asiyemtaka.
Pia ni rahisi sana watu kufanyiaba hujuma.
Vilevile unaweza sababisha mtu mzuri kukosa nafasi kwa sababu sio zamu ya kamandi yao kutoa CDF.
 
Usiwe mpumbavu hizi siyo Siri ni basic knowledge ambazo hata mtu mwenye passion anazijua ,jifunze kutafuta maarifa na usiwe mjinga wa kushindwa kutofautisha basic knowledge kama hizi
Kwa wewe ni basic knowledge. Halafu ukute wewe ni mtu na mavyeo yake kabisa
 
Ni kweli usemayo lakini mbona haijatokea nafasi hiyo ikamkuta akiwa katika Kamandi nyinginezo?
Nadhani Raisi ambaye ndio Jemedari Mkuu ndio mwenye maamuzi.
Kwa mfano kulikuwa na Kanali Abdallah Twalipo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi sasa inaitwa Kagera.
Mara tukasikia Kapandishwa VYEO kutoka Kanali kuwa Major General na kuhamishiwa makao makuu ya jeshi na kuwa CDF nafasi iliokuwa ikashikiliwa na Major General Sarakikya.
Major General Sarakikya akateuliwa kuwa waziri wa utamaduni na michezo.
Swali Kanali Twalipo hadi anakuwa CDF katokea kamandi ipi?
 
Ni kwasababu sisi hatuna specialization toka mwanzo, wenzetu wakiingia jeshini tu wanaspecialize mapema sana, kama wewe ni Navy utakaa navy ufanye kozi za huko hadi utakapostafu, lakini kwa bongo kila askari anaanza kama askari wa nchi kavu, hata maofisa 97% wanafanya kozi ya infantria.. unaweza kukuta hata CDF wa sasa katokea MMJ lakini kuna muda alikuaga Land force.
🫡🫡
 
Alafu usiwe na gubu kama mdada aliyepigwa Bao moja na sharobaro ,hapo Kuna sehem mtu kajinasibu na mambo ya university? Ndomana watz wengi ni mbumbumbu vitu common kama hivi unataka kusema ni Siri eti nime disclose information,acha ujinga narudia Tena vitu kama hivi hata kwenye majarida ya jeshi yapo
Hata kama ni common, lakini una viashiria vya uropokaji na hutoshi kuaminiwa. Your mind is very limited. Wenye akili wameelewa. Bahati mbaya sana humu mnatumia fake name, nina uhakika wakubwa wako wangekufahamu wangekuweka mbali na nyaraka. Labda uwe tu msimamizi wa jiko
 
Back
Top Bottom