Kwanini mnawapangia wanawake ukomo wa umri wa kuolewa?

Kwanini mnawapangia wanawake ukomo wa umri wa kuolewa?

Habari yako mleta uzi. Kwanza naomba nikupe pole kwa kukasirishwa na jambo ambalo ni la ukweli.

Haifichiki na ipo wazi kabisa kuwa mwanamke ana muda mfupi sana wa kupoteza kwenye maisha tofauti na mwanaume especially kwenye swala la mahusiano na uzazi.

Unaweza kuwa na dhamira nzuri ya kuwatetea wasishambuliwe au kuumizwa na maneno ya mitandaoni au kwenye jamii ila ukweli huwa hautazami hizi.

Wewe ukiwa ni mwizi mimi nikakuita mwizi ukakasirika na kulalamika kuwa nakufanya ujisikie vibaya jua wewe ndie tatizo si mimi.

Kuna hiki kitu kwa wanawake kinaitwa biological Clock [emoji355],yaani saa ya kibaiolojia. Hii kitu huanza count down mara tu binti anapovunja ungo sio anapomaliza shule au chuo.

Hii biological Clock huwa inamzuia mtoto wa kike kuwa na luxury ya kujisubirisha kwenye mambo yake ya msingi kama kuolewa, kupata mtoto/watoto, na kujenga familia. Akicheza na age window yake yaani kuanzia siku kavunja ungo hadi uzee unapogonga hodi yaani kati ya miaka 35 hadi 40 ndio basi tena.

Mwanamke akifika umri huo kuna vitu vingi vitakinzana na uanamke wake. Vitu vyenyewe ni kama ifuatavyo.

Mwanamke akichelewa sana kuanza mahusiano serious ni ngumu sana kusitiri mwili wake sababu hatakuwa anadate serious atakuwa anachukua watu kwa vigezo nje ya vile vya ndoa anaweza akawa anachagua wanaume kwa vigezo kama kimo cha urefu wa mwili, rangi ya ngozi, utanashati, kiwango cha pesa, umiliki wa mali, aina ya kazi anafanya, etc sababu ambazo akishafikia umri wa kutaka kuanza kuwa serious hizo sababu hazitakuwa na maana tena maana zina uzito mdogo sana kwenye ujenzi wa mahusiano na familia bora. Hii inamaanisha mwanamke atajikuta anadate na watu todauti nyakati tofauti na kuwa na body count kubwa ya wanaume aliowahi wavulia nguo.

Umri unapozidi kwenye mwanamke anarisk kuwa na idadi ndogo ya watoto jambo ambalo linahusishwa na kansa ya matiti na mirija ya uzazi. Ndio maana on average kwasasa wanawake wanaochelewa sana huwa anaweza ishia watoto wawili au m'moja.

Umri unapokwenda muonekano wa mwanamke hukosa mvuto na kufifia. Mwanamke anakuwa na muonekano wa uzee ile hali idadi ya mabinti wanaozaliwa na kubalehe iliongezeka na hii humuweka mazingira magumu sana kumudu kuvutia wanaume tena. Hivi unaweza nunua gari ya mwaka 1980 kwa gharama kubwa na kuacha gari ta mwaka 2015 kwa gharama nzuri.

Mwanamke anavyozidi kuchelewa mahusiano serious anarisk kupata mwanaume atakae muelewa. Sababu kibailojia,kisosholojia na kisaikolojia, mwanaume hutakiwa kukaa miaka isiyopungua saba ili kuweza kukaa na mkewe na kumzoea kiasi kwamba iwe ngumu kutengana nae na wawe marafiki. Sasa mwanamke unakuja anza date na mwanaume unakutana nae ukiwa na miaka 38 huko, mara nyingi ni wanaume wenye changamoto zao ndio maana wapo available.

