bestchoicetz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2023
- 383
- 875
Swali la kujiuliza walipo mteua maharage waliangalia vigezo gani na walipo mtoa wameangalia nnTunajua kuwa Yeye na aliyeko Foreign sasa lao lilikuwa ni moja na mpaka hi Kata Washa na Washa Kata no kutokana na Upumbavu na Ufisadi wao huko Umeme Tanzania.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamumtaki Maharage Mabovu na Kumuondoa hapo Umeme Tanzania mnamuonea Aibu hivyo sasa mnatumia Mbinu ya Kitoto, Kishamba na Kipumbavu ya Kata Washa na Washa Kata ili Watanzania wakiilalamikia hii hali na Kero ndipo nyie mjifanye mmepata sababu ya Kumuondoa na mumweke CEO Wenu mpya mwenye Asili ya Zanzibar Isles.
Endeleeni tu kutuona Mapopoma.