Kwanini mnatumia njia ndefu sana za kumtafutia Sababu za Kumuondoa CEO wa 'Umeme Tanzania?

Kwanini mnatumia njia ndefu sana za kumtafutia Sababu za Kumuondoa CEO wa 'Umeme Tanzania?

Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
Swali la kujiuliza walipo mteua maharage waliangalia vigezo gani na walipo mtoa wameangalia nn
 
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.

Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.

Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere likianza ana hadi pale vyanzo vipya vya umeme vikiongezeka.

Chanzo cha tatizo sio makamba, maharage, kalemani ama nani, chanzo ni Tanzania hatukuwekeza kwenye vyanzo vipya vya umeme kwa miaka mingi huku mahitaji yakiongezeka kila siku.
Acha kufuru! Malaika Gabriel unamfahamu? Kusema kuwa hata yeye hawezi kumaliza tatizo la umeme maana yake inaielewa vizuri?
 
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.

Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.

Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere likianza ana hadi pale vyanzo vipya vya umeme vikiongezeka.

Chanzo cha tatizo sio makamba, maharage, kalemani ama nani, chanzo ni Tanzania hatukuwekeza kwenye vyanzo vipya vya umeme kwa miaka mingi huku mahitaji yakiongezeka kila siku.
Acha kufuru! Malaika Gabriel unamfahamu? Kusema kuwa hata yeye hawezi kumaliza tatizo la umeme maana yake inaielewa vizuri?
 
Jiwe ndiye chanzo cha yote haya kama ukiangalia kwa umakini
 
Swala sio kuondoa mtu... Unaweza kumuondoa mtu kumbe bado ana connection na watu wa kwenye Taasisi husika bado anaendelea kufanya huo ujinga akiwa nje ya taasisi. Magufuli aliwahi kusema Maji yanapunguzwa kijanja kwenye bwawa hili watu wauze majenereta na petrol... Ukizingatia sasa hivi petrol imepanda Bei, hivyo mtu mwenye kutegemea umeme kwenye shughuli zake analazimika kununua Generator kwa lazima na kununua Petrol kwa lazima hili hasishinde njaa.

Ukitizama wamiliki wa vituo vya Sheli na wamiliki wa kampuni za kuuza Generators utakuta mabosi ni hawa hawa viongozi. Mtu kuamishwa wizara sio kwamba ndio umemkomoa, kama bado ana connection na watu wa wizara aliyotoka bado madili yataendelea tu.
Hivi kwa mtu timamu unaweza chukua maneno ya Jiwe kama reference [emoji848]
 
Acha kutetea utahira wewe... Unalinganisha Umeme wa Magufuli na umeme huu... Kwanza hata ulivyokuwa unatokea mgao kipindi cha Magufuli, tulikuwa tunatangaziwa kwenye page za TANESCO kwamba maeneo fulani umeme utakatika kwanzia saa fulani hadi Mida fulani...

Sasa hivi umeme unakatika tu, hakuna taarifa, ukiuliza kuna mgao wanakwambia hakuna mgao.... Taarifa rasmi ya ratiba ya kukatika kwa umeme hawatoi... Serikali yenyewe imekaa kimya
Nenda sasa kalale pale chato pembeni ya kaburi lake uomboleze. Anaweza kukugawia ka umeme kidogo
 
Wewe nimekuuliza ulete evidence ya kwa nini unakataa maji hayapunguzwi kimakusudi, naona umekimbia swali na kuniuliza mimi.

Mimi ukiniuliza kuhusu evidence, nita Kauli ya Magufuli "Kuna watu wanapunguza maji na kuyachepusha, hili itokee shortage ya umeme wauze majenereta na petrol"

Huyu aliyeongea hii kauli kumbuka ni Rais wa Nchi, sio mnywa kahawa... Na rais akitoa kauli kama hii inamaanisha kuna taarifa za kuaminika.

Kaondolewa
Kapewa nafasi kwingine..
 
Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
Shida kweli kweli
 
Tunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.

Endeleeni tu kutuona Mapopoma.
Hahaha, daaaadeki!
 
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.

Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.

Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere likianza ana hadi pale vyanzo vipya vya umeme vikiongezeka.

Chanzo cha tatizo sio makamba, maharage, kalemani ama nani, chanzo ni Tanzania hatukuwekeza kwenye vyanzo vipya vya umeme kwa miaka mingi huku mahitaji yakiongezeka kila siku.
Hivi yupo bado? ni muhimu kuweka akiba ya maneno. . .usinene ukamala
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kumtetea ila ndo aliyeharibu TANESCO, usifananishe mgao wa Kalemani na Marope bila shaka ubongo wako haupo sawa.
Uyo jamaa Ni mpuuzi alietukuka,
Wakti wa kalemani hatukufikia Huku
Aache visingizio, otherwise Ni diaspora

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha kutetea utahira wewe... Unalinganisha Umeme wa Magufuli na umeme huu... Kwanza hata ulivyokuwa unatokea mgao kipindi cha Magufuli, tulikuwa tunatangaziwa kwenye page za TANESCO kwamba maeneo fulani umeme utakatika kwanzia saa fulani hadi Mida fulani...

Sasa hivi umeme unakatika tu, hakuna taarifa, ukiuliza kuna mgao wanakwambia hakuna mgao.... Taarifa rasmi ya ratiba ya kukatika kwa umeme hawatoi... Serikali yenyewe imekaa kimya
Tanesco ya makamba na maharage nlimekua ya hovyo Sana[emoji34]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
maharagwe kaondolewa,then umeme ndio utarudi?

tanesco problem wala sio uongozi,ni political issue,ni more of a government failure kuliko tanesco failure!

politicians ndio tatizo wala sio Tanesco

kaingia hanga,then,umeme ndio utawaka?
Politicians mwenyewe alikuwa January Makamba
 
Na wewe kwa akili zako za kipumbavu ukaamini kabisa kwamba Tanesco wanafunguliaga maji Ili yatoke harafu watu wauze majenereta si ndio? Mna akili za kushikiwa sana.

Washenzi umeme Makamba katoka hakuna visingizio maana naona mnatoa matamko tuu huko huko
Makamba na Maharage wametolewa huku wameshapunguza Maji kwenye mabwawa. Kipimo Cha walioingia ni kuanzia msimu ujao wa Mvua. Pia watafanya upelelezi zaidi wa mbinu Fisadi zingine zilizotumiwa nao.
Wewe si miongoni mwa Watanzania Magufuli alisema sasa Wana akili.
 
Makamba na Maharage wametolewa huku wameshapunguza Maji kwenye mabwawa. Kipimo Cha walioingia ni kuanzia msimu ujao wa Mvua. Pia watafanya upelelezi zaidi wa mbinu Fisadi zingine zilizotumiwa nao.
Wewe si miongoni mwa Watanzania Magufuli alisema sasa Wana akili.
🗑️🗑️
 
Tanesco ni shirika mfu tangu kuanzishwa kwake, halijawahi kuwa imara licha ya vyanzo kibao tulivyonavyo. Shame on you.
 
Back
Top Bottom