Kwanini mnatumia njia ndefu sana za kumtafutia Sababu za Kumuondoa CEO wa 'Umeme Tanzania?

Kwanini mnatumia njia ndefu sana za kumtafutia Sababu za Kumuondoa CEO wa 'Umeme Tanzania?

Tulia tukupe shule wewe... Unakuja kujibu hapa bila evidence... Labda tukuulize una facts zipi zinazokufanya ubishe kuwa maji hayapunguzwi?

Ukizingatia sasa hivi maeneo mbalimbali ya nchi mvua zinanyesha, mito imeanza kujaa maji. Kwa nini umeme uwe wa shida wakati mvua zimeanza kunyesha.
Weka evidence ya Madai ya Tanesco kufungua mabwawa maji yatoke Ili watu wauze jenereta.

Mimi nikupe evidence gani? Nakukatakia kwamba? 👇
20230922_080341.jpg
 
Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
kuwa huru kwanza kufikiri kabla ya kuanzisha uzi, fanya kwanza utafiti kwanini umeme unakatika, msg yako kubwa hapo ninayoiona ni namna ulivyoelezea hisia zako za chuki tu kwa wengine.
 
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.

Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.

Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere likianza ana hadi pale vyanzo vipya vya umeme vikiongezeka.

Chanzo cha tatizo sio makamba, maharage, kalemani ama nani, chanzo ni Tanzania hatukuwekeza kwenye vyanzo vipya vya umeme kwa miaka mingi huku mahitaji yakiongezeka kila siku.

Malaika Gabriel tena, kha!
 
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.

Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.

Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere likianza ana hadi pale vyanzo vipya vya umeme vikiongezeka.

Chanzo cha tatizo sio makamba, maharage, kalemani ama nani, chanzo ni Tanzania hatukuwekeza kwenye vyanzo vipya vya umeme kwa miaka mingi huku mahitaji yakiongezeka kila siku.
AFADHALI UPO,
Wenye kuelewa ni wachache, wengi wameponzwa na uongo wa Kigogo kule twitter. Wanaongiza chuki zao kwenye mambo ya muhimu.
 
Uongo mwingine wa kijinga sana,Matrilioni yote aliyopewa makamba yamefanya nini??

Matengenezo pekee Trillions 7
Bwawa lenu lenye nyufa Trillions 11 ,,, hakuna wizara imewahi kupewa maburubgutu mengi namna hiyo,Fisadi nyiee
Mkuu acha mihemko. Matengenezo gani yamegharimu 7 trilioni?

Taarifa ya serikali ni bwawa limetumia trilioni 6.7 ila hadi sasa imelipwa trilioni 5+

Hizo figures zako unazitoa wapi? Fuatilia taarifa halisi ya serikali mkuu achana na hadithi za vijiweni.
 
Acha kutetea utahira wewe... Unalinganisha Umeme wa Magufuli na umeme huu... Kwanza hata ulivyokuwa unatokea mgao kipindi cha Magufuli, tulikuwa tunatangaziwa kwenye page za TANESCO kwamba maeneo fulani umeme utakatika kwanzia saa fulani hadi Mida fulani...

Sasa hivi umeme unakatika tu, hakuna taarifa, ukiuliza kuna mgao wanakwambia hakuna mgao.... Taarifa rasmi ya ratiba ya kukatika kwa umeme hawatoi... Serikali yenyewe imekaa kimya
Si mlisema awamu ya 5 kulikuwa hakuna mgao,mgao unaousemea wewe ukitoka wapi?

By the way awamu ya Mwendazake haka ukisema hakuna mgao ni sawa tuu maana uchumi ulikufa hakuna viwanda Wala biashara Mpya zilifunguliwa zaidi zaidi watu walifunga biashara na kukombia Nchi.

Wewe Kwa akili zako mbovu za kimwendazake ambae hakuwekeza kwenye vyanzo vipya ulitegemea demand ishuke? Unajua saizi Kuna maviwanda, Mabiashara na watu wangapi wanahitaji umeme? Licha ya Tanesco kuwasha umeme wa megawatt 150 wa gas Kingereza desemba mwaka Jana Bado haujakidhi mahitaji.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1704484542151532914?t=a57_dh0FIaBnFS_OqEvACg&s=19
 
Weka evidence ya Madai ya Tanesco kufungua mabwawa maji yatoke Ili watu wauze jenereta.

