Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri yako sasa siku kunywa pombe nenda chooni huku nyuma wakuchanganyie na mkojo uone balaa lake. Bora uwekewe ugoro kuliko mkojoSio Kweli...! Kama Uliwahi kumwona mlevi aliyezima... huyo Alikuwa ana njaa hajala...!
Muwe mnawashauri Kabla ya kupiga Vyombo msosi muhimu.
Haya wazimaji na kemia yenu tuambieniKwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima?
Anakufa?Na wanasema hiyo ni mbaya sana ukimzidishia anaweza kupotea kabisa.
Kheeeeh??Na wanasema hiyo ni mbaya sana ukimzidishia anaweza kupotea kabisa.
Inawezekana.Anakufa?
Huu uchawi ndio nausikia leo.Kwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima?
Muwekee demu chap anazima unamgonga kirahisiHuu uchawi ndio nausikia leo.
Huko umeenda mbali sana, tishu paper inatosha.Sio mkojo tu hata mbolea ya UREA...
Uric acid...+ alcohol=?!!!