Mwanamke akishavuka miaka 35 huwa harekebishiki au kubadilishwa mwenendo. Ataigiza ili kuvutia mwanaume ila kama ana viburi, dharau, na changamoto zinginezo huyo hawezi kubadilika hata iweje ataigiza ila eventually atarejea kwenye character yake. Sio wote huwa wanafika umri huo wakiwa na tabia zisizopendeza ila possibility ya mwanamke mwenye mwenendo mzuri kufika umri huo bila ndoa na mahusiano serious ni ndogo sana. Wengi huwa wanakuwa wameshaolewa by age 24 hadi 25. Ukiona mwanamke upo above 30 ,usiumize kichwa wala kwenda kwa mwamposa, wewe ndie tatizo by 100% mimi sitakufariji nakwambia ukweli mchungu. Unaweza kushindwana na mwanaume m'moja that's okay, anaweza kuwa ni changamoto, wanaume 10 khaaaaaah wewe, yaani wewe tu ndie unaekosewa?!


Sidhani kama natakiwa kukumbusha kuhusu complications za uzazi endapo mwili wako haupo imara of which kwa maisha ya sasa wadada wengi wana lishe mbovu sana ambayo inaleta shida kwenye maswala ya uzazi so risks ni nyingi ukitazama kwa binti wa kisasa kuchelewa kuanza uzazi especially katika umri wa miaka 30 and above.

Pia nizungumzie swala la idadi ya wanaume wengi huharibu akili ya mtoto wa kike automatically ubongo wake utajiseti kuwamini kuwa kila baada ya muda fulani anatakiwa kuwa na mtu mpya sababu ndio mfumo kazoea wa kubadili so furaha yake inakuwa katika kulala na mwanaume mpya, ukikutana na mwanamke katika umri above 25 ameshalala na wanaume zaidi ya wawili hapo si mahala salama. Huyo mwanamke tayari anakuwa ameshakuwa Promiscuous yaani ni yale tunasema Maharage ya mbeya maji ni mara moja. Mwanamke ambaye amefurahia kuvulia nguo wanaume zaidi ya wawili, hatoshindwa kuvulia wengine pale atapoona haumpi anachotaka .
Values za me vs ke ziko top down with age. Tukibalehe wote value ya ke iko >100+% huku me ikiwa <0% Ila Sasa with time huyu anazidi ku gain value mwingine Aki lose value. Huu Ni ukweli hata akatae. Bila kwa hamu ya tendo la seex or ngonoo nadhani kwetu mie huwa >100% huwa appetite Ina decay with time. Huku nyie ikizidi kuongezeka. So inafikia muda unamuhitaji mwanaume yeye hamu haipo kivile.

Ukitaka kujua hili chukua kijana wa kiume wa 15yrs aliyebalehe na ambaye Yuko late 40 zile appetite Zina gradient kubwa with time.

Hii naweza nikakosolewa la hamu ya kusexx am not so sure but I take myself as sample space
 
Hizo ni fikra zako ulizozipa ukomo hapo si nature, fikiri nje ya box

Sasa kama kuna menopause Kwa nini wasipangiwe umri wa kuolewa?
Au haujui moja ya lengo la kuingia ndoani ni pamoja na kuzaa?

Hoja yako nzuri ni kuhusu Tabia Mbaya ya wanaume ambao wakikataliwa na Wanawake huwatishia Kwa kutumia kigezo cha umri wa kuolewa.

Ila Kwa Mwanamke umri na miaka ni kila Kitu. Iwe ni kwenye Ndoa, iwe kwenye siku zake, iwe kwenye Jambo lolote.
Mwanamke anakalenda Ila mwanaume Hana.
Hiyo ndio Sababu Wana time limit katika mambo Yao mengi
 
Kwahiyo we hutaki wajizolee Tu sababu ya pressure ya umri?
Lakini unakubali kuwa kuna kitu kinaitwa biology clock Kwa wanawake??

Hawa Watoto wa siku hizi wanachekeshaga Sana.
Alafu utashangaa ni Msomi kabisa wa ngazi ya shahada.

Yaani hajui kuwa Kwa Mwanamke muda ni Jambo muhimu kwake
 
Habari yako mleta uzi. Kwanza naomba nikupe pole kwa kukasirishwa na jambo ambalo ni la ukweli.

Haifichiki na ipo wazi kabisa kuwa mwanamke ana muda mfupi sana wa kupoteza kwenye maisha tofauti na mwanaume especially kwenye swala la mahusiano na uzazi.

Unaweza kuwa na dhamira nzuri ya kuwatetea wasishambuliwe au kuumizwa na maneno ya mitandaoni au kwenye jamii ila ukweli huwa hautazami hizi.

