Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Umewahi kuiona harufu au hisia? Vipi unaweza kuyaona mawazo?
Kuna sense zaidi ya macho..., harufu unanusa, sauti unasikia, upepo una-ufeel au kuona impact yake (na sio wewe tu wote waliopo pale kwa wakati husika wataona impact na kufeel huo upepo , i.e kuwapuliza) Tofauti na imani wewe unaweza ukaona kiini macho (karata tatu ukadhani hio karata ni nyekundu) kumbe ni trick of the mind wengine hawataona hivyo kama wewe...

Kuona mawazo ni kutokana na zao la mawazo yako ambayo pia tunaweza tukayapima kutokana na proof / known facts at the time....,
 
Ndiyo hivyo bible inasema yeye ndiye aliyetuumba na hakuna chanzo kingine cha binaadam kilicho na mashiko kuzidi creation theory
Kwamba authenticity ya Bible inakubaliwa na every living being hapa duniani kwamba ndio ukweli ?

Ni vigumu kutumia Katiba ya Kenya kuwahukumu watu wa Korea..., ila nimempa huyu mtoa mada loophole kwa kutumia Katiba yake kuonyesha kwanini ni Haki / Sawa wao kutokusamehana hence kutuumiza sisi wakati sisi tunafundishwa kusamehe..., Hizi Double Standard kama zipo na kuna uwezekano wa kubadilika ningeomba katika sala zetu tuongeze na hili Ombi la kubadilisha hilo au kuwaomba wakae mezani
 
Kwahio hawa malaika wenyewe hawakuzaliwa mara ya Pili ? Au hio Option ilikuwa haipo Na kama hii lock / stopper ilikuwepo tangia zamani si ingewekwa wakati anawaumba hawa mashetani ? Kuliko wenyewe kuwaacha na free spirit alafu wewe kupewa hii stopper ya kukuzuia kuasi...

Nadhani kwenye Kangaroo Court ningeweza kusema hapo Shetani alipewa a Raw Deal...
Ili uelewe vizuri concept ya kuzaliwa mara ya pili nakupa mfano huu,
Kampuni X ikitengeneza bidhaa fulani na baada ya kutumika ikawa na kasoro fulani kampuni huitisha bidhaa hiyo na kuifanyia marekebisho kabla ya kurudi sokoni ikiwa kamili.
Kuzaliwa mara ya pili ni baada ya uzao wa kwanza kutokea dhambini,hivyo Kwa upendo Mungu anatupa nafasi ya upendeleo,ili kutenda sawasawa na makusudi yake
 
Kwamba authenticity ya Bible inakubaliwa na every living being hapa duniani kwamba ndio ukweli ?

Ni vigumu kutumia Katiba ya Kenya kuwahukumu watu wa Korea..., ila nimempa huyu mtoa mada loophole kwa kutumia Katiba yake kuonyesha kwanini ni Haki / Sawa wao kutokusamehana hence kutuumiza sisi wakati sisi tunafundishwa kusamehe..., Hizi Double Standard kama zipo na kuna uwezekano wa kubadilika ningeomba katika sala zetu tuongeze na hili Ombi la kubadilisha hilo au kuwaomba wakae mezani
😅😅😅 kama mrusi na m-ukraine......😅😅
 
Kwamba authenticity ya Bible inakubaliwa na every living being hapa duniani kwamba ndio ukweli ?

Ni vigumu kutumia Katiba ya Kenya kuwahukumu watu wa Korea..., ila nimempa huyu mtoa mada loophole kwa kutumia Katiba yake kuonyesha kwanini ni Haki / Sawa wao kutokusamehana hence kutuumiza sisi wakati sisi tunafundishwa kusamehe..., Hizi Double Standard kama zipo na kuna uwezekano wa kubadilika ningeomba katika sala zetu tuongeze na hili Ombi la kubadilisha hilo au kuwaomba wakae mezani
Msamaha unatolewa pale ambapo mkosaji atakiri kuwa alikosea,na kujutia kosa alilolifanya,infact ibilisi hajawahi kujutia kosa alilolifanya la kujilinganisha na Muumba wake hivyo hastahili msamaha
 
