Mimi tuko tofauti kidogo, kila mtu aspecialize kwake mapema kama majeshi ya wenzetu, unakuta mtu kafanya kozi ya infantry, vifaru , na navy lkn mwisho wa siku anatumia ujuzi mmoja tu, jeshi linakua linaingia gharama kubwa kuwafundisha vitu ambavyo hawavitumiaa.. kuhusu ikitokea umetekwa au pilot kuangukia porini, ukishakua mwanajeshi haijalishi ni airforce , navy au landforce lazima uweze kujua kutumia personal weapon , uwe na uwezo wa kutembea some Kms, uwe na uvumilivu wa kusurvive kwenye harsh environment,, haikuhitaji kuwa askari wa miguu kujua haya mambo.