Wewe ukiwa ni mwizi mimi nikakuita mwizi ukakasirika na kulalamika kuwa nakufanya ujisikie vibaya jua wewe ndie tatizo si mimi.

Kuna hiki kitu kwa wanawake kinaitwa biological Clock [emoji355],yaani saa ya kibaiolojia. Hii kitu huanza count down mara tu binti anapovunja ungo sio anapomaliza shule au chuo.

Hii biological Clock huwa inamzuia mtoto wa kike kuwa na luxury ya kujisubirisha kwenye mambo yake ya msingi kama kuolewa, kupata mtoto/watoto, na kujenga familia. Akicheza na age window yake yaani kuanzia siku kavunja ungo hadi uzee unapogonga hodi yaani kati ya miaka 35 hadi 40 ndio basi tena.

Mwanamke akifika umri huo kuna vitu vingi vitakinzana na uanamke wake. Vitu vyenyewe ni kama ifuatavyo.

Mwanamke akichelewa sana kuanza mahusiano serious ni ngumu sana kusitiri mwili wake sababu hatakuwa anadate serious atakuwa anachukua watu kwa vigezo nje ya vile vya ndoa anaweza akawa anachagua wanaume kwa vigezo kama kimo cha urefu wa mwili, rangi ya ngozi, utanashati, kiwango cha pesa, umiliki wa mali, aina ya kazi anafanya, etc sababu ambazo akishafikia umri wa kutaka kuanza kuwa serious hizo sababu hazitakuwa na maana tena maana zina uzito mdogo sana kwenye ujenzi wa mahusiano na familia bora. Hii inamaanisha mwanamke atajikuta anadate na watu todauti nyakati tofauti na kuwa na body count kubwa ya wanaume aliowahi wavulia nguo.

Umri unapozidi kwenye mwanamke anarisk kuwa na idadi ndogo ya watoto jambo ambalo linahusishwa na kansa ya matiti na mirija ya uzazi. Ndio maana on average kwasasa wanawake wanaochelewa sana huwa anaweza ishia watoto wawili au m'moja.

Umri unapokwenda muonekano wa mwanamke hukosa mvuto na kufifia. Mwanamke anakuwa na muonekano wa uzee ile hali idadi ya mabinti wanaozaliwa na kubalehe iliongezeka na hii humuweka mazingira magumu sana kumudu kuvutia wanaume tena. Hivi unaweza nunua gari ya mwaka 1980 kwa gharama kubwa na kuacha gari ta mwaka 2015 kwa gharama nzuri.

Mwanamke anavyozidi kuchelewa mahusiano serious anarisk kupata mwanaume atakae muelewa. Sababu kibailojia,kisosholojia na kisaikolojia, mwanaume hutakiwa kukaa miaka isiyopungua saba ili kuweza kukaa na mkewe na kumzoea kiasi kwamba iwe ngumu kutengana nae na wawe marafiki. Sasa mwanamke unakuja anza date na mwanaume unakutana nae ukiwa na miaka 38 huko, mara nyingi ni wanaume wenye changamoto zao ndio maana wapo available.

Mwanamke akishavuka miaka 35 huwa harekebishiki au kubadilishwa mwenendo. Ataigiza ili kuvutia mwanaume ila kama ana viburi, dharau, na changamoto zinginezo huyo hawezi kubadilika hata iweje ataigiza ila eventually atarejea kwenye character yake. Sio wote huwa wanafika umri huo wakiwa na tabia zisizopendeza ila possibility ya mwanamke mwenye mwenendo mzuri kufika umri huo bila ndoa na mahusiano serious ni ndogo sana. Wengi huwa wanakuwa wameshaolewa by age 24 hadi 25. Ukiona mwanamke upo above 30 ,usiumize kichwa wala kwenda kwa mwamposa, wewe ndie tatizo by 100% mimi sitakufariji nakwambia ukweli mchungu. Unaweza kushindwana na mwanaume m'moja that's okay, anaweza kuwa ni changamoto, wanaume 10 khaaaaaah wewe, yaani wewe tu ndie unaekosewa?!


Sidhani kama natakiwa kukumbusha kuhusu complications za uzazi endapo mwili wako haupo imara of which kwa maisha ya sasa wadada wengi wana lishe mbovu sana ambayo inaleta shida kwenye maswala ya uzazi so risks ni nyingi ukitazama kwa binti wa kisasa kuchelewa kuanza uzazi especially katika umri wa miaka 30 and above.

