Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanamna hii Huwa hawaishi kutapatapa they feel guilty katika nafsi zaoMbona hueleweki?
Juzi nahisi Mungu hayupo,jana Mungu hayupo,leo mbona Mungu anakuzwa kuliko uwezo wake
Sasa Mungu gani anayekuzwa kuliko uwezo wake wakati wewe umeshasema Mungu hayupo?
Ungempa majibu sahihi ya maswali yake, pengine angebadili mawazo mkuu. Au namna gani mkuuNilitaka kukupuuza ila nimeongozwa na roho wa Bwana nikujibu ....MUNGU yupo ,yeye ni Alfa na Omega = mwanzo na mwisho . Katika yote Mungu ni pendo