Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu Mukoko Mbona Kawaida Kabisa Acha Akaipambanie Na TP Mazembe Maana Kwa Sasa Dar Young Africans Pale Ni Bamba To Bamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Plagiarism.😁😁Maoni yangu ni kuwa ndugu mwandishi unapocopy habari kutoka chanzo kingine ni vyema kuwapa credit au kuwa acknowledge wahusika pia inasaidia👇👇
![]()
JICHO LA MWEWE: Kinachomsumbua Mukoko ni alama ya nyakati pale Yanga
Katika miaka mitatu iliyopita Yanga imekuwa kama mtoto aliyetambaa, kisha akasimama, na sasa anatembea. Hiki ndicho kinachomsumbua mchezaji anaiyeitwa Tonombe Mukoko kwa sasa. Jina lake linahusishwa kuondoka Yanga.www.tanzaniaweb.com
Kuhusu Mukoko kwenda TP MAZEMBE muache aende kwa kuwa ameona GREEN PASTURES zaidi na Yanga ilikuwepo kabla ya Mukoko, ipo wakati yeye akiwepo na hata akiondoka Yanga yetu itabakia vile vile ....cha msingi ni kumtakia kila la heri huko aendako ijapokuwa haitaondoa ukweli kuwa aliwahi kuwa moja kati ya wachezaji bora kuwahi kutokea kwa Yanga💪
Yaani anatakiwa na TP Mazembe akatae wakati hapo Yanga hachezi?Sawa ni kweli.
Lakini mukoko ni mchezaji anayekupa matokeo ya unachotafuta muda wowote ule yuko tayari kupambana alitusaidia Sana tulipokuwa wabovu.
Leo tumewapata kina aucho ambaye Lila Mwezi anaomba likizo kwenda kwao.
Hatukatai aucho ni mzuri Sana lakini ni heri pia kuwaacha wachezaji wanaoipenda team na wenye moyo muda wote.
Zawadi haaminiki leo atacheza kesho anaamka vibaya back pass kama zote.
Hujaelewa uliza tu kama ndo hivi.Yaani anatakiwa na TP Mazembe akatae wakati hapo Yanga hachezi?
Kwani amekuwa Ajib huyo