Pia nizungumzie swala la idadi ya wanaume wengi huharibu akili ya mtoto wa kike automatically ubongo wake utajiseti kuwamini kuwa kila baada ya muda fulani anatakiwa kuwa na mtu mpya sababu ndio mfumo kazoea wa kubadili so furaha yake inakuwa katika kulala na mwanaume mpya, ukikutana na mwanamke katika umri above 25 ameshalala na wanaume zaidi ya wawili hapo si mahala salama. Huyo mwanamke tayari anakuwa ameshakuwa Promiscuous yaani ni yale tunasema Maharage ya mbeya maji ni mara moja. Mwanamke ambaye amefurahia kuvulia nguo wanaume zaidi ya wawili, hatoshindwa kuvulia wengine pale atapoona haumpi anachotaka .
Halafu mtu anasema watu waliomo JF ni majini? Daah, wabongo wengine hawana ubongo. Hongera kwa kutukata shule mkuu. Nimependa sana ulivoeleza...[emoji1374]
 
Mwanamke ambae hajaolewa hanatofauti na gari lisilo na matairi ..sijui umenielewa
 
Unakoma kutoa mayai ya kiumbe hai ufikapo 45yrs. Kila kitu kipo numbered my sister yaani ukibisha Basi utakuwa unabishia uimbaji wa Aliye juu mbinguni.

Why umri wa kubalehe unajulikana upo eneo fulani from 11-15yrs, umri wa kuishi duniani uko numbered Tena kwenye maandiko.

Ke ambaye anazaa watt akiwa around 18-34 akafunga Ni tofauti na wewe ukianza kuzaa watt wako from 35-45 yaani watt wako hawatafanana. Hii Ni sayansi. Tafuta kitu kinaitwa mongolism ndio utajua.

Mie mke wangu nilimuoa akiwa 17yrs bado mbichi kabisa.

Yaani elewa hapa duniani kila kitu kipo numbered niambie nitakuonyesha, yaani hakuna kilicho bahati mbaya tu yaani kimejitokeza tu from nowhere.

Na kila kitu huwa una trade yaani unafanya kitu ili upate furaha and nothing else.

Hujapangiwa wewe kaa ukifika 50s ndio uanze kutafuta mchumba ndugu yangu.


Kuna muda wa mtt wa kukaa tumboni,kunyonya,kuota meno,yaani kila kitu kipo na hesabu na ndio Mana maandiko yanasema idadi ya nywele zako zinajulikana na tumeonywa tusipoteze muda wetu ovyo Mana tutakuja kuulizwa ama kuulipia huko mbinguni Ni sawa umepewa talanta Ila huifanyii kazi.


Jiulize why yai lako linatoka kila baada ya fixed days eg 26-31 ,jiulize why mbalamwezi inaizunguka dunia siku 28 na wewe tunasema akaenda mwezini,ama umeona mwezi wako ,jiulize why dunia inazunguka jua kwa siku 365.25/366.

Usipingane na uumbaji ama asili. Yaani jaribu kufanya utafiti tembea kila nchi na majiji yote duniani ukiwa wewe around 34-45na kabinti kabichi kabisa kapo around 17-25yrs utaona atakayekuwa anaitwa na kusalimiwa na wanaume zaidi. Yaani utaona mwenyewe yaani Mungu hakuwa mjinga kuumba iwe ivyo so don't question or to find the reason,you won't get it to satisfy your EGO or desire to make things to happen in your surroundings.


Ngoja nikuache Ila bishia ukweli kuwa sumaku inavuta chuma na sio mbao Kama unavyohoji hapa.

Thank you
Hongera pia kwa elimu hii...jamani waliomo JF ni watu na sio majini au wapumbavu kama wengine wanavyojaribu kuichafua JF. Alie na masikio, na asikie...
 
Pole sana kwa mawazo mgando, tatizo waafrika mnawaza ngono kila uchao ila elewa ndoa ni zaidi ya ngono kwa watu wenye umri wa utu uzima,
Wengi wanahitaji upendo, faraja, furaha na kuleana,

Subiri uzeeke ndio utaelewa kwa sasa ujana wakuzuzua.
Huo upendo unatoka wapi na watu hamjuani hamna history ya pamoja.
 
