Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Nimewahi kusikia kuwa Mwathirika anayetumia dawa za kufubaza Virus (ARV) kwa usahihi yuko kwenye nafasi ndogo sana ya kuambukiza wengine.
Kwa maana zile dawa hupunguza kwa kiasi kikubwa wingi Wa Virusi kwenye Damu ya Muathirika.
Wataalamu watafafanua zaidi.
Hata dawa wanazotumia sio dawa za kuua virus, na ukimwi wenyewe pia sio ugonjwa! Ni upungufu tu wa kinga mwilini.Wanasemaga kirusi hafi ile dawa inapunguzaje wingi wa virus?
Vipimo vya kutambua blood group vipo ila sina uhakika wa gharama, ni vzr sana kujua blood groups yako na ya watu wako wa karibu, kuna dharura zinaweza tokea zikawa solved early!ASANTE kwa mchango wako ndugu yangu acha tusubiri wataalam waje waseme kitu mwisho wa siku tujifunze mimi na wew na wengineo,lakini je haya magroup ya damu ukitaka kujua kama uko group gani na taarifa za group lako hospitali kuna vipimo vya kujua group lako na taarifa zake?kama vipo garama za vipimo hivo zikoje kama unafahamu Twilumba.
Fafanua hapa mkuu! Km hamna iwaje wngn waupate? Au ile inakua ni nn?
Wanasemaga kirusi hafi ile dawa inapunguzaje wingi wa virus?
Ungesoma bandiko lenyewe basi!!!Hupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Kiranga naomba utie neno hapa maana jamaa anakuchokoza huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nisikitika sana mpaka leo Hatujui kisa kidogo kama chako. Wasomi na wanasayansi wetu wanasubiri kuteuliwa tu. HIV na Malaria tumewaachia wazungu waumize vichwa, walete majibu za tafiti zao na tiba pia. Swala lako kama ni kweli basi, tungekuona ukitumika katika tafiti. Ngoja tumwachie MUNGU NI MWEZA WA YOTE. Ujanja ni kuchanjwa corona ipo. Umechanja lakini?
Sio lazima nicoment, Kama naona wajumbe wameseme nliyotaka kusema nanyamaza tu!! Afu inaonekana una kihere here na heshima yako Ni ndogo kwa mume wako[emoji23][emoji23][emoji23]scan reading unaijua, wewe title tu inatosha kuliko kujichosha na long paragraphs, hafu kwanini wewe usi comment unachokijua Sasa mfyuuu
Mkuu jamaa amekuja kujua kama mkewe ni mwathrika inawezekana kipindi Cha ujauzito Cha Mke wake baada ya kumuoa ila inawezekana ata kabla ya ndoa jamaa alikuwa anaendelea kufanya nae mapenzi bila kondomuKiongozi hapo umeonyesha kabisa kuwa muathirika anatumia dawa kwa hiyo hapo nadhani wewe kiongozi elimu ya huu ugonjwa kuna sehemu hujaielewa.Kinashokukinga wewe kutopata ugonjwa ni mke wako kutumia dawa kikamilifu. Sikushauri ufanye hili ila unaweza ku test zali kwa kumwambia aache kutumia dawa kisha uendelee kupiga show bila kinga,utakuja kutupa mrejesho hapa fasta.
Kutokana na maelezo ya mtoa mada ni kwamba alikuja kugundua kuwa mkewe ni mwathrika baada ya miezi kupita na inawezekana ilikuwa ni kipindi Cha ujauzito Cha mkeweMtu mwenye Virusi vya Ukimwi (VVU) anakuwa na uwezekano mdogo wa kuambukiza iwapo atakuwa anatumia dawa za kufubaza makali ya virusi (ARVs) vizuri na kwa muda mrefu.
Matumizi mazuri ya dawa hupelekea vizuri hata virusi kutoonekana katika vipimo (undetectable level)...
Nadhani hii ndo itakuwa sababu ya wewe kutoambukizwa.
Hata dawa wanazotumia sio dawa za kuua virus, na ukimwi wenyewe pia sio ugonjwa! Ni upungufu tu wa kinga mwilini.
Na pia mtu hafi kwa ukimwi bali kwa magojwa nyemelezi!
Kiufupi hakuna ugonjwa unaitwa ukimwi!
Kama anatumia ARV, kishapoteza uwezo wa kuambukiza ukimwi huyo mkeo,Habari zenu
Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi
Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.
Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli
Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV.
Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.
Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama
Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.
Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE.
Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.
Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.
Nawasilisha
[emoji846][emoji846][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]scan reading unaijua, wewe title tu inatosha kuliko kujichosha na long paragraphs, hafu kwanini wewe usi comment unachokijua Sasa mfyuuu
Hajafafanua hiyo sehemu aliyoandika Mungu muweza yote ni neno la imani au fact.Kiranga naomba utie neno hapa maana jamaa anakuchokoza huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kikusya toa neno hapa [emoji115][emoji115][emoji115]Hajafafanua hiyo sehemu aliyoandika Mungu muweza yote ni neno la imani au fact.
Kama ni imani, sina tatizo naye. Anatumia haki yake ya kikatiba kuamini anachotaka.
Kama anaandika factually, ana wajibu wa kuthibitisha kwamba alichoandika ni kitu cha kweli na hapotoshi jamii.