Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Na akutokee uso kwa uso mpk ukiri kwa kinywa chako.
Mungu huyo hawezi kunitokea kwa vile Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnatetea kiumbe kisicho kuwepo.

Fiction God, imaginations just an illusion.
 
Aliko Dangote ni Sala Tano mkuu.
 
kile kichwa kinatakiwa kiwe ndani ya ngozi ili kuongeza sensitivity ya tendo la ndoa.

Mungu fundi mwaisaa!!
 
Dah Sasa mbona kama ukatili?yaani nikiangalia kaboy kangu nikate na jiwe gumu haki nisingeweza,ningeacha tu amuue halafu na Mimi ninywe sumu😵‍💫😵‍💫
 
Mungu huyo hawezi kunitokea kwa vile Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnatetea kiumbe kisicho kuwepo.

Fiction God, imaginations just an illusion.
What created the universe that your enjoying today?
 
Kwa hiyo kama agano lake lilikuwa yake na Israel mbona sisi jamii zingine tumevamia yasiyotuhusu au?
 
Akili yako ni ndogo sana! binaadamu kila siku anaendelea kugundua aliyokuwa hayajui hapo awali, huenda siku moja tukajua faida ya mtoto kuzaliwa govi! kutokulijua jambo si makosa kwa hilo jambo kuwepo, makosa yapo katika ufinyu wa ujuzi wa asiyelijua.

Akili ndogo isikufanye kukufuru ndugu!
 
Dah Sasa mbona kama ukatili?yaani nikiangalia kaboy kangu nikate na jiwe gumu haki nisingeweza,ningeacha tu amuue halafu na Mimi ninywe sumu😵‍💫😵‍💫
Hahaha ukinywa Sumu hamtumi malaika Kuja kuchukua Roho 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…