Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

Unajua nini chanzo cha hasira,wizi,uuaji, uzinzi, ubinafsi,ulafi, ufisadi na mabaya yote jibu ni kwamba nguvu ya Mungu haipo ndani yako bali shetani ndie dereva wako yaani unakuwa umeuza nafsi yako kwa shetani. Nafsi yako ikikombolewa huwezi fanya dhambi ukifanya uzinzi, wizi, dhamira yako inakushtaki.
Naona unachanganya mambo. Hebu kaa kwenye mada moja kwanza. Umeongelea nguvu mbili na sasa umehamia kwa shetani ambaye ni mtu (person). Sasa ni nguvu au watu? Is it forces or personalities?
 
Haya maswali hakuna awezae kukujibu ukaridhika, Muulize Mungu mwenyewe maana hukumu zake hazichunguziki na mwanadamu.
 
Naona unachanganya mambo. Hebu kaa kwenye mada moja kwanza. Umeongelea nguvu mbili na sasa umehamia kwa shetani ambaye ni mtu (person). Sasa ni nguvu au watu? Is it forces or personalities?
Hizi nguvu mbili uonekana kupitia Mtu, matendo ya mtu ni matokeo ya nguvu ipi ipo ndani mwake nguvu ya shetani au nguvu ya MUNGU.
Nguvu ni immortal na mtu ni matokeo ya nguvu iliyomo ndani mwake.
Nguvu ya kutenda matendo mema utoka kwa Mungu na nguvu ya kutenda matendo mabaya utoka kwa shetani.
 
Back
Top Bottom