Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
Utasikia;
1. Usikae na ndugu yako ni shida
2. Usiajiri ndugu utakuja kulia
3. Ndugu ni wa kukaa nao mbali na nyingine nyingi
Nafikiri umoja kwa familia na undugu wa damu ndio msingi mkubwa wa maendeleo ya jamii zetu. Tusitegemee kupata maendeleo kama taifa endapo jamii hasa ndugu hawawezi kushirikiana kwenye uzalishaji mali na kazi, hili ni tatizo kubwa sana.
Hebu tutoe maoni huku tukiangalia mifano ya biblia; Kaini na Abeli, Yacobo na Esao, Daudi na ndugu zake, Yusuph na ndugu zake, Isaka na Ishmail, Israel na Palestine.
1. Usikae na ndugu yako ni shida
2. Usiajiri ndugu utakuja kulia
3. Ndugu ni wa kukaa nao mbali na nyingine nyingi
Nafikiri umoja kwa familia na undugu wa damu ndio msingi mkubwa wa maendeleo ya jamii zetu. Tusitegemee kupata maendeleo kama taifa endapo jamii hasa ndugu hawawezi kushirikiana kwenye uzalishaji mali na kazi, hili ni tatizo kubwa sana.
Hebu tutoe maoni huku tukiangalia mifano ya biblia; Kaini na Abeli, Yacobo na Esao, Daudi na ndugu zake, Yusuph na ndugu zake, Isaka na Ishmail, Israel na Palestine.