Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

Okay,kama lengo nikumwabudu Mungu iweje binadamu ana struggle kupata chakula ,yaani ile maana halisi ya kumwabudu Mungu haipo,ilitakiwa ukiamka asubuhi mwanadamu awe anasifu na kuabudu tu hadi usiku,badala yake mtu akiamka anawaza shida za Dunia,akilala anawaza unga hamna,
Utamwabudu vipi Mungu watoto wanalia njaa????
Mbona unatoka njee ya mada yako mkuu???
 
Nashukuru kwa jibu lako zuri,
But kwanini ugomvi wa MUNGU na Shetani unakuja kumgharimu hadi Mwanadamu????? kwanini wasimalizane wao kwa wao???
Mwanadamu kapewa uwezo wa kumshinda shetani kwa maana shetani tayari anajua wapi atakapokuwa milele.
Shetani ataondolewa duniani milele na hatoweza wadanganya binadamu milele,huku Dunia ikiwa ni paradise.
Huku wengine sisi tukijitwalia bikira 72.
Mungu ni Mkuu kuliko shetani kwa kipimo cha nguvu ya imani cha 100 kwa 40.So shetani anaingia kwa Mungu mara 2 na nusu Ili kuweza kupata nguvu aliyonayo Mungu.
 
Mwanadamu kapewa uwezo wa kumshinda shetani kwa maana shetani tayari anajua wapi atakapokuwa milele.
Shetani ataondolewa duniani milele na hatoweza wadanganya binadamu milele,huku Dunia ikiwa ni paradise.
Huku wengine sisi tukijitwalia bikira 72.
Mungu ni Mkuu kuliko shetani kwa kipimo cha nguvu ya imani cha 100 kwa 40.So shetani anaingia kwa Mungu mara 2 na nusu Ili kuweza kupata nguvu aliyonayo Mungu.
Hapo sijakuelewa,unamaanisha binadamu anaweza kumshinda Shetani????how???
 
Hapo sijakuelewa,unamaanisha binadamu anaweza kumshinda Shetani????how???
Kupitia msaada wa Mungu kwa kujiconect na nguvu za Mungu.
Tofauti ya nguvu Kati ya Mungu na shetani ni 100 kwa 40 kwa kipimo cha Iman..So shetani kwa Mungu anaingia mara mbili na nusu,40+40+20=💯
 
Kama ulishawahi kusikia "Curiosity killed the Cat" basi ndio kama hivyo yani
 
Iyo ni kwa upande wenu nyinyi kwa upande wetu cc tunajua lengo la kuumbwa kwetu sisi na majini ni kumuabudu tu muuba wetu hakuna kitu chengine na pia uwelewe sio majini wote ni waovu kuna wema pia kama tulivyo cc binadam.
Mungu akiabudiwa anapata faida gani wakati yeye ni muweza wa kila jambo.
 
Mungu akiabudiwa anapata faida gani wakati yeye ni muweza wa kila jambo.
M/Mungu hapati faida yoyote unapomuabudu bali faida unapata ww unaemuabudu na usipomuabud amekuandalia adhab kali sana ya moto utachomeka san uko sio kdg 😂😂😂
 
M/Mungu hapati faida yoyote unapomuabudu bali faida unapata ww unaemuabudu na usipomuabud amekuandalia adhab kali sana ya moto utachomeka san uko sio kdg 😂😂😂
Hivi vitisho sasa 😀😀 vya kuchomwa moto, kwanini ugomvi wa MUNGU na Shetani unakuja kumgharimu hadi Mwanadamu?????
 
Hivi vitisho sasa 😀😀 vya kuchomwa moto, kwanini ugomvi wa MUNGU na Shetani unakuja kumgharimu hadi Mwanadamu?????
Utakaemgharimu ni yule anefanya maasi tu na ukifanya maasi huna tofaut na uyo shetani alolaniwa 😂
 
Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote, Wakuu moja kwa moja kwenye mada nina maswali yangu yenye aa,ba na che, ambayo nitayawasilisha kwenye huu Uzi na kama una uelewa nayo ni vyema ukayajibu.

1:MUNGU wetu ni mweza wa yote, Je kwanini hakumuua Shetani? Badala yake akamshusha Duniani akae pamoja na wanadamu,Je? Mapenzi ya MUNGU wetu kwa mwanadamu ni yapi?

(b) Kipi ni rahisi kumtoa mwanao wa pekee?? Na mwanae wa pekee ametolewa je dhambi zimeisha????Au kumuua Shetani ambaye tunaamini ndiyo chanzo cha uovu, je hili MUNGU hakuliona hili ili kusudi dhambi iishe?

2(a) Bibilia inasema MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, Je? Wivu sio viashilia vya kuwa na roho mbaya??? Mbona mwanadamu ukiwa na wivu au husuda inaonekana wewe ni mtu mwenye dhambi??? Sasa kama mwanadamu Wivu amerithi kutoka kwa muumba wake iweje wivu kwa mwanadamu ni kosa?(dhambi).

(b) Bibilia inasema Shetani(Lucifer) alikuwa ni Malaika mkuu wa kusifu na kuabudu,ndugu watumishi namaanisha alikua anasifu balaa sasa na hakujua chochote kuhusu dhambi, Je? Hiyo roho ya kujiinua kutaka kumzidi Muumba wake ilitoka wapi?

3: Bibilia inasema MUNGU akamuuliza Shetani unatoka wapi?
Shetani akajibu natoka huko Duniani,
Watumishi wenzangu hawa wanapata muda wa kukaa na kututeta sisi(inafikirisha)

Hivyo basi nadhani huu ni muda mwafaka wa kuwa na vitabu viwili,
Shetani hajapewa nafasi ya kujipambanua tu na kumwaga sera zake pia, huenda tungeyajua mengi yaliyofichika, hapa namaanisha kuwepo na Bibilia ya MUNGU na Bibilia ya Shetani.

Mwisho kabisa: Mimi mfilisiti ukinikuta na pokea sakramenti ya Bwana hutoamini kuwa ndiyo mimi?😀🙄 Mwisho wa siku haya mambo hayanabudi kutokea.
Hakuna vithibitisho vya kueleweka kuhusu hizo hadhithi za watu wa mashariki ya kati na Ulaya.
 
Back
Top Bottom