Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 366
- 450
Ume mstukia huyu ni muongo, hio tishu mm nimesha weka sanaa miaka ya nyuma enzi za kikwete bia bwereree, ilikua ni HV, km ukiona glass ina kata km imetumika na pombe kali ss wengine tulikua tuna chovyea tishuu class inakua fresh km mpya vile, na nilikua nakata maji balaa na haina kuzima na ilikua kawaida yangu kbs,ila kwasasa sa'bu hv vichupa vidogo glass siitumii asilani,labda nikiwa nagonga vikali.......hebu atuache bhanaa na misifa isio na mpangoKwahiyo hizo porojo zote ni Kwamba unataka tujuwe unakunywa Heineken na siyo bia?
Sipati picha kama ungekuwa unakunywa Esperado, Budweiser, Callsberg, Amstel au Scotch whisky.
Ila umesahau kuturingishia aina ya gari unavyotumia, maana ingekuwa Prado pia ungeandika hapa, ila kwakuwa ni baby walker basi hutaki tujuwe?