Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sijajua kwenu ila jamii na watu niliokaa nao kazi zao wanafanya na ndgu kwa ila wana mafanikio makubwa sana.
Father mdogo kaajiri ndugu wa mke wake kwa sana ila biashara zake zipo mbali ,amepata mafanikio ya juu sana hata hao ndugu zake wengi wamapeta mitaji kupitia biashara zake ...Yeye binafsi kafika mbali zaidi hata wafanyakzi wake wapo mbali ila wote ni ndugu ...Hao ndio wasambaa wa Lushoto huko kwingine sijajua hata nikikupa mfano wa shehoza pale Tanga karibia 99% wafanyakazi wake ni ndugu zake.
Father mdogo kaajiri ndugu wa mke wake kwa sana ila biashara zake zipo mbali ,amepata mafanikio ya juu sana hata hao ndugu zake wengi wamapeta mitaji kupitia biashara zake ...Yeye binafsi kafika mbali zaidi hata wafanyakzi wake wapo mbali ila wote ni ndugu ...Hao ndio wasambaa wa Lushoto huko kwingine sijajua hata nikikupa mfano wa shehoza pale Tanga karibia 99% wafanyakazi wake ni ndugu zake.