Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwahio hawa malaika wenyewe hawakuzaliwa mara ya Pili ? Au hio Option ilikuwa haipo Na kama hii lock / stopper ilikuwepo tangia zamani si ingewekwa wakati anawaumba hawa mashetani ? Kuliko wenyewe kuwaacha na free spirit alafu wewe kupewa hii stopper ya kukuzuia kuasi...
Mungu yupo huru kufanya chochote anachojisikia hata kama baadhi ya logic za kibinadamu bado hazijaelewa.
 
Tena kwa mujibu wa kitabu cha ayubu shetani na mungu kuna siku huwa wanakutana na KUYAJENGA aisee..

Walimtesa Ayubu,wakaua watoto wake,mifugo yake, wakabomoa nyumba ili wampime halafu wenyewe wako kando wanapiga story...
Jamani, leo nitasoma hiki kitabu maana dah.
 
Kwahio Binadamu wamepewa a free Pass fulani ambayo Shetani Hakupewa / Hapewi ?
Mwanadamu hakufanya dhambi akiwa kwenye spirit realm bali alikuwa katika mwili hivyo chance anapewa.
Pili kwahio tunaweza kusema kwamba ukiwa Spirit umeondolewa free will (yaani ni kama zezeta Zombie) huwezi kwenda against ?
Ukiwa kwenye spirit realm unakuwa na freewill ndio maana shetani aliasi. Sisi wanadamu kwa wale watakaokuwa ndani ya Kristo Yesu wao hawataweza kuasi kwasababu watakuwa na asili ya kiungu. Kumwasi Mungu itakuwa sawasawa na kujiasi mwenyewe kitu ambacho hakiwezekani.
 
Tena kwa mujibu wa kitabu cha ayubu shetani na mungu kuna siku huwa wanakutana na KUYAJENGA aisee..

Walimtesa Ayubu,wakaua watoto wake,mifugo yake, wakabomoa nyumba ili wampime halafu wenyewe wako kando wanapiga story...
Yaani Binadamu ni Kama pawns kwenye Chess ya Wengine wakati watu wanateseka huku wenyewe wanasukuma Kete kuona mshindi ni Nani !!!

Abba walijisemea
The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear
The winner takes it all (takes it all)
The loser has to fall (has to fall)
It's simple and it's plain (it's so plain)
Why should I complain? (Why complain?)​
 
Mwanadamu hakufanya dhambi akiwa kwenye spirit realm bali alikuwa katika mwili hivyo chance anapewa.

Ukiwa kwenye spirit realm unakuwa na freewill ndio maana shetani aliasi. Sisi wanadamu kwa wale watakaokuwa ndani ya Kristo Yesu wao hawataweza kuasi kwasababu watakuwa na asili ya kiungu. Kumwasi Mungu itakuwa sawasawa na kujiasi mwenyewe kitu ambacho hakiwezekani.
Kwahio hawa ndugu zangu wengine wote watakuwa motoni (ambao sio wa kundi lako) ?

Kwahio kama hawa wadau kwa tabia zao I can not stand them huku duniani huoni kwamba hata huko takuwa kama kifungoni ? (Au what will change)....

Alijisema Gandhi..., Mahatma Gandhi — 'I like your Christ, I do not like your Christians. Your Christians are so unlike your Christ.'

Sasa huoni according to you Gandhi yupo motoni sasa si ni bora akae huko kuliko angekuwa na watu ambao kwa matendo yao / unafiki hawapendi ?
 
yaani wewe unatafuta logic katika mambo ya imani! Mungu alikuwepo, yupo, ataendelea kuwepo milele, Mungu hana mwanzo wala mwisho.
wewe kalia kutafuta logic, na hutaipata na likely hutaamini. then ukifa unakutana nae....!!!!
 
Mungu yupo huru kufanya chochote anachojisikia hata kama baadhi ya logic za kibinadamu bado hazijaelewa.
Kweli aisee kwa akili ya Kidunia viongozi wanaofanya hivyo tunawaita madikteta kwa minajili hio huenda maisha ya duniani yakawa matamu zaidi (free will)
 
Kwahio hawa ndugu zangu wengine wote watakuwa motoni (ambao sio wa kundi lako) ?
Unfortunately huu ni ukweli mchungu. Christ is the only way. Ni namna gani Mungu atadeal na wale ambao hawajawahi kusikia injili? Hilo tumuachie Mungu mwenyewe ingawa hints zinaonesha atatumia conscience zao.
Kwahio kama hawa wadau kwa tabia zao I can not stand them huku duniani huoni kwamba hata huko takuwa kama kifungoni ? (Au what will change)....

Alijisema Gandhi..., Mahatma Gandhi — 'I like your Christ, I do not like your Christians. Your Christians are so unlike your Christ.'

Sasa huoni according to you Gandhi yupo motoni sasa si ni bora akae huko kuliko angekuwa na watu ambao kwa matendo yao / unafiki hawapendi ?
Those were not true christians. Kuwa mkristo sio jina bali ni christ likeness.
 
Msamaha upo kwa binadamu, kutokana na hali alizonazo binadamu, ambazo ni:-
(1) Kutokujua ukweli ( ignorance).
(2) Udhaifu wa mwili( ubinadamu).
(3)Kukosekana kwa uelewa kamili ( uelewa wa binadamu unatofautiana kutokana na sababu mbalimbali,( Mfano: umri, elimu, nk).
 
Naona Mungu sio muumba wa vyote, shetani alijiumba mwenyewe ndio maana Mungu kashindwa kumuangamiza. Hebu kwa kuwa umesema tutumie logic, God is omnipotent and benevolent. Is a contradict ion, He cannot be both. The presence of Satan is a sign that God is not omnipotent.
 
Tafuta upate uhondo ila inabidi uamini yupo ili ukimkosa kusiwe na kupoteza kuliko kuacha kumuamini ukamkuta...😅😅😅😅
Mimi issue sio kumkuta au kumkosa.., hilo naweza kuishi nalo issue ni jinsi watu wanavyoamini kwamba huyu anaweza kuamua chochote wakati wowote anakisirani na akiamua kudeal na wewe unawekwa kwenye moto ambao haujawahi kuuona, na cha kufanya asubuhi mpaka jioni ni kusifia tuuuu..., Sasa hao wakusifia tu huku tunawaita chawa (kwahio naogopa nisijekuwa chawa)
 
Maisha ya kwenye ulimwengu wa roho ukiwa ndani ya Kristo ni matamu sana.
kwako wewe sawa ila kwa mwingine ambaye hakubaliani na mawazo yako huoni kumchoma moto wa milele ni kumuonea ?
 
Back
Top Bottom