Utakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekundeKatika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Nimekuelewa mkuuMkuu Nimejibu kama alichouliza..
Ila sijaweka uelewa wowote kwenye hilo kauliza andioo lolote bila tafsiri yake..
Kama angesema linalomaanisha nisinge mpa hilo ila kasema lililoandikwa..
Ni matter ya Lugha tu mkuu!
Hakuna aliye mkamilifu.Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Odinga alisema wajinga tu ndio wanafikiri kutahiriwa kuna umuhimuKwani Ruto anasemaje? Lailaamesha sema yake
Hapo ndipo mtihani ulipoKama hakuta tofauti mbona baadhi ya vitabu vya dini vinasema lazma kutairi?
Nyie mazee nmecheka ksng hahah kwamb tako moja afu liwe mgongon ili iwe rahis kulibebaNa unapoelekea utatuuliza kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Ila Mungu kwenye biblia nfo alieagizaHakusahau wala kukosea kiungo chochote. Sema wanadamu tunaona umuhimu au athari za hiyo ngozi, tukaamua kuitoa.
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Jibu kwaza lililo mezani hayo mengine hayakuulizwaUtakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekunde
Nani aliumba tofauti na munguBila shaka Tumemwumba mtu
kwa rasimu iliyo bora kabisa miongoni mwa rasimu za uumbaji.
95:4 Qur'an
View attachment 2889963
Kwa hiyo vitabu vya dini vinavyosema ni uongoHakusahau wala kukosea kiungo chochote. Sema wanadamu tunaona umuhimu au athari za hiyo ngozi, tukaamua kuitoa.
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ya warioba?Nani aliumba tofauti na mungu
Huko ni kwingine maana kwenye ku tairi kaumba alafu kaja kukemea kwwnye vitabu kama usipotairi tayari ni kosa.Utakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekunde
Ili kuleta tofauti Kati ya wasukuma na sisi wastaarabu.Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Uzidi kubarikiwa mkuuHakuna aliye mkamilifu.
Ukisoma vizuri hadithi za miungu utaona namna waamini wanavyokubali mikinzano.
Inaonesha kuwa Mungu hakuwa mkamilifu na alikosea.
Hakuwa na maana yeyote kuumba govi then uje ulikate wewe kwa maumivu.
Mungu huyo hawezekaniki kwa namna yeyote ile.