Acha mbwembwe jombaa,ukisimama wewe na watoto wa Kikwete,Mkapa,Mwinyi,au Majariwa,au Samia,harafu wote mnaomba kazi UN,wenzio wana chance kubwa ya kupata hiyo kazi,kutokana na wazazi wao,huo ndio ukweli mchungu!Mfano mkubwa Dr. Mwele, Kwa kweli watoto wa Mzee Malecela wana Akili. Sasa nimechoka kwa watu kusema mtu Huyu kapata Hii kazi kwa ajili ya mzee.
Sasa Hivi head lines zote za Dr. Mwele ni mtoto aliyekuwa waziri mkuu. Dr. Mwele was bigger than her own father, she was not a politician.
Na kazi za Tz kwenye high levels ni za koo zile zile toka miaka ya 1970, na nahisi itaendelea hivo hivo, wewe kajamba nani ukibahatisha ukapenya unapigwa figisu unaondolewa ili majina uliyoyazoea masikioni yatimbe paleAcha mbwembwe jombaa,ukisimama wewe na watoto wa Kikwete,Mkapa,Mwinyi,au Majariwa,au Samia,harafu wote mnaomba kazi UN,wenzio wana chance kubwa ya kupata hiyo kazi,kutokana na wazazi wao,huo ndio ukweli mchungu!!! Huwezi kuwa Mkubwa serikalini,harafu mwanao anatafuta ajira,uache kuwa "involved "don't be naive
Absolutely naive and imbecile !!!!Acha mbwembwe jombaa,ukisimama wewe na watoto wa Kikwete,Mkapa,Mwinyi,au Majariwa,au Samia,harafu wote mnaomba kazi UN,wenzio wana chance kubwa ya kupata hiyo kazi,kutokana na wazazi wao,huo ndio ukweli mchungu!!!
Huwezi kuwa Mkubwa serikalini,harafu mwanao anatafuta ajira,uache kuwa "involved "don't be naive
Mfano mkubwa Dr. Mwele, Kwa kweli watoto wa Mzee Malecela wana Akili. Sasa nimechoka kwa watu kusema mtu Huyu kapata Hii kazi kwa ajili ya mzee.
Sasa Hivi head lines zote za Dr. Mwele ni mtoto aliyekuwa waziri mkuu. Dr. Mwele was bigger than her own father, she was not a politician.
Kipara kipya unachakaza sori za viatu kwenye korido za Lumumba upate walau ka ajira ka kudumu lkn wpHilo halihitaji hata elimu ya msingi kulijua hilo!
Mfano mkubwa Dr. Mwele, Kwa kweli watoto wa Mzee Malecela wana Akili. Sasa nimechoka kwa watu kusema mtu Huyu kapata Hii kazi kwa ajili ya mzee.
Sasa Hivi head lines zote za Dr. Mwele ni mtoto aliyekuwa waziri mkuu. Dr. Mwele was bigger than her own father, she was not a politician.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna mambo yako wazi kabisa.Hata interview ya TRA ya mwaka Jana, kulikuwa na mtoto wa Prof Kabudi na Mtoto wa Jaji Mwangesi, na Watoto wa vigogo wengi, matokeo yake mtihani ukavuja interview ikaahirishwa, ww unadhani waliovujishiwa mtihani kina nani? je ni Watoto wa Masikini au Watoto wa Vigogo?
Mkuu nipo shamba nabadilisha majembe ya trekta hapa jana tu nimeingiza water pump mpyaaa!Kipara kipya unachakaza sori za viatu kwenye korido za Lumumba upate walau ka ajira ka kudumu lkn wp
Unaumizwa sn unavyoona akina Jr wakilamba teuzi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Wapo exceptional,Mtoto mmoja wa Nyerere alikaa kazi baada ya kugundua ile kazi anatakankupewa kwa sababu ya Jina la Baba yake.Acha mbwembwe jombaa,ukisimama wewe na watoto wa Kikwete,Mkapa,Mwinyi,au Majariwa,au Samia,harafu wote mnaomba kazi UN,wenzio wana chance kubwa ya kupata hiyo kazi,kutokana na wazazi wao,huo ndio ukweli mchungu!
Huwezi kuwa Mkubwa serikalini,harafu mwanao anatafuta ajira,uache kuwa "involved "don't be naive