Sio zake zoote baadhi ni washkaji zake wanamtumia yeye kufanikisha mambo yao!Mbona yule mtoto wa kiongozi nchi nzima ni yake nilienda Gairo nikaonyeshwa huu mlima ni wake umejaa madini,nikaenda Mahenge nikaambiwa huu msitu wote wanakijiji walihamisha ni kupisha hifadhi Siri umejaa madini tupu za chini ni wake anashirikiana na wa yuesi ei,Kila mkoa utasikia ili eneo ni lake,huyu mtu ni tajiri sana ee.
Bado kwenye malori story ni nyingi
Ongea Na CCM Wenzako.Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.
Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.
Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.
Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.
Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
Kama kimejengwa hapo maana yake tahadhari zote zimezingatiwaUna uelewa wowote kuhusu Sumu ya sulphur?
Unaelewa kiwanda cha sulphur kinapaswa Kujengwa maeneo gani?
Nimekuuliza unaelewa kiwanda cha sulphur kinapaswa Kujenga wapi?Kama kimejengwa hapo maana yake tahadhari zote zimezingatiwa
Wewe una uhakika gani kwamba hawajafata tahadhari?Nimekuuliza unaelewa kiwanda cha sulphur kinapaswa Kujenga wapi?
Unamaanisha nchi hii hakuna wanaovunja sheria au taratibu.Kama kimejengwa hapo maana yake tahadhari zote zimezingatiwa
Kiwanda chochote kikubwa lazima NEMC watapita kabla hujaanzisha.Unamaanisha nchi hii hakuna wanaovunja sheria au taratibu.
Nchi hii watu kufuata taratibu wameanza lini? Pesa yako tu
ImbecileIdiot,
Usirudie kuandika vitu vipo nje ya upeo wako.
Kama kimejengwa hapo maana yake tahadhari zote zimezingatiwa
Wivu🤣🤣🤣🤣Achen mamb ya ajabu si kila tajir anauza madawa Sharamdala unasikia uko
Ahahahahahha kisa wao wanauza mizizWivu🤣🤣🤣🤣
Mjinga ni mama na baba yako waliokuzaamjinga kweli weww kwa tanzania hakuna wa kuangalia wala nini mpe cha juu, kama TBS vitu vingine fake waomuhuri tu
Songea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.Mbona yule mtoto wa kiongozi nchi nzima ni yake nilienda Gairo nikaonyeshwa huu mlima ni wake umejaa madini,nikaenda Mahenge nikaambiwa huu msitu wote wanakijiji walihamisha ni kupisha hifadhi Siri umejaa madini tupu za chini ni wake anashirikiana na wa yuesi ei,Kila mkoa utasikia ili eneo ni lake,huyu mtu ni tajiri sana ee.
Bado kwenye malori story ni nyingi
DP World.Hilo eneo (Coco Beach) Hayati Magufuli alikataa kabisa kupewa Watu (hasa Matajiri) wawekeze hapo akisema kuwa paachwe wazi ili hata Masikini akina GENTAMYCINE tuwe tunakuja Kutembea, Kuogelea na Kupunga Upepo mwanana wa Baharini (wenye Afya) bila tatizo.
Cha Kushangaza na Kusikitisha tayari sehemu ya Eneo la Coco Beach ameshapewa Mwekezaji (Mfanyabiashara) maarufu Mmiliki wa Samaki Samaki na kuanza Kuzungushia kabisa na Mabati Eneo Kubwa tu ambalo huko nyuma lilikuwa likikaliwa na Sisi 'Beach Goers' tuliotukuka huku tukipunguza Mawazo ya Shida zetu za Kimaisha.
Na Wenye Akili tunajua huyu Mfanyabiashara Samaki Samaki nyuma yake kuna akina nani, anafanya Biashara gani nyingine ya Siri isiyotakiwa hivyo kupewa Kwake hilo eneo ni Kututhibitishia kuwa kile alichokikataa Hayati Magufuli sasa kinafanyika na Siku si nyingi Matajiri na Mafisadi watagawana Coco Beach yote na Masikini kuingia hapo kwa Hela au ukijua Kuogelea kama GENTAMYCINE unakuja huku maeneo ya Police Officers Mess unaogelea taratibu na kwa Mikogo huku ukielekea usawa wa Coco Beach na ukifika unatoka Majini unafanya yako na Maisha mengine yanaendelea.
Na nasikia hata Beach nyingine ya Sisi Masikini ya Kawe Beach nayo pia mnataka kuwapa Matajiri na Mmoja ni Rafiki wa Karibu wa Mtoto wa Kiongozi Mmoja Mstaafu ( ambaye Nyumba yake ya sasa inatizamana na Kawe Beach ) ili awekeze na pia muwafukuze Wavuvi walio Jirani nae kwa Kigezo cha kulinda Usalama wake.
Kwakuwa mmeamua taratibu kutunyang'anya Sisi Masikini akina GENTAMYCINE Beach zetu zote za Coco Beach na Kawe Beach tunaomba mtuombee kwa DP World watutafutie Beach mpya ili tuwe tunaenda huko kwani yawezekana hawa ndiyo wakawa na Uchungu wa Maisha Magumu ya Watanzania kuliko hata ilivyo kwa Viongozi Wetu ambao pia ni Watanzania Wenzetu.
Sheli tena au? Si tulikubaliana filling station jamani?Songea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.
Malory ndo mengii mnoo wanasema yake.
Woiiiiiih
Kila mkoa Pana story zinafanana mbona hamfikii Mo Sasa Kama ni kweliSongea ndo kuna shell 3 mpyaa zote inasemekana zake. Na ile hotel ya [emoji294]3 Hunt club inasemekana ni yake pia.
Malory ndo mengii mnoo wanasema yake.
Woiiiiiih