Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

Mbona yule mtoto wa kiongozi nchi nzima ni yake nilienda Gairo nikaonyeshwa huu mlima ni wake umejaa madini,nikaenda Mahenge nikaambiwa huu msitu wote wanakijiji walihamisha ni kupisha hifadhi Siri umejaa madini tupu za chini ni wake anashirikiana na wa yuesi ei,Kila mkoa utasikia ili eneo ni lake,huyu mtu ni tajiri sana ee.
Bado kwenye malori story ni nyingi
Sio zake zoote baadhi ni washkaji zake wanamtumia yeye kufanikisha mambo yao!
 
Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.

Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.

Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.

Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.

Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
Ongea Na CCM Wenzako.
 
Unamaanisha nchi hii hakuna wanaovunja sheria au taratibu.

Nchi hii watu kufuata taratibu wameanza lini? Pesa yako tu
Kiwanda chochote kikubwa lazima NEMC watapita kabla hujaanzisha.
Hizo nyingine ni siasa tu
 
Mkuu samaki samaki ya masaki kile kiwanja kimeuzwa wamenunua wale wenye ukumbi wa super dome ndio jamaa kajiongeza kwenda kuomba hilo eneo la coco ili ahamishie samaki samaki hapo.
 
Nawe nawe,sasa pale wavuvi kazuia nini watu kuogelea ,hakuna ukuta hakuna nini,hiyo ni roho mbaya sana mkuu ,wavuvi pale alichojenga ni banda tu ,ambalo wa nje anamuona wa ndani na wandani anamuona wa nje,mpaka ni kamba tu kaweka upande wa baharini
 
Mbona yule mtoto wa kiongozi nchi nzima ni yake nilienda Gairo nikaonyeshwa huu mlima ni wake umejaa madini,nikaenda Mahenge nikaambiwa huu msitu wote wanakijiji walihamisha ni kupisha hifadhi Siri umejaa madini tupu za chini ni wake anashirikiana na wa yuesi ei,Kila mkoa utasikia ili eneo ni lake,huyu mtu ni tajiri sana ee.
Bado kwenye malori story ni nyingi
Songea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.
Malory ndo mengii mnoo wanasema yake.
Woiiiiiih
 
Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.

Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.

Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.

Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.

Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
DP World.
 
Songea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.
Malory ndo mengii mnoo wanasema yake.
Woiiiiiih
Sheli tena au? Si tulikubaliana filling station jamani?

Nyingine hii; Makuchu wazuri wa mjini wote wake.
 
Songea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.
Malory ndo mengii mnoo wanasema yake.
Woiiiiiih
Kila mkoa Pana story zinafanana mbona hamfikii Mo Sasa Kama ni kweli
 
Back
Top Bottom