Mimi nikupe evidence gani? Nakukatakia kwamba? 👇View attachment 2757790
Wewe nimekuuliza ulete evidence ya kwa nini unakataa maji hayapunguzwi kimakusudi, naona umekimbia swali na kuniuliza mimi.

Mimi ukiniuliza kuhusu evidence, nitakupa ya Kauli ya Magufuli "Kuna watu wanapunguza maji na kuyachepusha, hili itokee shortage ya umeme wauze majenereta na petrol"

Huyu aliyeongea hii kauli kumbuka ni Rais wa Nchi, sio mnywa kahawa... Na rais akitoa kauli kama hii inamaanisha kuna taarifa za kuaminika.
 
Uongo mwingine wa kijinga sana,Matrilioni yote aliyopewa makamba yamefanya nini??

Matengenezo pekee Trillions 7
Bwawa lenu lenye nyufa Trillions 11 ,,, hakuna wizara imewahi kupewa maburubgutu mengi namna hiyo,Fisadi nyiee
Amepewa matrioni mangapi ,yataje na sisi tujue inawezekana una taarifa kuliko sie
 
Uongo mwingine wa kijinga sana,Matrilioni yote aliyopewa makamba yamefanya nini??

Matengenezo pekee Trillions 7
Bwawa lenu lenye nyufa Trillions 11 ,,, hakuna wizara imewahi kupewa maburubgutu mengi namna hiyo,Fisadi nyiee
Onyesha ufisadi mkuu. Porojo pembeni.
Weka takwimu zako na za Tanesco tuone walichofisadia ni ngapi.
 
Wewe nimekuuliza ulete evidence ya kwa nini unakataa maji hayapunguzwi kimakusudi, naona umekimbia swali na kuniuliza mimi.

Mimi ukiniuliza kuhusu evidence, nitakupa ya Kauli ya Magufuli "Kuna watu wanapunguza maji na kuyachepusha, hili itokee shortage ya umeme wauze majenereta na petrol"

Huyu aliyeongea hii kauli kumbuka ni Rais wa Nchi, sio mnywa kahawa... Na rais akitoa kauli kama hii inamaanisha kuna taarifa za kuaminika.
Wewe mpumbavu nini,Kila mwaka mabwawa yanapungua Kwa sababu ya kiangazi harafu unataka evidence gani Sasa.

Kwa hiyo huwa inafurika kiangazi si ndio?
 
Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
ni njia nzuri sana na yakistaarabu, kwasabb unamuanda ajipime na ajitafakari kama anastahili kuendelea kua pale kwa wakati huo, then akikaza shingo kuwajibika mwenyewe na kujifanya mjuaji then mnamuwajibisha vilivyo kwasabb haelewi mambo yanavyopaswa kwendraan kistaarabu.....
 
Onyesha ufisadi mkuu. Porojo pembeni.
Weka takwimu zako na za Tanesco tuone walichofisadia ni ngapi.
Unashangaa sana ,kwanza matengenezo na kupungua Kwa uzalishaji sababu ya ukame sijui vinaingilianaje 🤣🤣
 
Si mlisema awamu ya 5 kulikuwa hakuna mgao,mgao unaousemea wewe ukitoka wapi?

By the way awamu ya Mwendazake haka ukisema hakuna mgao ni sawa tuu maana uchumi ulikufa hakuna viwanda Wala biashara Mpya zilifunguliwa zaidi zaidi watu walifunga biashara na kukombia Nchi.

