Kwanini Mungu anakuzwa kuliko uwezo wake?

Kwanini Mungu anakuzwa kuliko uwezo wake?

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Je, Ni watoto wangapi ni machokoraa mtaani,

Je, Ni wagonjwa wangapi wapo hospitalini wakiugua kwa maumivu huku wakisubiria siku yao ya kufariki,

Je, Ni Wanadamu wangapi wamefariki kwenye vita?

Je, Ni watu wangapi wamezaliwa wakiwa vilema na wengine vipofu huku wakiishi maisha ya maumivu maisha yao yote?

Je, Ni watoto wangapi wamefariki kwa njaa?

Hayo yote yanaonesha Mungu hawezi kusaidia chochote katika hii dunia na anapewa sifa ambazo hastahili.
 
Je, Ni watoto wangapi ni machokoraa mtaani,

Je, Ni wagonjwa wangapi wapo hospitalini wakiugua kwa maumivu huku wakisubiria siku yao ya kufariki,

Je, Ni Wanadamu wangapi wamefariki kwenye vita?

Je, Ni watu wangapi wamezaliwa wakiwa vilema na wengine vipofu huku wakiishi maisha ya maumivu maisha yao yote?

Je, Ni watoto wangapi wamefariki kwa njaa?

Hayo yote yanaonesha Mungu hawezi kusaidia chochote katika hii dunia na anapewa sifa ambazo hastahili.
Mbona hueleweki?
Juzi nahisi Mungu hayupo,jana Mungu hayupo,leo mbona Mungu anakuzwa kuliko uwezo wake

Sasa Mungu gani anayekuzwa kuliko uwezo wake wakati wewe umeshasema Mungu hayupo?
 
Kijana umechoka kula mema aliyokupea Mungu?
FB_IMG_17409110725435762.jpg
 
Je, Ni watoto wangapi ni machokoraa mtaani,

Je, Ni wagonjwa wangapi wapo hospitalini wakiugua kwa maumivu huku wakisubiria siku yao ya kufariki,

Je, Ni Wanadamu wangapi wamefariki kwenye vita?

Je, Ni watu wangapi wamezaliwa wakiwa vilema na wengine vipofu huku wakiishi maisha ya maumivu maisha yao yote?

Je, Ni watoto wangapi wamefariki kwa njaa?

Hayo yote yanaonesha Mungu hawezi kusaidia chochote katika hii dunia na anapewa sifa ambazo hastahili.
Je, ni watoto wangapi sio machokoraa mtaani?

Je, ni watu wangapi hawapo hospitalini wakiugua?

Je, ni wanadamu wangapi hawajafariki kwenye vita?

Je, ni watu wangapi wamezaliwa wazima wakiwa hawana vilema ?

Je, ni watoto wangapi hawajafariki kwa njaa?
 
Mungu yupo ndio maana kuna matabaka hayo...Hekima ya Mungu ni mpaka usome na kufuata maamrisho yake.

Kwa mimi ;nina jukumu la kusaidia mayatima ,wajane ,mafukari ,walemavu na suala la kufa ni mawaidha tosha ya kufanya mema ili kujiandaa na kifo ,starehe za dunia ni zenye kuhadaa tena za muda mfupi.

Kwa sasa nasaidia ndugu zangu ndio maana naisha karibu na ndugu zangu ,pamoja na kusaidia walio chini yangu..

Bahati mbaya ,dunia inafuata mfumo wa ubinafsi kila mtu chake hakuna anayejali ya mwingine ...Tukiacha ufahari na kusaidiana utaona ukuu wa Mungu kama mafundisho yanavyoelekeza.

Mtu leo ananua gari ya mil .100 ili kupost mitandaoni meanwhile jirani yake hana hata mia mfukoni ,tuacheni ubepari hata maisha hayatokuwa magumu.​
 
Mada ingetakiwa kuwa kwann wendawazimu kama wewe wanadogosha uwezo wa Mungu
 
Je, ni watoto wangapi sio machokoraa mtaani?

Je, ni watu wangapi hawapo hospitalini wakiugua?

Je, ni wanadamu wangapi hawajafariki kwenye vita?

Je, ni watu wangapi wamezaliwa wazima wakiwa hawana vilema ?

Je, ni watoto wangapi hawajafariki kwa njaa?

Mungu yupo ndio maana kuna matabaka hayo...Hekima ya Mungu ni mpaka usome na kufuata maamrisho yake.

Kwa mimi ;nina jukumu la kusaidia mayatima ,wajane ,mafukari ,walemavu na suala la kufa ni mawaidha tosha ya kufanya mema ili kujiandaa na kifo ,starehe za dunia ni zenye kuhadaa tena za muda mfupi.

Kwa sasa nasaidia ndugu zangu ndio maana naisha karibu na ndugu zangu ,pamoja na kusaidia walio chini yangu..

Bahati mbaya ,dunia inafuata mfumo wa ubinafsi kila mtu chake hakuna anayejali ya mwingine ...Tukiacha ufahari na kusaidiana utaona ukuu wa Mungu kama mafundisho yanavyoelekeza.

Mtu leo ananua gari ya mil .100 ili kupost mitandaoni meanwhile jirani yake hana hata mia mfukoni ,tuacheni ubepari hata maisha hayatokuwa magumu.​
Wewe unaonyesha Mungu hayupo tunata anae thibitisha uwepo wake
 
Je, Ni watoto wangapi ni machokoraa mtaani,

Je, Ni wagonjwa wangapi wapo hospitalini wakiugua kwa maumivu huku wakisubiria siku yao ya kufariki,

Je, Ni Wanadamu wangapi wamefariki kwenye vita?

Je, Ni watu wangapi wamezaliwa wakiwa vilema na wengine vipofu huku wakiishi maisha ya maumivu maisha yao yote?

Je, Ni watoto wangapi wamefariki kwa njaa?

Hayo yote yanaonesha Mungu hawezi kusaidia chochote katika hii dunia na anapewa sifa ambazo hastahili.

Kiongozi; hivi umekosa cha kupost kila siku uko na mada za Mungu tuuu???
Labda kwa kukusaidia, hili sio jukwaa sahihi la post zako;
Nakushauri upeleke maswali yako huko kwa masheikh/Wachungaji watakusaidia kupata majibu stahiki.
Lakini pia ipo mikutano na mihadhara ya mambo ya dini ukienda huko utapata majibu stahiki
Lakini nikukumbushe tu kuwa usiende na majibu yako tayari, kwani itakuwa vigumu kuelewa.
Kimsingi MUNGU YUPO na ametuleta hapa duniani kwenye MTIHANI (maisha yetu yote hapa Duniani, tupo kwenye chumba cha mtihani) kwa wale watakao faulu ndio watapata uzima na raha za milele!!!
 
Hiyo sio Kazi ya Mungu kuondoa vifo vya watoto wachanga mahosptalini

Mnabidi kuwa responsible na mjifunze kutumia AKILI vizuri Sana .
 
1 Wakorintho 1:25
"Kwa maana upumbavu wa Mungu ni wenye hekima kuliko wanadamu, na udhaifu wa Mungu ni wenye nguvu kuliko wanadamu."
 
Back
Top Bottom