Kwanini Mwalimu Nyerere, pamoja kupewa PhD 23, tuzo lukuki, usomi na weledi vyake hakuwahi wala kupenda kuitwa daktari? Je, aliogopa au hakujua?

Malizia: Masikini akiokota.........................
 
Nilipenda Nyerere alivyopenda tuitane kwa 'title' za "ndugu".
Mfano, Ndg. Mshana; tosha kabisa. Zaidi ya hilo, mtu akitaka aitwe tofauti basi ana hali ya majitutumuzi, majivuno, kiburi, kujiinua, udhaifu, uoga, n.k.
 
Huu uongo wa wapi?
Kwa nini unakimbilia kuita kitu uongo wakati jambo hulijui?

Unajua etymology ya neno daktari?

Neno hilo maana yake halisi ni mwalimu, waliitwa walimu katika vyuo vya kufundishia uganga vya Warumi.

doc·tor
Origin

Middle English (in the senses ‘learned person’ and ‘Doctor of the Church’): via Old French from Latin doctor ‘teacher’ (from docere ‘teach’).
 
Sijui kitu pekee nachojua kuhusu Mchongameno ni Alifeli kwanzia kuongoza taifa hadi familia yake
 
Bado sema tena kwa hio walimu wakuu wote wanazibua mishipa ya damu? Wengine hata Chemistry hajui ni nini kasoma arts mwanzo mwisho umamuita Dokta labda Dokta shika

Dada yangu mwalimu ila hata ukichomwa na mwiba hawezi kukufanyia immediately surgery ndio daktari huyo?
 
Kwani Dodoma ikiwa ndani ya Tanzania ni lazima Tanzania yote iwe Dodoma?

Logical non sequitur fallacy.

Umefuatilia etymology ya neno niliyokuwekea?

Unaelewa hata etymology ni nini?
 
Kwani Dodoma ikiwa ndani ya Tanzania ni lazima Tanzania yote iwe Dodoma?

Logical non sequitur fallacy.

Umefuatilia etymology ya neno niliyokuwekea?

Unaelewa hata etymology ni nini?
Eti-Mo-ology ndio naelewa
 
Ati daktari stive nyerere hivi maduduna ya kiafrika yanaona fahari kuitwa daktari huku hayana imoact yoyote kidunia? Akina Elon hawataki hata udaktari wa heshima lakini mamvo wanayofanya ni makubwa.
Type vizuri bhasi.
Mantiki yako nzuri ila typing yako sasa aaaaaagh!!!!
 
Choice ya mtu au ni ulimbikeni wa watanzania? Watu wanang'ang'ania title wakati kichwani hamna kitu. Kama ni uanasheria usomi wake unaonekana kwa kazi unazofanya. Engineer hivyo hivyo. Siku hizi hata mashangingi yamejipa title ya udaktari
 
Nyerere alikuwa anaelewa tofauti ya shahada za kupewa na shahada za kusomea.

Mtu yeyote mwenye kuheshimu taalama ataepuka kutumia titles [za kitaaluma] za kupewa.
Ukishaikubali title za kupewa umekubali kununuliwa, tayari hiyo heshima uliyopewa bure inakuwa ndio bei yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…