Sikuwepo ila naamini kupitia kitabu chake kitakatifu amelezea yote ayoWe ulikuwepoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwepo ila naamini kupitia kitabu chake kitakatifu amelezea yote ayoWe ulikuwepoo?
Alikuwa mtendajj mkuu.sawa na meneja mkuu kujua siri ya kiwanda na kuamua kuanzisha chake.Nani aliye mfunulia hiyo Siri??
Mzee baba naona upo kimabishano zaid hupo kwa ajili ya kujifunza usiyoyajuaKuna dini zaidi ya 4000 duniani, una uhakika Gani na dini uliyokuwepo ndo sahihi?
Atoe tangazo na dunia nzima ilisikie
Kwahiyo Mungu angezubaa kidogo angepinduliwa ??Alikuwa mtendajj mkuu.sawa na meneja mkuu kujua siri ya kiwanda na kuamua kuanzisha chake.
Shetani means mpingaji
Ndo maana yake thus still vita bado inaendelea. Shetani aliondoka na theluthi ya malaika wa mbinguniKwahiyo Mungu angezubaa kidogo angepinduliwa ??
Unayoyasema nimefundishwa na kuyaishi tangu utotoni, hata sahiv kila Misa naenda ila siamini kama Kuna shetaniMzee baba naona upo kimabishano zaid hupo kwa ajili ya kujifunza usiyoyajua
ulishawahi kuuona umeme, au upepo au gravity? au navyo ni imaginations tu?Kwani wewe ulishawahi kumuona MUNGU???? kama sio imagination tu
Kwa ushahidi wa sayansi ya darasani Hakuna shetaniUnayoyasema nimefundishwa na kuyaishi tangu utotoni, hata sahiv kila Misa naenda ila siamini kama Kuna shetani
Unadhani kama Shetani angekuwa Mungu, maisha yangekuaje?, SI tungekuwa tunakula bata tuu Hadi mbinguniNdo maana yake thus still vita bado inaendelea
Ni rahisi mtoto anayenyonya kumpindua babaye kuliko hata wazo la Mungu kupinduliwa angalau kufanana na uhalisia!Kwahiyo Mungu angezubaa kidogo angepinduliwa ??
Vita ya nani na nani?Ndo maana yake thus still vita bado inaendelea. Shetani aliondoka na theluthi ya malaika wa mbinguni
Siyo sayansi ya darasani, ukiamini Kuna Shetani basi ukubali kupunguza baadhi ya sifa za Mungu.Kwa ushahidi wa sayansi ya darasani Hakuna shetani
Bc ata uwepo wa Muumba mbingu na Ardhi itakua huwamini wwUnayoyasema nimefundishwa na kuyaishi tangu utotoni, hata sahiv kila Misa naenda ila siamini kama Kuna shetani
Sio rahisi, shetani hana shukrani hata umpe kafara ya ukoo wako wote wakiisha ni lazima akuue.shetani ni SAwa na mwanamke kahaba thamani yake kwako ni pesa yako tu.Unadhani kama Shetani angekuwa Mungu, maisha yangekuaje?, SI tungekuwa tunakula tuu Hadi mbinguni
Nguvu kuu mbili negative na positiveVita ya nani na nani?
Sayansi sio kipimo cha kila uhalisia. Mfano hiki ulichoandika kina ushahidi wa kisayansi? Au una ushahidi wa kisayansi kuwa jana ulikula ukashiba?Kwa ushahidi wa sayansi ya darasani Hakuna shetani
Hekaya hii umeipata wapi?Nguvu kuu mbili negative na positive
Nani kapewa utajiri na shetani?Sio rahisi, shetani hana shukrani hata umpe kafara ya ukoo wako wote wakiisha ni lazima akuue.shetani ni SAwa na mwanamke kahaba thamani yake kwako ni pesa yako tu.
Uliza waliopata utajiri kwa shetani mateso wayapitiao,Wana KILA kitu lakini hawana amani
Kama hakuna ubaya Hakuna dhambi mfano uoni haya wizi, uuaji,hasira, ufisadi, ubinafsi, uchoyo, nk shetani hayupoSiyo sayansi ya darasani, ukiamini Kuna Shetani basi ukubali kupunguza baadhi ya sifa za Mungu.
Ni logic ya kawaida tu
Utajiri ni siri ya mtuNani kapewa utajiri na shetani?