Msamaha unatolewa pale ambapo mkosaji atakiri kuwa alikosea,na kujutia kosa alilolifanya,infact ibilisi hajawahi kujutia kosa alilolifanya la kujilinganisha na Muumba wake hivyo hastahili msamaha
Kwahio siku akiomba msamaha hata baada ya kupigwa moto huko karne kadhaa msamaha utatoka kama vile wafungwa wanavyopewa msamaha na baada ya muda huenda wakaasi tena kwahio ni mwendo wa kukimbizana bila mwisho

Na kweli unadhani kitu superior kweli ni kama mimi na wewe tusubiri hadi kuombwa msamaha ndio tukubali (yaani usipoomba msamaha nakuonyesha au utanikoma) hio mbona ni kama hulka ya binadamu tena ambao sio wastaarabu
 
Hili suala tulijadili kwa Logic..!

Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.

Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.

Na Je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.

Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani ?

NB:
Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili ( na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency...!
Kwanza hakuna Vita baina ya Shetani na Mungu, na Shetani ni kiumbe Kimeumbwa kama viumbe vingine tu. Shetani yeye amemuomba mungu apewe uhai mpaka siku ya mwisho na amekubaliwa.

Pili sisi Binadamu na Majini(shetani) tumeumbwa na free will, tunaweza amua tunachotaka ikiwemo ku asi, Mwenyez Mungu ametupa choice hivyo tunaweza chagua tunachotaka. Kuna vitu mwenyewe Mwenyez Mungu amepromise kuna madhambi madogo atasamehe hata kama hujaomba msamaha na kuna madhambi makubwa ambayo hayasemehe mpaka uombe msamaha, hizi ni Guidelines ambazo mwenyewe ameziweka,
 
Kwahio siku akiomba msamaha hata baada ya kupigwa moto huko karne kadhaa msamaha utatoka kama vile wafungwa wanavyopewa msamaha na baada ya muda huenda wakaasi tena kwahio ni mwendo wa kukimbizana bila mwisho
Ego!!Kumbuka shetani alishawishi 1/3 ya malaika kule mbinguni na wakamfuata,kwake yeye hawezi kwenda kurudi kunyenyekea aache ufalme wake na waasi wenzake
Ila Mungu atamuonyesha kwamba yeye ni Muumba wa yote na vyote
 
Hakuna mwanadamu ambaye anapoletewa habari za Kristo na wokovu wake ambaye moyo wake hautaguswa. Ni kwamba watu wanaamua tu kukataa kuupokea wokovu.
Kama ambavyo wewe umeletewa habari za mtume muhammad na ukazipinga ndivyo hali ilivyo na sisi kuhusu Yesu wako
 
Kwanza hakuna Vita baina ya Shetani na Mungu, na Shetani ni kiumbe Kimeumbwa kama viumbe vingine tu. Shetani yeye amemuomba mungu apewe uhai mpaka siku ya mwisho na amekubaliwa.
Kwahio Mungu kampa uhai mpaka siku ya mwisho ili aendelee kusumbua wengine, na wakati anamuumba hakujua / hakufahamu hii tabia yake ya usaliti au ilikuja bahati mbaya
Pili sisi Binadamu na Majini(shetani) tumeumbwa na free will, tunaweza amua tunachotaka ikiwemo ku asi, Mwenyez Mungu ametupa choice hivyo tunaweza chagua tunachotaka.
kwamba njooni kwangu niwape vitu vizuri nendeni pengine niwachome moto, hio ni free will ?
Kuna vitu mwenyewe Mwenyez Mungu amepromise kuna madhambi madogo atasamehe hata kama hujaomba msamaha na kuna madhambi makubwa ambayo hayasemehe mpaka uombe msamaha, hizi ni Guidelines ambazo mwenyewe ameziweka,
kwahio anapenda kuombwa msamaha ? Wewe kama mzazi mwanao akiwa na kiburi asipoomba msamaha unaweza kuamua kumuangamiza kabisa au utaona tu hili toto halina adabu achana nalo maisha yalinyooshe na sio kwamba utalitengea moto wa milele au lifetime punishment !!!, Sasa wewe tu Binadamu weak kama unaweza kufanya hivyo sembuse superior being ndio awe na tabia za kisirani...
 
