Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Kwa ufupi dini ya mungu ni moja tu uislam hakuna ubishi na imetajwa kwenye vitabu vya mungu nyinginezo ni utundu wa binadamu kukithi matamanio yake
 
Baadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo

Hilo si kweli, Kilichomfanya Arstrong awe kimya ni sababu alijua fika kuwa hakufika mwezini. Basi mtu ajaribu Saudia kubadili dini kule ndio kuna haki nadhani watashangilia kabisa.
 
Ukweli ni kwamba nnje ya dunia hakuna gas..... Hivyo basi hata ukikaa pembeni yangu huwezi nisikia. Hadi tutumie vifaa... Ambavyo vitatumia radio waves. Ndio tuweze kusikilizana........ Je huyo Armstrong alisikiaje hiyo sauti? Naomba wana fizikia mnijibu kisomi zaidi ...... Hatutaki mambo ya youtube hapa...


KisomaX

Wanao support hili, wanachojaribu kusema ni kwamba pamoja na mazingira yote kuto kuruhusu posibility ya kusikika Kwa Azaan nje ya Dunia and in a vacuum or something, lkn still sauti ilisika, there for it was a miracle for the God of Azaan to prove that is the one to be worshiped. Ni kama Yesu alivyotembea kwenye maji baharini, while normalu its not possible so if he did it must be or mean something. That's the argument behind the topic brothers!
 
Last edited by a moderator:
Msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada IPO ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......Poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......Mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?Mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata Zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake Mola Mtukufu wa ulimwengu??? kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????Acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama BBC sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! w bali kizazi chako

elimu elimu ndugu zetu! sio kila kitu ni mazingaombwe. mfano, ungejua mabadiliko yanayotokea ktk njia ya uzazi ya mwanamke anapokaribia siku za kujifungua usingefananisha kupita kwa kichwa na chupa!! endelea kuota
 
kusoma huwezi, hata picha huoni?? tusiwe wepesi kuamini habari za kutunga kama hizi bila kuhakiki source. mtoa mada anasema source yake ni wikipedia, unamuamini? hebu search "neil armstrong" ktk wikipedia halafu angalia personal life yake then urudi hapa kusahihisha na wenzako.

halafu, mbona tunakuwa na wivu wa kike hivi? wenzetu wako mbali maana hawana huu uswahili wetu wa kutafutana uchawi,, NASA wanaanda safari to Mars in the near future. sie tupo tu tumekalia conspiracy theories,; tena zote from a single source mwanzo mwisho!! ajabu, is that even credible if you analyse it kwa jicho la kisayansi? na mbaya zaidi conspiracy theories haziwezi kuwa proven. hebu muulize ghostryder kama hilo kopo la pepsi yeye aliliona ,, ama amesikia tu kutoka kwa watu? watu walewale wenye akili ndogo waliokuaminisha kwamba source ya mada hii kumhusu armstrong ni "wikipedia", nawewe ukaamini bila ku-verify,, wakati wikipedia is just a couple of keys away kwenye device yako. pole
Wewe umethibitisha kitu gani?

Na unathibitisha na nini ambacho kinaweza kuthibitisha unachotaka kuthibitisha?

Naona hapa wewe na unaowalaumu nyie ni wale wale tu .....!!
 
Wewe umethibitisha kitu gani?

Na unathibitisha na nini ambacho kinaweza kuthibitisha unachotaka kuthibitisha?

Naona hapa wewe na unaowalaumu nyie ni wale wale tu .....!!

tuendelee kutafuta mchawi tu, ndo tulijualo
 
Kunakoitwa Kufika mwezini bado kuna utata sana kile kivuli kilitoka wapi kwenye picha? Wamarekani wanajua sana kutunga uongo
 
mkuu mwezini hakuna hewa, na ukikumbuka sayansi ya darasa la 3 propagation ya sound inategemea hewa ili mtu aweze kusikia, and in addition pressure ya mwezini haisupport uhai wa binadamu since it is lower than our blood pressure so to protect bursting of blood vessels kuna special jackets walivaa to cover their bodies, and they used electromagnetic waves to communicate , it was impossible to hear anything from outside.
 
kivuli kinaonyesha kuna some light rays blocked, ukiangalia solar system mkuu unashindwa kujua kama jua linafika mwezini?
 
Sio kweli, hata kwenye hiyo Wikipedia hajasema kitu kama hicho. Kwanza yeye alikuwa haamini uwepo wa Mungu (atheist), mpaka anakufa
 
Ingia google angalia The truth about Armstrong's trip. na mengeneyo utajicheka wewe unayedanganywa.

Nyie ndio mmaopata tabu ktk huu ulimwengu.
Kila kitu unauliza Google.

Hata ukimfumania mkeo unataka ushauri Google.

Ujinga kitu kibaya sana.
 
Na bendera ya USA ilikua inapepea wakati kule hakuna oxygen! Hilo kopo la peps linaanza kuonekana kabla hata chombo hakijatua!!


Once something gets moved in the vacuum of space, it won't stop moving until someone or something will make it stop.
 
Kwanza amstrong hakuwahi fika mwezini!!!
it was filmed in area 51
!! so kwa kifupi hio ni propaganda!!!
au uongo mtakatifu

Ukipata mda soma vizuri evidence za conspirancy theorists na evidence za NASA halafu jibu baki nalo hata ivyo kama ingekua hoax sidhani kama Rusia na China wangeshindwa expose hiyo kitu mana by then Soviet ndo walikua rival wa USA kwenye space programs
 
Wamarekani wameshafika mwezini six times, ishu ya Armstrong ilikuwa debate kushindania nani ni mwanadamu wa kwanza kufika mwezini.

Ikumbukwe soviet union ndo ilikuwa ya kwanza kupeleka chombo mwezini.

So nashangaa mtu anabisha eti mwezini hakufikiki... Watu wanafanya mipango ya kwenda Mars sasa.

Someni!
 
Back
Top Bottom