wali stage mchezo mzima wa kuigiza eti Armstrong kaenda mwezini lakini kopo la pepsi likawaumbua kwani lilionekana "mwezini" teh teh teh!
Ulijuaje mkuu kuwa mwezini kuna Solar winds za kufa mtu?
Baadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo
Ukweli ni kwamba nnje ya dunia hakuna gas..... Hivyo basi hata ukikaa pembeni yangu huwezi nisikia. Hadi tutumie vifaa... Ambavyo vitatumia radio waves. Ndio tuweze kusikilizana........ Je huyo Armstrong alisikiaje hiyo sauti? Naomba wana fizikia mnijibu kisomi zaidi ...... Hatutaki mambo ya youtube hapa...
KisomaX
Msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada IPO ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......Poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......Mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?Mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata Zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake Mola Mtukufu wa ulimwengu??? kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????Acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama BBC sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! w bali kizazi chako
Wewe umethibitisha kitu gani?kusoma huwezi, hata picha huoni?? tusiwe wepesi kuamini habari za kutunga kama hizi bila kuhakiki source. mtoa mada anasema source yake ni wikipedia, unamuamini? hebu search "neil armstrong" ktk wikipedia halafu angalia personal life yake then urudi hapa kusahihisha na wenzako.
halafu, mbona tunakuwa na wivu wa kike hivi? wenzetu wako mbali maana hawana huu uswahili wetu wa kutafutana uchawi,, NASA wanaanda safari to Mars in the near future. sie tupo tu tumekalia conspiracy theories,; tena zote from a single source mwanzo mwisho!! ajabu, is that even credible if you analyse it kwa jicho la kisayansi? na mbaya zaidi conspiracy theories haziwezi kuwa proven. hebu muulize ghostryder kama hilo kopo la pepsi yeye aliliona ,, ama amesikia tu kutoka kwa watu? watu walewale wenye akili ndogo waliokuaminisha kwamba source ya mada hii kumhusu armstrong ni "wikipedia", nawewe ukaamini bila ku-verify,, wakati wikipedia is just a couple of keys away kwenye device yako. pole
Wewe umethibitisha kitu gani?
Na unathibitisha na nini ambacho kinaweza kuthibitisha unachotaka kuthibitisha?
Naona hapa wewe na unaowalaumu nyie ni wale wale tu .....!!
Mkuu atmosphere ni nini?
Baadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo
Kwa ufupi dini ya mungu ni moja tu uislam hakuna ubishi na imetajwa kwenye vitabu vya mungu nyinginezo ni utundu wa binadamu kukithi matamanio yake
Ingia google angalia The truth about Armstrong's trip. na mengeneyo utajicheka wewe unayedanganywa.
Na bendera ya USA ilikua inapepea wakati kule hakuna oxygen! Hilo kopo la peps linaanza kuonekana kabla hata chombo hakijatua!!
Kwanza amstrong hakuwahi fika mwezini!!!
it was filmed in area 51
!! so kwa kifupi hio ni propaganda!!!
au uongo mtakatifu