Kwanini mnatumia njia ndefu sana za kumtafutia Sababu za Kumuondoa CEO wa 'Umeme Tanzania?

Swali la kujiuliza walipo mteua maharage waliangalia vigezo gani na walipo mtoa wameangalia nn
 
Acha kufuru! Malaika Gabriel unamfahamu? Kusema kuwa hata yeye hawezi kumaliza tatizo la umeme maana yake inaielewa vizuri?
 
Acha kufuru! Malaika Gabriel unamfahamu? Kusema kuwa hata yeye hawezi kumaliza tatizo la umeme maana yake inaielewa vizuri?
 
Jiwe ndiye chanzo cha yote haya kama ukiangalia kwa umakini
 
Hivi kwa mtu timamu unaweza chukua maneno ya Jiwe kama reference [emoji848]
 
Nenda sasa kalale pale chato pembeni ya kaburi lake uomboleze. Anaweza kukugawia ka umeme kidogo
 

Kaondolewa
Kapewa nafasi kwingine..
 
Shida kweli kweli
 
Hahaha, daaaadeki!
 
Hivi yupo bado? ni muhimu kuweka akiba ya maneno. . .usinene ukamala
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kumtetea ila ndo aliyeharibu TANESCO, usifananishe mgao wa Kalemani na Marope bila shaka ubongo wako haupo sawa.
Uyo jamaa Ni mpuuzi alietukuka,
Wakti wa kalemani hatukufikia Huku
Aache visingizio, otherwise Ni diaspora

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco ya makamba na maharage nlimekua ya hovyo Sana[emoji34]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
maharagwe kaondolewa,then umeme ndio utarudi?

tanesco problem wala sio uongozi,ni political issue,ni more of a government failure kuliko tanesco failure!

politicians ndio tatizo wala sio Tanesco

kaingia hanga,then,umeme ndio utawaka?
Politicians mwenyewe alikuwa January Makamba
 
Makamba na Maharage wametolewa huku wameshapunguza Maji kwenye mabwawa. Kipimo Cha walioingia ni kuanzia msimu ujao wa Mvua. Pia watafanya upelelezi zaidi wa mbinu Fisadi zingine zilizotumiwa nao.
Wewe si miongoni mwa Watanzania Magufuli alisema sasa Wana akili.
 
🗑️🗑️
 
Tanesco ni shirika mfu tangu kuanzishwa kwake, halijawahi kuwa imara licha ya vyanzo kibao tulivyonavyo. Shame on you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…