BarajaMkush JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 1,633 Reaction score 2,975 May 30, 2022 #41 Kojo au Chozi, wanasema ni moto wa kuhisia mbali
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 May 30, 2022 #42 124 Ali said: Kwa hiyo inataka kuniambia nisinunue tena vidonge vya usingizi ?yaani napiga gambe then napiga nusu Lita ya kojo naamka jumanne? Click to expand... sio jumanne tu..ni jumanne na nusu
124 Ali said: Kwa hiyo inataka kuniambia nisinunue tena vidonge vya usingizi ?yaani napiga gambe then napiga nusu Lita ya kojo naamka jumanne? Click to expand... sio jumanne tu..ni jumanne na nusu
Shoctopus JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 3,434 Reaction score 1,985 May 31, 2022 #43 JF inaanza kuwa kama bunge! Kichefuchefu tupu!
sepema JF-Expert Member Joined Jun 13, 2019 Posts 591 Reaction score 1,001 May 31, 2022 #44 Shinnok said: Kwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima? Click to expand... Umekaa na rafiki zako mnafurahia maisha,Mara ukitoka tu kdg wakuwekee uchafu(mkojo) Kweny kinywaj chako...hapo Bora ungekaa meza moja na adui zako! NB: Sijui hii kitu nikweli ama nadharia tu
Shinnok said: Kwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima? Click to expand... Umekaa na rafiki zako mnafurahia maisha,Mara ukitoka tu kdg wakuwekee uchafu(mkojo) Kweny kinywaj chako...hapo Bora ungekaa meza moja na adui zako! NB: Sijui hii kitu nikweli ama nadharia tu