Nawaza kumkata mtoto wa miezi 7 bado sijapata maamuziMtoa mada kauliza swali zuri sana. Kwa nini tunatoa
Mimi nishawahi kujiuliza pia maana point kubwa niliyowahi kupewa ni usafi na kingine kuepuka aibu
Pia kuna watu wanaamini kumkata mtoto mapema huathiri ukuaji wa uume
Which is which mkuu, maana unaweza kuta kuna muda sahihi wa kuikata kama wazee wetu wa zamani waliokatiwa jandoni. Lakini siku hizi watoto wachanga wanakatwa
Je, honi tukipata faida yake pengine inaweza toa conclusion ya ikatwe ama isikatwe na kama itakatwa bhasi iwe katika umri gani
Aisee, inafikirisha sana sana hii ishu.Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Ndio nauliza kwa nini hakutairi kabisa huko hadi tuje kuingia gharama zisizokua na mipango?Mungu hajawahi kukosea.
Mwanzo 17
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.
12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.
Siyo kila jambo ni kufuru. Mungu ametupa akili ya kutafakari.Ipo siku utajiuliza kwanini hukuumbwa mwanamke
Hizi akili hiziπββοΈ
Sasa je.Kumbee
Bila shaka Tumemwumba mtuKatika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
apo ndio kukaa kimyaKama hujui kaa kimya kama mimi
Hakusahau wala kukosea kiungo chochote. Sema wanadamu tunaona umuhimu au athari za hiyo ngozi, tukaamua kuitoa.Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Khaswaaa...Siyo kila jambo ni kufuru. Mungu ametupa akili ya kutafakari.
Kwa mfano leo tunaaminishwa kuwa milima ni matokeo ya nguvu za dunia hususan mlipuko wa volkano na kuzalisha milima..
Lakini hakuna scientific proof kuhusu hili zaidi ya kutaja mamiliona ya miaka kuhusu uwepo wa hayo mamilima.
Hivyo suala la kukata govi ingawa lilikuwa ni kwa minajili ya torati, ni muhimu kujifunza kusudi la Mungu kutuumba wanaume na sweta kisha tunaambiwa tuikate
Sio kwa akili hizoHaitokei
Yep! Ila kwasababu kila jicho linatizama kivyake ndio maana unayaona kama mawili hivi. πππππππ€£π€£π€£π¬π¬π¬ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈπππππ Umenivunja mbavu mkuu kwamba inawezekana tako ni moja tuπππ
ππππππππYep! Ila kwasababu kila jicho linatizama kivyake ndio maana unayaona kama mawili hivi. πππππππ€£π€£π€£π¬π¬π¬ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