Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

C
Mkuu, vigezo vya 'seniority' vilizingatiwaje namna ya kumpata Cdf Gen Twalipo na Gen Mkunda?

Embu tupe dokezo nini kiliwafanya kupandishwa ghafla na kurukia uCdf wakati ma Senior wao walikuwepo?
Ndio sidhani kama 'seniority' ina matter sana maana mwaka 2020 wakati General Mkunda akiwa Brigedia kuna yule aliyekuwa Mkuu wa TMA wakati huo Meja Jeneral Ibrahim Mhona alikua tayari ni Senior kwake ata Meja Jeneral Charles Mbuge nae alikua tayari ameshavaa cheo akawa Mkuu wa JKT
 
C

Ndio sidhani kama 'seniority' ina matter sana maana mwaka 2020 wakati General Mkunda akiwa Brigedia kuna yule aliyekuwa Mkuu wa TMA wakati huo Meja Jeneral Ibrahim Mhona alikua tayari ni Senior kwake ata Meja Jeneral Charles Mbuge nae alikua tayari ameshavaa cheo akawa Mkuu wa JKT
Hivi kipindi hicho Gen. Mkunda akiwa 202 faru pale kama Brg. Gen kule TMA commandant siyo alikuwa Brg. Gen J Mwaseba?
 
Kwanza kwa Tanzania, ni vigezo gani hutumika ktk kumteua mtu Mwanajeshi kuwa Mkuu wa Majeshi(CDF)?? Je, uchawa haupo kabisa kwenye vigezo vya kuweza kuteuliwa kuwa CDF hapa Tz?

Jaribu tu kufikiria, kama Paul Makonda na umbumbumbu wake pamoja na uhalifu wake alionao ameweza kuteuliwa kushika nyadhifa kubwa kubwa hapa Tanzania Huku wakiachwa watu wengine wengi ambao ni Wasomi, waadilifu na weledi, Je, inashindikana nini kumteua CDF kwa kufuata utaratibu kama huo ambao unaulalamikia????
👌👍👏👊🤝🙏📝🆒
 
Mkuu kuna sehemu umesema Kuna Jenerali aliteuliwa kuwa balozi wa France lakini France wakamkataa

Kwanini walimkataa huyo Balozi?
Nadhani waliona siyo sahihi 4 star general kuwa balozi nchini kwao ...ila hapa sababu kama hizi zinakaa zaidi kiintelijensia na usalama wa nchi yao au waliona hawataendana naye

Unajua wenzetu Huwa wanachunguza sana tabia za watu tunaowapelekea hasa maisha ya kawaida kijeshi etc naweza sema Kwa 95% Huwa hawakurupuki kama sisi nchi zetu za kiafrika

Japo sababu maalum wanabaki wao kuijua ,hizi nilizotoa ni mawazo yangu binafsi kutokana na uzoefu mdogo nilio nao kupitia kusoma sehem mbalimbali na kuuliza maswali kadhaa ..
 
Nadhani waliona siyo sahihi 4 star general kuwa balozi nchini kwao ...ila hapa sababu kama hizi zinakaa zaidi kiintelijensia na usalama wa nchi yao au waliona hawataendana naye

Unajua wenzetu Huwa wanachunguza sana tabia za watu tunaowapelekea hasa maisha ya kawaida kijeshi etc naweza sema Kwa 95% Huwa hawakurupuki kama sisi nchi zetu za kiafrika

Japo sababu maalum wanabaki wao kuijua ,hizi nilizotoa ni mawazo yangu binafsi kutokana na uzoefu mdogo nilio nao kupitia kusoma sehem mbalimbali na kuuliza maswali kadhaa ..
Shukrani

Je uzoefu wako au kumbukumbu zako sisi tulishawahi mkataa Balozi yoyote? Au tunawapokeaga?
 
Hili naweza jibu ,katika muundo wa jeshi letu kamandi ya nchi kavu ni jeshi mama ,askari yyte bila kujali kamandi yake lazima awe na basic infantry course ,kwaiyo ukishafika hizo position za juu mfano Chief of staff au CDF ceremonial dress ,number 3 ,combat etc utavaa za nchi kavu kama kiwakilishi cha jeshi la nchi kavu kuwa jeshi mama
Land Force ndio kila kitu katika uwanja wa mapambano. Hizo kamandi nyingine ni supportive.
 
Mkuu! Kwani Makao Makuu si ndiyo kuna Wakuu wa Kamandi zote au?
Lakini ngoja waje wataalamu wa mambo ya kijeshi waseme vizuri.
Huyu mleta uzi kashindwa tu kueleza kule Kenya mkuu wa majeshi huwa anateuliwa kwa kuzunguka kutoka kwenye majeshi makuu matatu lakini yote ya ulinzi ,kuna jeshi la wanamaji, kuna jeshi la nchi kavu na kuna jeshi la anga,sasa kwa utaratibu wao kila jeshi hupewa zamu ya kutoa kamanda mkuu wa jeshi kwa zamu.
 
JKT ni JWTZ, kitu ambacho hujajua JKT ni chuo cha mafunzo (maandalizi) tu, wale ma kuruta na private ndio jkt, akishaajiriwa ni JWTZ au TPDF,mengine ni vitengob tu. Mavazi, vitambulisho na kila kitubni TPDF. jkt ina baki kama kituo cha mafunzo na uzalishaji tu
Ahsantee kwa hili somo. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom