Mazingaombwe huwezi kuyafanyia hospitali!Hana ubavu huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazingaombwe huwezi kuyafanyia hospitali!Hana ubavu huo
Umenena vema kabisa. Kiroho ni kitu kinatakikiwa kielezeke pia. Mbona mambo mengi kama kupaa kwa Yesu au kuingia kwake kwenye nyumba iliyofungwa milango vinaelezeka kwa quantum physics? Quantum tunnelling, superposition n.k. Yesu aliwasahihisha Wayahudi kuhusu amri iliyo kuu, akasema pia mpende Mungu kwa AKILI ZAKO ZOTE. A blind faith is something next to ignorance.Kiroho ni Nini si tushawakataza kutumia hili Chaka la kujifichia
Lakini ifike mahali hata mamlaka za nchi zitafute namna ya kukomesha huu wizi wa kujificha kwenye kichaka cha dini. Maana watu wameona kichaka hicho hakuna mkono wa dola unaweza kuwafikia kwa hiyo wanawatapeli watu kwa raha zao!Umesema vyema
Maku kabisaAtawapanga saa ngapi? Hivi kweli mnaamini yanayoendelea pale? Pale kuna wanaopangwa, wenye hisia, na wanaopona kwa kudra za mwenyezi Mungu.
Watu wote wasiotembea pale wana magongo, nataka waonyeshe mmoja kaja na wheel chair, akainuka na kutembea.
Wa Africa ni watu wa hovyo sana, sio kwamba Mungu haponyi, anaponya, ila hawa manabii ni waganga wa kienyeji watupu.
Wakina Mama sawa, nashangaa kweli mwanaume na Makende yale mawili anashabikia ule ujinga pale, ajabu ajabu sana
Sio tu kuwatapeli Hela mpaka uke anatapeli Bata yuleYule ni tapeli na kakutana na wanawake wengi wajinga anawatapeli hadi nauli
Halafu sa hz nasikia mafuta yake ndio wanatumia kuendea kwa mpalangeAfu nani anunie mafuta?
Maku kabisa
Hata ukitukana matusi yote unayoyajua,huwezi kuubadili ukweli uliopo,kuna watu wanapona shida zao kwa Mwamposya,tena shida zilizowasumbua kwa miaka mingi,wakati nyinyi wenye kiburi cha uzima mnaendelea kupikiana majungu,waacheni wenye shida zao waendelee,kufunguliwa.Mtaji wa hawa matapeli wa kidini ni ujinga, upumbavu na hofu ya wafuasi wake, mwamposa ni tapeli full stop
UmeshindaIshu za spirit hizo, huwezi kunywa tu
😅Hee hayo mambo ya quantum physics na yesu hebu niache mi simo hukuUmenena vema kabisa. Kiroho ni kitu kinatakikiwa kielezeke pia. Mbona mambo mengi kama kupaa kwa Yesu au kuingia kwake kwenye nyumba iliyofungwa milango vinaelezeka kwa quantum physics? Quantum tunnelling, superposition n.k. Yesu aliwasahihisha Wayahudi kuhusu amri iliyo kuu, akasema pia mpende Mungu kwa AKILI ZAKO ZOTE. A blind faith is something next to ignorance.
Sio wewe mkuu Hawa matapeli kwa ujumla wao siwakubali kabisa binafsiNimekuwa Maku tena?
Sio wewe mkuu Hawa matapeli kwa ujumla wao siwakubali kabisa binafsi
Danganya hao hao wapumbavu, wote hawa ni matapeli wanao ride kwenye mtaji wa ujinga, mama kauza vijichapati vyake, tapeli hili linaenda na kumfagia huyu mama, tapeli mwingine anayejiita bushiri no 1,amekua fugitive kwa raping cases na ponzi schemes, kama yupo safi why akimbie kesi zake?Hata ukitukana matusi yote unayoyajua,huwezi kuubadili ukweli uliopo,kuna watu wanapona shida zao kwa Mwamposya,tena shida zilizowasumbua kwa miaka mingi,wakati nyinyi wenye kiburi cha uzima mnaendelea kupikiana majungu,waacheni wenye shida zao waendelee,kufunguliwa.
Julize pia kwann ma bank yasiwafuate watu vijiwen au ktk biashara zao na kuwa tunzia pesa zao ...Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Dini imevamiwa na matapeli.Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Mbna benk huwa zinawafuata watumishi kuwahimiza wakakope?Julize pia kwann ma bank yasiwafuate watu vijiwen au ktk biashara zao na kuwa tunzia pesa zao ...
Kwani hazifati...mbona unaongea upuuzi...mabank hayafati watu mtaani maofisini kujitangaza?... umezingua kichizi Bora ungetumia mfano wa daktari hapa umebugiJulize pia kwann ma bank yasiwafuate watu vijiwen au ktk biashara zao na kuwa tunzia pesa zao ...