Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

Umewazidi AKILI, UPEO na MAARIFA na bado unashindwa kuwazuia katika huo 'ufisadi' wao mnaoupigia kelele kila siku. We kweli POPOMA, hujui tu hata unaongea nini!!

Mwenye akili, upeo na maarifa hana muda wa kusugua kisigino cha mguu kwenye jiwe kisha kukaa barazani kumsengenya na kumzushia mtu day in, day out. Na kama ikimlazimu kumsema mtu kwa mabaya yake, basi hufanya hivyo kwa USHAHIDI usio na shaka na sio zile blah blah za wenye njaa na wivu.

KUUUBWA zaidi we popoma, akili, upeo na maarifa havitangazwi kwa nguvu; vitajionyesha vyenyewe......na ikilazimika kutangazwa basi hutangazwa na mashuhuda (yaani sisi tunaosoma mabandiko yako ndo tutaona hayo maupeo, akili na maarifa na sio wewe kutulazimisha kuona vitu hivyo wakati havipo).

Uwe na Jumatatu njema!
Katinduliwe salama.
 
Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.

Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.

Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.

Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.

Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
Hii habari naona mpya kwangu au kwa vile sijafika Coco muda mrefu...ila kwa mara ya mwisho niliona Wavuvi Camp imechukua nafasi ndogo tu miongoni mwa eneo liliwekwa ili kuwekwa biashara ambako kuna biashara nyingi hata za wazawa pia.

Na sehemu ya watu kukaa ipo kubwa tu....wala hatuwezi kuimaliza. Tena kuwepo kwa sehemu hizi za biashara kumeongeza hadhi ya Coco Beach, sasa wanaenda watu wa aina zote, unachagua tu mwenyewe unataka wapi, tofauti na zamani Coco ilikuwa inaonekana sehemu ya watu wa chini zaidi. Sasa hivi hata wenye vipato vya kati na vya juu na wasomi wanaenda na butudani zimekuwa nyingi zaidi......

Au labda kama eneo looooote limechukuliwa na kupewa Wavuvi camp, tujulishane.
 
Lake oil sasa hivi wamechukuwa mpaka viwanja vya Tazara na Kujenga kiwanda cha sulphur.

Sasa hivi lake oil wamedhamiria kuwauwa kwa Sumu ya sulphur wakazi wa Kiwalani, Minazi mirefu, Temeke sandali na maeneo Jirani na hayo.
Acha wawauwe tu
 
Lake oil sasa hivi wamechukuwa mpaka viwanja vya Tazara na Kujenga kiwanda cha sulphur.

Sasa hivi lake oil wamedhamiria kuwauwa kwa Sumu ya sulphur wakazi wa Kiwalani, Minazi mirefu, Temeke sandali na maeneo Jirani na hayo.
Yale maeneo ni maeneo ya viwanda

Pale hawajachukua bali ni wapangaji na wanalipa TAZARA.

Kafatilie mabadiliko ya sheria yameruhusu Maeneo ya reli kukodishwa au kuingiwa ubia wa uendelezaji
 
Hawa jamaa wana roho Mbaya sana, lengo lao ni kuiuwa Wavuvi camp wameshindwa.

Wavuvi inafanyiwa figisu kama zote bila kujari kuna Watanzania wamepata ajira pale na wanaendesha maisha yao.

Kuna mwanangu mmoja alikuwa anabeba chuma tu mtaani bila faida, kalamba ajira pale ya baunsa anapiga pesa fresh sana tip za kumwaga kutoka kwa wateja, kapunguza kiwingu mtaani na yeye ni mtu sasa hivi.

Sasa hii mizaramo isiyokuwa na hata huruma yenyewe inajifikiria wao tu na familia zao shenzi type.
Kwan uyo mmiliki wa wavuvi camp si ndo mwny samaki samaki
 
Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.

Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.

Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.

Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.

Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
"najua ipo siku mtanikumbuka,na mtanikumbuka kwa mazuri na si mabaya"......da!!! mwamba alipigwa sana vita!!!!
 
Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.

Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.

Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.

Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.

Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
Magufuli ni nani nchi hii? Siyo rejea ya shughuli za serikali. Yeye ameshakufa serikali hii ni ya watu walio hai siyo wafu ina utaratibu wake wa kazi, ina vipaumbele vyake. Kila mara Magufuli Magufuli, who is him in this country? He's already dead full stop, can never be of any reference. Alikuwepo baba wa Taifa Magufuli ni nani mtu aliongoza kwa kipindi kimoja tu cha miaka 5 tena kwa kufeli sana?
 
Ulidhani Ridhiwani Kikwete aliwekwa wizara ya Ardhi kwa bahati Mbaya?

Ndio maana huyu mtoto huwezi kumuona anakwenda Umra Saudi Arabia anaweza akafia hukohuko kwa roho Mbaya aliyorithi kwa babake.
Utajiri mkubwa na roho mbaya ni dam dam
 
Yale maeneo ni maeneo ya viwanda

Pale hawajachukua bali ni wapangaji na wanalipa TAZARA.

Kafatilie mabadiliko ya sheria yameruhusu Maeneo ya reli kukodishwa au kuingiwa ubia wa uendelezaji
Una uelewa wowote kuhusu Sumu ya sulphur?

Unaelewa kiwanda cha sulphur kinapaswa Kujengwa maeneo gani?
 
Hawa jamaa wana roho Mbaya sana, lengo lao ni kuiuwa Wavuvi camp wameshindwa.

Wavuvi inafanyiwa figisu kama zote bila kujari kuna Watanzania wamepata ajira pale na wanaendesha maisha yao.

Kuna mwanangu mmoja alikuwa anabeba chuma tu mtaani bila faida, kalamba ajira pale ya baunsa anapiga pesa fresh sana tip za kumwaga kutoka kwa wateja, kapunguza kiwingu mtaani na yeye ni mtu sasa hivi.

Sasa hii mizaramo isiyokuwa na hata huruma yenyewe inajifikiria wao tu na familia zao shenzi type.
Wazaramo wameusikaje hapo?so ile beach ni ya wazaramo pekee?kwa taharifa yako sasa hizo beach zimejaa washamba kibao waliotoka mikoani ndio wanaojazana pale.acha chuki za kikabila punguani wewe!!!
 
Hivi wale waliokuwa wanauza mishkaki apo Coco beach baada ya kuwekewa uzio wamehamia wapi?....maana mishkaki yao ilikua balaa.
 
Back
Top Bottom