Yes indeedMbona naona majina ya Ki-Israel tu?
Tuseme kulikua hakuna wanadamu wengine duniani huko?
Ninakotoka wanamuita RUWA MANGI!
Ujinga mtupu huu!
Wanadamu created God with their own image na kumuita God
Fvck GOD!
hilo ni suala la maana katika lugha husika,ukirudi katika uhalisia wa kuitwa hivyo na tukawa na tafsiri hiyo moja,yaani MUNGU mbaye ni GOD,ambaye ni SEBA nk,ningesemabasi kwanini LIITWA SEBA na sio ELIA,ndio hoja yangu
Acha uwoga wewe, kukufuru ndo Nini, ehe wamekudanganya ukichunguza ukweli unaenda kuchomwa, Mungu mjua yote na mpenda wote hawezi zidiwa akili na binadamu, wanaokuambia Mungu hachunguzwi ndo ambao wamezitengeneza dini. Acha uwoga, Kama unaogopa moto Kama mtoto wa la 5 anavyoogopa kuchapwa sawa.Katika mambo ambavyo hutakiwi kuhoji saaana nai mambo ya Imani vinginevyo utaishia kukufiru!!! Ni kazi ngumu sana kumsoma Mungu na ninadhani haiwezekan!! Na Mungu si mwanadam na hafanani na chochote na tumeambiwa tusimfananishe na chochote, japo Tena hapo hapo tunaambiwa tumeumbwa Kwa mfano wake lakin mimi mtazamo wangu ni kwamba hakuna amjuaye Mungu hata Kwa udogo wa chembe ya haradali!!! Hata biblia Bado kunamikanganyiko Mingi sana na inawachanganya watu ndo maana kunaibuka madhehebu mengi sana!! Sisi mbele za Mungu kazi yetu ni ndogo tu!!! kutambua uwepo wake na kumuishi tukitambua tu kuwa yeye ndiye aliyetufanya tuishi!!! Haya ya kumtafkari saaana na kujiuliza mengi juu yake hatutoboi popote na tutakwama sio mbali!!! Tuishie kumshukiru na kumtukuza tu!!!! Mengine tuachane nayo Kwa sababu tunayafikiria kibinadam na uwezo wetu ni kiduchu sana juu yake na tutaishia kugongana na kumkufuru tu!!!
Sasa huyo Mungu muweza wa yote alipaswa kuzima hyo sehemu kwenye ufahamu wetu, ile sehemi ambayo ubongo utataka kumchunguza yeye angeislip tu... Just a simple code.Katika mambo ambavyo hutakiwi kuhoji saaana nai mambo ya Imani vinginevyo utaishia kukufiru!!! Ni kazi ngumu sana kumsoma Mungu na ninadhani haiwezekan!! Na Mungu si mwanadam na hafanani na chochote na tumeambiwa tusimfananishe na chochote, japo Tena hapo hapo tunaambiwa tumeumbwa Kwa mfano wake lakin mimi mtazamo wangu ni kwamba hakuna amjuaye Mungu hata Kwa udogo wa chembe ya haradali!!! Hata biblia Bado kunamikanganyiko Mingi sana na inawachanganya watu ndo maana kunaibuka madhehebu mengi sana!! Sisi mbele za Mungu kazi yetu ni ndogo tu!!! kutambua uwepo wake na kumuishi tukitambua tu kuwa yeye ndiye aliyetufanya tuishi!!! Haya ya kumtafkari saaana na kujiuliza mengi juu yake hatutoboi popote na tutakwama sio mbali!!! Tuishie kumshukiru na kumtukuza tu!!!! Mengine tuachane nayo Kwa sababu tunayafikiria kibinadam na uwezo wetu ni kiduchu sana juu yake na tutaishia kugongana na kumkufuru tu!!!
Umejiona umetoa bonge la jibu sio.
Kwanza jiulize kwanini unamuogopa ili Hali huna uhakika kama yupo.Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Lakini pia anamajina mengine wenzako wanamuita. Kuna wanamuitaMiongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Yani hii ni chuki wazi kabisa. Aisee!! Vijana tuna shida gani?Umejiona umetoa bonge la jibu sio.
hayo yote ni Majina Ya Demons, Ukweli pekee wa Huu ulimwengu Anao Zouloula(Mzaliwa wa Pili) tu Hao wengne wote hawana wanalolijua.Mungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA
1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8
2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1
3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9
4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9
5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18
7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1
8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3
9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6
10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26
11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13
12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1
13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14
14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6
15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15
16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24
17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35
18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26
19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20
20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania
Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Mungu ni cheo mkuu ila ana majina yake. Kila jamii ina Mungu wake ila na hata wewe ikiwa kile kitu kinachokufanya ukihangaikie sana au kuwa bize nacho hicho ndio Mungu kwako. Ila kama unamzungumzia huyu Mwamba mwenyewe Mzee wa siku. Ana majina yake.Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Vipi kama angeitwa jina lingine si ungehoji tena kuhusu jina hilo au unabisha?Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Hao watatu kulia wenye koti za dark blue walikuwa kozi moja hao wadada watatu wanaofata walikuwa kozi moja hao wawili walikuwa kozi moja huyo mwenye hijab alikuwa kozi tofauti halafu huyo wa nyuma nae kozi tofauti
Hiyo picha nyingine hao wadada watatu kuanzia kulia walikuwa kozi moja hao walio simama mwisho kushoto na kulia kozi moja pia [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2630356
mimi huwa nashangaa mitume na manabii wanavyojidai kuongea live na Mungu, siwaelewagi kabisa, ni wezi wa mchanaMungu yupo nje ya time dimension.
So kifupi haeleweki na hatokaa aeleweke.
Ukitakaa uwe kichaa endelea kutaka kumwelewa.
Jamaa amekuuliza, kwani Mungu hawezi kuiua hiyo roho?Mungu mwenyewe ni roho
Mungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA
1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8
2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1
3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9
4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9
5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18
7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1
8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3
9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6
10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26
11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13
12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1
13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14
14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6
15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15
16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24
17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35
18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26
19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20
20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania
Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Hakuna mtu anaongea na Mungu live.mimi huwa nashangaa mitume na manabii wanavyojidai kuongea live na Mungu, siwaelewagi kabisa, ni wezi wa mchana
Wewe mtu humwoni kimwili, hajulikani alianzaje kuwepo, hajulikani aliishi wapi kabla hajaiumba hiyo MBINGU anayoiishi sasa, mara sijui hana MWANZO wala MWISHO.Haeleweki? Afu habari za Kuwa nje ya time dimension ni mafundisho labda..
Au jamani haeleweki tu kwasababu hayupo maana huu utata bhan...
Unauhakika kuwa hayuko ndani ya time dimension ama tu unamtoa kumpeleka mbali ili asihojiwe?Wewe mtu humwoni kimwili, hajulikani alianzaje kuwepo, hajulikani aliishi wapi kabla hajaiumba hiyo MBINGU anayoiishi sasa, mara sijui hana MWANZO wala MWISHO.
Sasa kiumbe wa hivo utaniambiaje anaeleweka ?
Mungu angekuwa ndani ya time dimension basi chanzo chake kingejulikana na mwisho wake pia