Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

[emoji23][emoji23]ungekoment ulichoelewa mkuu na mimi nimeelewa tofauti that's all na sio ugomvi
Figisu uliyotumia umetufanyia vurugu.. nikutakie heri ya mwaka mpya tu..😂
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
Mtu mwenye Virusi vya Ukimwi (VVU) anakuwa na uwezekano mdogo wa kuambukiza iwapo atakuwa anatumia dawa za kufubaza makali ya virusi (ARVs) vizuri na kwa muda mrefu.

Matumizi mazuri ya dawa hupelekea vizuri hata virusi kutoonekana katika vipimo (undetectable level)...

Nadhani hii ndo itakuwa sababu ya wewe kutoambukizwa.
 
Kwa Sababu hauugopi....hao HIV ndio wanakuogapa Sasa!
 
Huna akili
Nadhani ukitulia kidogo utamuelewa!! Ana hoja nzuri tu! Sometimes, only time will tell! Wanasema za mwizi ni arobaini! Anaweza akaiba sana na asikamatwe ila siku moja tu itabadilisha historia! Hata hivyo, Mungu ndiye ngome yetu! Ukiwa na Mungu utakula vya kufisha na hautakufa! Mungu kampa nafasi hiyo ya upendeleo kwa kusudi maalumu! Aendelee kumtumikia Mungu!
 
Picha ya cheti cha majibu.

Picha ya cheti cha ndoa.

Just anything to confirm you two are married na mke ni positive.
 
Kiongozi hapo umeonyesha kabisa kuwa muathirika anatumia dawa kwa hiyo hapo nadhani wewe kiongozi elimu ya huu ugonjwa kuna sehemu hujaielewa.Kinashokukinga wewe kutopata ugonjwa ni mke wako kutumia dawa kikamilifu. Sikushauri ufanye hili ila unaweza ku test zali kwa kumwambia aache kutumia dawa kisha uendelee kupiga show bila kinga,utakuja kutupa mrejesho hapa fasta.
Sawa Mkuu nimekuelewa,lakini si mtumiaji kikamilifu maana hapo nyuma mama mtu alifanya siri hivyo hakuwa anatumia kikamilifu hata wakat naoa hakuwa anatumia kabisa,nilipokuja kujua katika kuchanganyikiwa kwangu niliwahi kumuacha kama mwaka nikaoa mtu mwingine,katika kpindi hiki alikiwa na stress sana na ndio hakuwa anatumia kabisa hata alifikia kutaman awahi kutangulia tu kuzimu.ni mengi sijayaandika ningejaza kurasa ila nilipoamua kumrudia ndio nilianza kumsimamia kikamilifu na tunaendeleza uzao.

Kwahiyo hii kutumia kikamilifu ni muda mchache sana
 
We subir ipo siku utapata unachokitaka mkuuu
Sawa mkuu hata nikipata si shida kwangu nafsi yangu iko sawa tu sioni kuwa nikiambiwa tayari nimepata labda nitashtuka zaid ya kutabasamu maana nimekubaliana na lolote lile kiroho safi.yaani ni powa tu
 
Kwa Sababu hauugopi....hao HIV ndio wanakuogapa Sasa!
UMENIFANYA NIMECHEKA KWA SAUTI KUBWA HAPA NILIPO,UMENITIA AIBU MAANA nmeONEKANA NACHEKA TU NA SIMU MPAKA NIKAULIZWA kulikoni bro! nikavunga aaah kuna katuni imenivunja mbavu huko fb,akaongeza hebu nami nione nikatia imu mfukoni maana hajui hii situation
 
Picha ya cheti cha majibu.

Picha ya cheti cha ndoa.

Just anything to confirm you two are married na mke ni positive.
mkuu baada ya kukupatia haya kuna ushauri gani ambao ungeutoa kutokana na hali husika niliyoielezea?mm nahitaji tujue hali hii inatokana na nini ili sote kwa pamoja tupate elimu,hebu nichukulie serious kwenye hili na useme neno ndgu yangu kuhusu lengo la post hii.
 
mkuu baada ya kukupatia haya kuna ushauri gani ambao ungeutoa kutokana na hali husika niliyoielezea?mm nahitaji tujue hali hii inatokana na nini ili sote kwa pamoja tupate elimu,hebu nichukulie serious kwenye hili na useme neno ndgu yangu kuhusu lengo la post hii.
Picha kwanza za kuthibitisha.
 
Back
Top Bottom