Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?


Wanasemaga kirusi hafi ile dawa inapunguzaje wingi wa virus?
 
Vipimo vya kutambua blood group vipo ila sina uhakika wa gharama, ni vzr sana kujua blood groups yako na ya watu wako wa karibu, kuna dharura zinaweza tokea zikawa solved early!
 
HIV ya mkeo ni tofauti kidogo. HIV yake kazaliwa nayo maana yake hivyo Virus vya HIV kaweza kuvizibiti Afya yake ipo njema. Kitu cha muhim asipate maambukizi mengi kutoka kwa Mtu Mwingine hapo tatizo litaanza
 
Hupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Ungesoma bandiko lenyewe basi!!!
 
Kiranga naomba utie neno hapa maana jamaa anakuchokoza huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]scan reading unaijua, wewe title tu inatosha kuliko kujichosha na long paragraphs, hafu kwanini wewe usi comment unachokijua Sasa mfyuuu
Sio lazima nicoment, Kama naona wajumbe wameseme nliyotaka kusema nanyamaza tu!! Afu inaonekana una kihere here na heshima yako Ni ndogo kwa mume wako
 
Mkuu jamaa amekuja kujua kama mkewe ni mwathrika inawezekana kipindi Cha ujauzito Cha Mke wake baada ya kumuoa ila inawezekana ata kabla ya ndoa jamaa alikuwa anaendelea kufanya nae mapenzi bila kondomu

Kumbuka kuwa Mke wake pia alikuwa hajui kama ameathirika na dawa ameanza kutumia kipindi ambacho amegundulika ni mwathrika, I bet ndo hicho kipindi cha ujauzito, inaonekana jamaa alikuwa ana sex nae kabla ata hajaanza kupata dawa na hakupata maambukizi

kwahiyo hoja yako ya kusema Mke wake aache kutumia dawa Kisha jamaa aendelee na zoezi sex kutakuwa na tofauti gani na mwanzo kipindi ambacho Mke wake alikuwa hatumii dawa na jamaa hakupata maambukizi
 
Hongera sana mzehe

Ushauri wangu, wale wa translate kazi kwenu "kumesikika siku za hapo nyuma ni kwamba, dawa ya kupunguza makali ya vvu inatolewa soon, dawa hiyo itakuwa unapatiwa kila baada ya 6month's kama ckosei, sasa naomba muwasilishe ujumbe huu "hatutaki hiyo dawa, ngono zitarindima"
 
Kutokana na maelezo ya mtoa mada ni kwamba alikuja kugundua kuwa mkewe ni mwathrika baada ya miezi kupita na inawezekana ilikuwa ni kipindi Cha ujauzito Cha mkewe

ila kabla ya hapo ata huyo mkewe alikuwa hajui kama nayeye ni mwathrika kwahiyo jamaa hicho kipindi chote ye alikuwa anafanya sex na mwathrika ambae hatumii dawa

Kwahiyo hapo sababu ya yeye kutokupata maambukizi haiwezi ikawa ni matumizi ya ARV Kwa Mke wake, tucheki sababu ingine kama ipo mkuu
 
Ukichunguza ukimwi ni laana so kwanini upati umetulia kama ishara ya toba.Ila ukitaka ukupate mnyanyapae au msaliti mkeo hakika utapata na hata watoto watakuja kupata .
 
Hata dawa wanazotumia sio dawa za kuua virus, na ukimwi wenyewe pia sio ugonjwa! Ni upungufu tu wa kinga mwilini.
Na pia mtu hafi kwa ukimwi bali kwa magojwa nyemelezi!

Kiufupi hakuna ugonjwa unaitwa ukimwi!

Pep Guardiola anapigana round ngapi na Antony Joshua,wakati tunapiga kura Rungwe awe spika wa bunge la Marekani.
 
Kama anatumia ARV, kishapoteza uwezo wa kuambukiza ukimwi huyo mkeo,
Au wewe ni hivyo virus havikuathiri,, chukulia case yako mfano wa watu wengine kutopata covid 19,hata akikoholewa na mgonjwa wa covid,,
Watu wengine ni resistant kwa haya magonjwa ya virus

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Swala sio wewe kupata virus ishu iko hvi. Huenda mwenza wako ana viral load <50cell/mm mtu hyo chance ya kuambukiza ni ndogo mnoo na hususani watu wanao tumia dawa ipasavyo i mean daily ..acha hao wanaona ruka ruka chance ya kuambkiza mtu hua ni ndogo .. ishu nyingne kuna jamii ya watu kweny cell zao hakna cell receptors ambapo ndio zinaruhusu viral kuji attach kweny wbc apate kuweka RNA zake (material)
 
Kiranga naomba utie neno hapa maana jamaa anakuchokoza huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajafafanua hiyo sehemu aliyoandika Mungu muweza yote ni neno la imani au fact.

Kama ni imani, sina tatizo naye. Anatumia haki yake ya kikatiba kuamini anachotaka.

Kama anaandika factually, ana wajibu wa kuthibitisha kwamba alichoandika ni kitu cha kweli na hapotoshi jamii.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kikusya toa neno hapa [emoji115][emoji115][emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…