baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Nchi gani mkuu imesaidiwa na Israel ikatoboa? Ila zipo Nchi kibao Zimesaidiwa na Palestina na zipo vyema...Sema Nyerere angekuwa na ushirikiano wa kidiplomasia na Israeli, tungekuwa mbali sana na wangetusaidia kwenye vita vya Kagera maana Amin aliwateka Wayahudi kabla ya operation Entebbe.
Kiufupi kuwaunga mkono Palestine, Nyerere akizingua sana. Ndo maana tuko hivi mpaka Leo.
Mfano mzuri Chille, Walienda Wapalestina kule wame integrate na Society wameinua Uchumi na ku innovate mambo mengi wakati huo.
The Economic Influence of Palestinians in Chile
Wapalestina Hao hao wamezisaidia Nchi za Gulf hadi unaziona leo zimeendelea, Zamani waarabu wengi walikua wafanyabiashara hao wa gulf, hawajui lolote kuhusu vitu kama Diplomasia na Uongozi wakatake advantage ya hio conflict na ku poach talent za Palestina ambao wengi ni Wasomi.