Ndiyo hivyo bible inasema yeye ndiye aliyetuumba na hakuna chanzo kingine cha binaadam kilicho na mashiko kuzidi creation theory
Bible inasema

Hayo ni madai na ndio maana tuna maelfu ya vitabu yenye madai kama hayo yanayopingana yenyewe kwa ye yenyewe
 
Tafuta upate uhondo ila inabidi uamini yupo ili ukimkosa kusiwe na kupoteza kuliko kuacha kumuamini ukamkuta...😅😅😅😅
Hivi ķitabu cha Ayubu ndo the book of job? Maana nina bible ya kiingereza, sijawahi kumsoma napitaga tu kumbe kuna mengi yaliendelea? Duh. Afu ni kitabu kidogo sana kukisona basi tu uvivu. Asante
 
Ego!!Kumbuka shetani alishawishi 1/3 ya malaika kule mbinguni na wakamfuata,kwake yeye hawezi kwenda kurudi kunyenyekea aache ufalme wake
Kwahio na busara zake zote hizo alianzisha vita ambavyo alijua hawezi kushinda !!!, Na ukisema hawezi unampangia na kama ni katili hivyo Mungu alikosea watu kutengeneza a defective product ?
na waasi wenzake
Ila Mungu atamuonyesha kwamba yeye ni Muumba wa yote na vyote
Sasa huko Kuonyeshana ni ujasiri au weakness ?
 
Hivi ķitabu cha Ayubu ndo the book of job? Maana nina bible ya kiingereza, sijawahi kumsoma napitaga tu kumbe kuna mengi yaliendelea? Duh. Afu ni kitabu kidogo sana kukisona basi tu uvivu. Asante
Ndiyo ni kifupi tu...
 
Ili uelewe vizuri concept ya kuzaliwa mara ya pili nakupa mfano huu,
Kampuni X ikitengeneza bidhaa fulani na baada ya kutumika ikawa na kasoro fulani kampuni huitisha bidhaa hiyo na kuifanyia marekebisho kabla ya kurudi sokoni ikiwa kamili.
Kuzaliwa mara ya pili ni baada ya uzao wa kwanza kutokea dhambini,hivyo Kwa upendo Mungu anatupa nafasi ya upendeleo,ili kutenda sawasawa na makusudi yake
Wakati anatengeneza uzao wa kwanza hakujua kwamba upo defective ? Na kwa mtaji huo mbona u-defective bado upo ?, Na kuwa defective ni kutokumfuata ? Ni kama CCM iseme watanzania wote wasiotufuata sisi sio Watanzania (huoni hapo kuna walakini)?
 
Kwanza hakuna Vita baina ya Shetani na Mungu, na Shetani ni kiumbe Kimeumbwa kama viumbe vingine tu. Shetani yeye amemuomba mungu apewe uhai mpaka siku ya mwisho na amekubaliwa.

Pili sisi Binadamu na Majini(shetani) tumeumbwa na free will, tunaweza amua tunachotaka ikiwemo ku asi, Mwenyez Mungu ametupa choice hivyo tunaweza chagua tunachotaka. Kuna vitu mwenyewe Mwenyez Mungu amepromise kuna madhambi madogo atasamehe hata kama hujaomba msamaha na kuna madhambi makubwa ambayo hayasemehe mpaka uombe msamaha, hizi ni Guidelines ambazo mwenyewe ameziweka,
Freewill kusema binadamu ana uhuru wa kuchagua kufanya jambo lolote bado naiona ina ukakasi.

Katika utawala wa Mungu mjuzi wa yote, aliyejua kila kitu kabla hata hakijatokea, na katika kujua kwake hakutoi chance ya kitu kwenda vinginevyo basi dhana ya free will inabaki kuwa paradox

Katika jicho la kiutu, tunaweza feel some freedon kwenye choices zetu lakini uhalisia ni kwamba tuna experiece illusion

Kwasababu freewill inatakiwa iwe na options nyingi zinazowezekana, sasa Mungu kama aliona leo waziri wa uingereza atajiuzulu maana yake hiyo ishakuwa fixed hakuna option nyingine
 
Back
Top Bottom