Kwanini wahenga waliweza kuishi na wake zaidi ya mmoja na wakaelewana kwa muda mrefu? Walifundwa.

Pitia uzi kwa kubofya hapo chini ujifunde kwa kina na upana zaidi kuhusu wanawake / wanaume 👇🏾

 
Kwasababu Muumba amekwisha wapangia umri wa kubeba mimba na sisi hatupendi muwe single mothers Mkuu.

Angalia wimbi kubwa la wanawake wanaotafuta wachumba JF na mtaani wengi umri wao ni machweo 30+ na hata vigezo vyao sio vikali, tofauti kabsa na wa miaka 20+ hapa JF na huko mtaani.
Kuna wengine wanataka wanaume Hadi wenye 75years old, imagine😭😭😭😭
 
mwanamme kwa asili ni mbinafsi, dikteta na kandamizi. Ili hayo yafanikiwe sasa hutumia strategy ya kumfanya mwanamke ajione asiyefaa kabisa, asiyestahili upendo huruma wala heshima, njia mojawapo ni kumsakama mwanamke sababu ya umri wake kumfanya awe vulnerable kwa mwanamme na hii itamfamya apatikane bila usumbufu kwa mwanamme.
 
Kuna katabia kapo hata sijui aliyekaanzisha nani aisee, ka kuamini kila mwanamke anataka kuolewa na ndio lengo au ndoto za maisha yake.

Utakuta wanaume wanamtongoza mwanamke akikataa wanaanza kusema anaringa kwa kuwa bado umri haujaenda, ukienda ataokota yoyote aliye mbele yake ili aolewe, wakati huo jua lishazama.

Wakikataa wanakutana na maneno kama; kalenda inaenda wewe changamka, unaringa wakati una miaka 30? Unaringa hujui mwanamke anazeeka haraka! Unaringa na jua lishazama? Endelea kuringa utakosa soko wewe! Una miaka miwili tu ya kupata mtoto hapo si uolewe?!

Kwani aliyewaambia huyo mwanamke anataka kuolewa nani? Tamaa zenu tu ndio zinawafanya muwapangie wanawake wakifika umri fulani waolewe, matokeo yake pressure wanayopewa wanakubali yoyote hata wasiomtaka.

Kwa hiyo mnataka binti ajizolee yoyote ili mradi kuuwahi umri? Kwanza nani kawaambia lazima kila binti aolewe? Kwani asipoolewa ataumwa au atakufa kwa kutokuolewa? Mwacheni dada wa watu atimize malengo yake, ataolewa hata na miaka 70 kama akitaka kuolewa. Kwani hakuna wanaoolewa na miaka 80?

Acheni kuwapa pressure ya ndoa wanawake kwa kigezo cha umri, nao wana malengo na ndoto zao za kutimiza kabla ya kuingia kwenye hizo ndoa.
Wadanganye
 
Kuoa na kuolewa kuna muda maalumu asikwambie mtu, jamii iliyostarabika inaoa na kuolewa kwenye early 20's sasa uoe au uolewe na miaka 40 uzae mtoto aje kufikia umri wako wa miaka 40 ww utakuwa na miaka mingapi? Hata wanawake wanahauriwa kuzaa mapema kipindi mayai yakiwa na rutuba ndo utapata watoto wenye akili, sasa unazaa na miaka 45 utatoa mtoto zezeta na asifundishika!

Wanasaikolojia wote wamegawa vipindi vya makuzi ya binadamu kuanzia tumboni mpaka kuzaliwa hadi kufa na kila stage ina mambo yake , ukivuka stage moja utaathiri stage nyingine kipindi cha miaka 30- 45 kila binadamu anatarajia kuwa tayari ana familia sasa familia uipate kwa miaka 70??
 
Pole sana kwa mawazo mgando, tatizo waafrika mnawaza ngono kila uchao ila elewa ndoa ni zaidi ya ngono kwa watu wenye umri wa utu uzima,
Wengi wanahitaji upendo, faraja, furaha na kuleana,

Subiri uzeeke ndio utaelewa kwa sasa ujana wakuzuzua.
Ukiolewa na Miaka 40 huzai unapata raha gani
 
Back
Top Bottom