Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Hili suala tulijadili kwa Logic!

Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.

Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.

Na je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.

Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani?

NB: Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili (na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency!
 
Hili suala tulijadili kwa Logic..!

Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.

Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.

Na Je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.

Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani ?

NB:
Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili ( na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency...!
Utaambiwa unakufuru.... Hizi dini zinatufunga akili...
 
Unajua maana ya msamaha mkuu?
Sijui kama ujuvi wangu au ninavyodhani najua mimi ndio unavyojua wewe...

Ndio maana nikasema kwa kutumia logic na consistency nielezee maswali yangu hapo juu, Sababu ni Imani hapa sipo kusema hili ni sahihi au sio sahihi bali hili halipo consistent na halina logic (yaani the argument does not hold water)
 
Utaambiwa unakufuru.... Hizi dini zinatufunga akili...
Naam watasema hivyo tena huenda wakaniombea kunitoa mapepo, ila wakati wanafanya hivyo nitashukuru wakinielewesha.

Au na mimi huku Duniani nitumie kisingizio hicho hicho cha kutokuwasamehe au kukaa mezani na kuyamaliza / kuzimaliza tofauti zangu na maadui zangu.... (mimi nani Bwana kama wenyewe tuliowakuta hawafanyi / hawajafanya hivyo sembuse mimi Bin Adamu !????
 
Spirit realm iko perfect hivyo ukifanya kosa kule ni absolute choice ambayo haitokani na influence ya kitu cha nje ndio maana shetani hawezi kusamehewa pamoja na malaika wote walioamua kuungana naye.
Kwahio huyu Mungu Mpenda wote na Msamehe Makosa ambaye ni superior bila weaknesses zozote aliweka hii technicality ya kutokusamehe baadhi ya makosa?

Na huku kitaa hio spirit realm ambayo ni perfect inapatikana wapi ? Kwahio huenda na wewe mtenda mema ukishafika mbinguni baada ya miaka kadhaa ukaamua kujitia ujuaje huenda uka-end up na kina Shetani ? Yaani the Struggle Continues ? (My way or the Highway)!!!!
 
Kwahio huyu Mungu Mpenda wote na Msamehe Makosa ambaye ni superior bila weaknesses zozote aliweka hii technicality ya kutokusamehe baadhi ya makosa?
Ndio aliiweka kwasababu ni mazingira pure
Na huku kitaa hio spirit realm ambayo ni perfect inapatikana wapi ? Kwahio huenda na wewe mtenda mema ukishafika mbinguni baada ya miaka kadhaa ukaamua kujitia ujuaje huenda uka-end up na kina Shetani ? Yaani the Struggle Continues ? (My way or the Highway)!!!!
Hapa ndio unatakiwa kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili. Unakuwa na same spirit kama Yesu hivyo huwezi tena kuasi kwasababu utakuwa na asili ya kiungu.
 
Ndio aliiweka kwasababu ni mazingira pure

Hapa ndio unatakiwa kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili. Unakuwa na same spirit kama Yesu hivyo huwezi tena kuasi kwasababu utakuwa na asili ya kiungu.
Waliozaliwa mara ya pili hawaasi?
 
Ndio aliiweka kwasababu ni mazingira pure

Hapa ndio unatakiwa kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili. Unakuwa na same spirit kama Yesu hivyo huwezi tena kuasi kwasababu utakuwa na asili ya kiungu.
Kwahio hawa malaika wenyewe hawakuzaliwa mara ya Pili ? Au hio Option ilikuwa haipo Na kama hii lock / stopper ilikuwepo tangia zamani si ingewekwa wakati anawaumba hawa mashetani ? Kuliko wenyewe kuwaacha na free spirit alafu wewe kupewa hii stopper ya kukuzuia kuasi...

Nadhani kwenye Kangaroo Court ningeweza kusema hapo Shetani alipewa a Raw Deal...
 
Akiwa duniani anaweza kuasi kwasababu anao mwili unaoweza kupata influence ya shetani.
Kwahio Binadamu wamepewa a free Pass fulani ambayo Shetani Hakupewa / Hapewi ?

Pili kwahio tunaweza kusema kwamba ukiwa Spirit umeondolewa free will (yaani ni kama zezeta Zombie) huwezi kwenda against ?
 
Back
Top Bottom