Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,023
Waafrk ni waajb sana! Mbon kl cku wa2 wana SLM na hamuwatj au kiss hwn mjn?!Tupe maelezo yako ya ukweli pamoja na ushahidi wako mkuyati og Usilete maneno ya Pumba kama una chuki kaa pembeni.
Acheni uchochezi wa dini.. Kwahiyo adhan ni lugha ya majini?.Umenena vyema.
Basi hivyo ndo wanavyodanganywa, hawasikii raha mpaka wadanganywe, Na wakishadanganywa, utamsikia mmoja anasema Takbirrrr! Nao wanaitikia kwa bashasha 'Alahu akbar' .....bure kabisa Na akili zao za kukopa!Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?
=====
When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.
Source: wikipedia
Amstrng hakufika ila Adrian alifka na wengneo wanafka na wataendlea kufka!Je Armstrong alifika Mwezini au hakufika.
Ttzo unataka kila k2 watangze juzi 2 wa2 wametk hko ni pm nikup evdncHakuna and that raises more questions than answers. Kwa jinsi technology ilivyoelendelea toka 1969 toka Armstrong akanyage mwezi hadi Leo ungetegemea sahizi binadamu awe anaenda mwezini na kurudi kiurahisi lakini sivyo
Wapo wengi walioenda sema kwa amsrng ilikuwa ni rusha roho kwa russiaKwanza jua Hakuna namna unaweza kusikia sauti mwezini sababu Hakuna atmosphere na hili halibadiliki either alifika au hakufika. Ni ajabu sana Kwa mtu aliye JF kutojua hili
Kurudi kwa swali lako, ukiniuliza mimi baada ya kuangalia madai ya pande zote mbili nitasema hakufika. Swali dogo tu toka 1969 Armstrong alipokanyaga mwezi Kama wanavyodai kwanini Hakuna attempt nyingine ya mtu kwenda mwezini ukizingatia technology ilivyokua hadi sasa
Wapo wengi sana ila kwa amstrng ni porojo pls trust me!inawezekana ww ndio ukawa unafurahisha, ila ukwel n kwamba akuna aliye tia mguu wake mwezin... acha kupenda kusikiza porojo za maleken na story za kijiwen
Mara ya mwisho kusoma physics ilikuwa lini?!kwanini iwe mita 7 na sio vinginevyo?
Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?
=====
When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.
Source: wikipedia
Ngom c yko unashbkia nn?! Kwn kuwa muslm au Christian ndo kwenda huko------------tuendelee kutafuta mchawi tu, ndo tulijualo
Lakini wa China na wajapan wapo sahii kabisa!Duuu ukishaichukia USA bas kila wafanyalo ni baya tuuu
Ilikuwa azana toka dunian krbu na ofc za NASAMkuu uko sahihi kabisa Armstrong kwanza hakufika mwezini hio iko wazi na fact zipo pili ukitoka nje ya dunia means unakuwa nje ya atmosphere ambayo hii atmosphere ni mchanganyiko wa gas mbali mbali nitrogen na oxygen zaidi ,Sasa sauti ikisafirishwa direct nje ya atmosphere haitaweza kusafiri means hata uwe umeshikana na mtu akiongea hutamsikia coz sound ni mechanical waves na ni lazima pawepo medium ili kusafiri medium huwa ni atmosphere Sasa never hao astronaut kusikia chochote nje ya dunia , Watasikia tu au kuwasiliana kwa kutumia Radio waves ambazo zenyewe haziitaji medium kusambaa ata kwenye vacuum zinapita hzi electromagnetic waves , wana anga wanavaa special handset ambazo mwenzie anapoongea sauti hio hubadilishwa na kuwa radio waves kisha kusambaa nakumfikia mwenzie kwa radio waves then ina decode nakusikia the actual thing sasa izi porojo za azana Ni hadithi tu za sungura na fisi
Mkuu umenikumbusha mbali mno. Physics form four, "waves" iyo topic tulisoma kupitia Abbott, Oxford, na vitabu vya uk. Tulikuwa deep enzi zetu wakati tunasoma. Sasa wewe ulikuwa na hoja kama yangu. Naomba ukawe balozi mzuri wa kuhamasisha watoto kusoma fizikia na masomo ya sayansi kwa ujumla.Mkuu uko sahihi kabisa Armstrong kwanza hakufika mwezini hio iko wazi na fact zipo pili ukitoka nje ya dunia means unakuwa nje ya atmosphere ambayo hii atmosphere ni mchanganyiko wa gas mbali mbali nitrogen na oxygen zaidi ,Sasa sauti ikisafirishwa direct nje ya atmosphere haitaweza kusafiri means hata uwe umeshikana na mtu akiongea hutamsikia coz sound ni mechanical waves na ni lazima pawepo medium ili kusafiri medium huwa ni atmosphere Sasa never hao astronaut kusikia chochote nje ya dunia , Watasikia tu au kuwasiliana kwa kutumia Radio waves ambazo zenyewe haziitaji medium kusambaa ata kwenye vacuum zinapita hzi electromagnetic waves , wana anga wanavaa special handset ambazo mwenzie anapoongea sauti hio hubadilishwa na kuwa radio waves kisha kusambaa nakumfikia mwenzie kwa radio waves then ina decode nakusikia the actual thing sasa izi porojo za azana Ni hadithi tu za sungura na fisi
Acha ubishi mkuu! Na kama hakukanyaga basi hakusikia adhanaHajawahi kukanyaga mwezini. Ni mauongo ya wamarikani kujipa umaarufu. Ni mwongo tu.