Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Nimeanza kuamini kauli ya Makonda alivyosema wapo watu wanamtukana Rais ,mie hakuna mtu namchukia kama makonda, Sabaya wenda ni viongozi walitarajiwa kuwa wazuri ila wamelinajsi taifa kipindi cha mwendazake ,nasema ipo siku nitakutana nao Mbinguni na ole wao na wengine wanikute nyampala wa mbinguni !

Nasema kwa sababu tu Makoda mda mwingine kama sio kutumiwa vibaya wenda angeweza kuwa mtu safi , na amewahai sema kuna watu wanamtukana rais ila mpaka leo hakutaja majina ila alisema wengine ni mawaziri.

Ila namkosoa tu wengine wenda sio mawaziri ,ni hawa wananao sena mtandao wa X ufungwe kisa unaeeneza mambo mabaya kwenye jamii ikiwemo ushoga, wakati mwenyekiti wao na marais wenzake wapo humo kwa nia njema uyu uvccm na baadhi ya mashehe mengine wameyatoa wapi?

Uvccm mmelizlalisha taifa, mmezalisha Rais na watz wote ,jiuzuluni mara moja
 
Kwenye mitandao kuna kitu kinaitwa algorithms

Inakuletea vitu kutokana na mwenendo wako wa mambo unapenda kutazama au kusoma
Mitandao yote ya kijamii ukiacha x na telegram haina content za active porn. Kote kule algorithm zitakuletea picha na video zenye kutamanisha au nusu uchi. Youtbe tu ukiupload sexual contents achilia mbali porn unafitiwa kabisa channel kama sio kupigwa strike. Kule hata wewe ukitaka chukua porn clip au clip ya mashoga wanazini hakuna anayekujali.

Hiki ndio namaanisha
 
Active porno zipo X kwa anayezitafuta au nakosea?
 
Ukiona kwenye mitandao hii ,unaletewa upuuzi, umeanza wewe chokonoa huko mwenyewe , sasa uvccm, na baadhi ya mashehe wasihalibu taswira nzima ya ml 60 na kuzidi za wa tz , huu utakua ujinga, kwamba mashehe 2 au kumi na uvccm wapo na akili kuliko watz mil 60 ikiwemo no moja wa nchi hii ambaye ni Rais? Ambaye yupo na account kule achia mbali wateule wake. Mataifa ambayo ni msaada kwetu ikiwemo USA rais ananyoshewa kidole na matusi live bado maisha yanaenda sembuse sie , na yupo kwenye mtandao tajwa wa tweeter zamani ,kwa sasa x waitwa

Uongozi uvcc ujiuzulu na mara moja hii ni kashifa kuu kwa nchi, kiongozi wa wa nchi ambae ni mshirika na mdau kama walivyo marais wenzake Duniani kote yupo na account kule, uvccm na baadhi ya ma shehee wameidhalilisha dunia si tz tu

Note

Kama huu mtandao upo na madhara why hapa tz mawaziri na viongonzi wengine wapo kule ? Kwamba na uvccm na baadhi ya mashee wameona mapungufu haya? Mbona viongonzi wa dini wengine wapo ? Akiwepo Papa , kwamba nao hawaoni huu mtandao unaliangamiza jamii?
Ila tu uvccm ndo wamechunguza kwa makini na baadhi ya mashehehe kwamba haufai tz ,

Mwisho uvcc uongonzi mzima jiuzuru na Bwana amebarki ,fedhea gani hizi jamani watz wenzangu
Amani ya Mungu na ikawe nanyi,aisee Mungu bariki taifa hili
 
It means ulikuwa mdau
Algorithm haidanganyi
U get what ur interested in
 
Aisee kumbe jambo lipo serious kiasi hichi 😳
 
Kama ni hivyo kuna haja ya kuifungia X?
Kama nchi imeona zile mitandao zinaathari kitaifa, waongee na Musk ili waweke filter kwa hizo contents kwa Tanzania.

Mengine yanayoendelea hapo x hayana shida. Kama spana wapigane tu. Mwenyewe x ni mtandao ambao ninautumia kupush contents zangu kwenye niche za kiroho.
 
Ni watanzania wangapi wanatumia X?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…