Wewe Kwa akili zako mbovu za kimwendazake ambae hakuwekeza kwenye vyanzo vipya ulitegemea demand ishuke? Unajua saizi Kuna maviwanda, Mabiashara na watu wangapi wanahitaji umeme? Licha ya Tanesco kuwasha umeme wa megawatt 150 wa gas Kingereza desemba mwaka Jana Bado haujakidhi mahitaji.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1704484542151532914?t=a57_dh0FIaBnFS_OqEvACg&s=19

Unatumia nguvu kubwa kuja na video na link za twitter kutushawishi... kumbe ujinga tu

Kwa taarifa yako kipindi cha Magufuli ndio viwanda vingi vilianza kuzalishwa, miradi mingi kufufuliwa... Ndio maana aliwaandama sana TANESCO kuhusu umeme kukatika, sikiliza hotuba zake vizuri. Ndio maana mpaka akasema TANZANIA YA VIWANDA. Na kuziilisha hilo akawa anaenda kuzindua viwanda kila kukicha. Wewe unatetea upuuzi na picha zako za twitter wakati kiuhalisia viwanda vyenu zilivyozinduliwa na huu uongozi hatuvioni, sasa utazindua kiwanda gani na huu mgao husiokuwa na taarifa rasmi
 
Unatumia nguvu kubwa kuja na video na link za twitter kutushawishi... kumbe ujinga tu

Kwa taarifa yako kipindi cha Magufuli ndio viwanda vingi vilianza kuzalishwa, miradi mingi kufufuliwa... Ndio maana aliwaandama sana TANESCO kuhusu umeme kukatika, sikiliza hotuba zake vizuri. Ndio maana mpaka akasema TANZANIA YA VIWANDA. Na kuziilisha hilo akawa anaenda kuzindua viwanda kila kukicha. Wewe unatetea upuuzi na picha zako za twitter wakati kiuhalisia viwanda vyenu zilivyozinduliwa na huu uongozi hatuvioni, sasa utazindua kiwanda gani na huu mgao husiokuwa na taarifa rasmi
Natumia Nguvu nyingi zipi Sasa,nitajie viwanda 2 unavyovijua wewe hapo awamu ya 5 na Mimi nikutajie viwanda 20.

Wewe Kwa akili Yako mbovu unadhani Viwanda Huwa vinaanzishwa Kwa porojo za Majukwaani 😂😂,eti Tanzania ya Viwanda mbona hiyo 2020 hakuonesha hivyo viwanda?
 
Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
Naunga mkono hoja 👍
 
Wewe mpumbavu nini,Kila mwaka mabwawa yanapungua Kwa sababu ya kiangazi harafu unataka evidence gani Sasa.

Kwa hiyo huwa inafurika kiangazi si ndio?
Nimekwambia sasa hivi mvua zimeanza kunyesha unaleta porojo hapa... Ndio ni kiangazi, ila watu wanatumia neno kiangazi kufanya yao hili wakiulizwa wasingizie kiangazi... Mbona kipindi cha Nyerere hakukuwa na haya mambo ya maji kupunguza, au pia huko nyuma hakukuwa na kiangazi
 
Nimekwambia sasa hivi mvua zimeanza kunyesha unaleta porojo hapa... Ndio ni kiangazi, ila watu wanatumia neno kiangazi kufanya yao hili wakiulizwa wasingizie kiangazi... Mbona kipindi cha Nyerere hakukuwa na haya mambo ya maji kupunguza, au pia huko nyuma hakukuwa na kiangazi
Utakuwa wewe ni school dropout 🤣🤣🤣
Mabwawa ya umeme yanapata maji kutoka Mikoa ya Pwani au Kanda ya Ziwa kwenye mvua za vuli?

Unanipotezea mda umejaa makamasi kichwani hata akili huna,mabwawa yanapata maji kutoka mvua za Masika za Mikoa ya Nyanda za Juu,huku mvua Bado Hadi desemba.
 
maharagwe kaondolewa,then umeme ndio utarudi?

tanesco problem wala sio uongozi,ni political issue,ni more of a government failure kuliko tanesco failure!

politicians ndio tatizo wala sio Tanesco

kaingia hanga,then,umeme ndio utawaka?
 
maharagwe kaondolewa,then umeme ndio utarudi?

tanesco problem wala sio uongozi,ni political issue,ni more of a government failure kuliko tanesco failure!

politicians ndio tatizo wala sio Tanesco

kaingia hanga,then,umeme ndio utawaka?
Rubbish and Nonsensical.
 
Back
Top Bottom