Bora hao "wanaume na ndevu zao" kuliko mazombi yanasema serikali inaupiga mwingi wakayi majizi ya CAG report yanatamba masaki na nyie maskini mnaoiba chakula ili muweze kuiomna kesho mnafungwa miaka 15-20/
Kwahy mtu ni mlemavu kweli, au yupo hospitali ana kansa afu unasema hawezi kupona kisa hana imani.? Ww pia ni ndeziKama hawana Imani wataponaje sasa
sio kwa Mwamposa tu Mungu anaweza kukutumia hata wewe kuwaponya. anayeponya ni MunguUna uhakika wale wagonjwa wa cancer walioko pale ocean road hospital wakipelekwa Kwa mwamposa watapona
kuna watu wengine wanaumwa kwa sababu Mungu ametaka wapitie hayo. hivyo hata wakiombewa hawawezi kupona ndio maana japo Yesu aliomba sana kikombe kimuepuke haikuwa hivyo kwani ilikuwa ni lazima apitie hayo ili aweze kukamilisha unabiiKumbe yesu baadhi ya magonjwa kwake ni ngoma nzito??? Sasa mbona huwa wanasema anaweza yote??
kila kitu hutokea kwakusudi maalum. Wengine wapo hospitalini wanavuna walichopanda. hivyo ni vigumu kumzuia mkulimakuvuna alichopanda/Hapo kwenye sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi? So Mungu wake ana limits
ππππππππnimecheka zaidi ya dakika3 daaaah!!!Apostle kuna mtu anasema huna ubavu huku.
kuna watu wengine wanaumwa kwa sababu Mungu ametaka wapitie hayo. hivyo hata wakiombewa hawawezi kupona ndio maana japo Yesu aliomba sana kikombe kimuepuke haikuwa hivyo kwani ilikuwa ni lazima apitie hayo ili aweze kukamilisha unabii
Imani unaipimaje?Kama hawana Imani wataponaje sasa
Kipimo Cha Imani kinaitwa ACDS ,Yesu ni Mungu, mwamposa ni mwanadamu.Imani unaipimaje?
"Hapa ndio kichaka cha wajiitao wa imani,
Yesu alimfufua Lazaro, akiwa maiti! Hapa imani yake ungeijua vipi? Rudi shule bro!
Mgeni ataingiaje ndani asipofunguliwa mlangoKwahy mtu ni mlemavu kweli, au yupo hospitali ana kansa afu unasema hawezi kupona kisa hana imani.? Ww pia ni ndezi
Wamwite daktariWagonjwa wako na iman sana
Mgonjwa ndie umfuata daktariMtu anaokuwa mgonjwa ndio anakuwa na imani zaidi..Wachungaji wa aina ile ni wezi tu
Ile ni kanuni na Sio Imani.dokta akikupa dawa yamaralia uwenaimani naye usiwe naimani naye utapona tuuπππ
So unanipangia Mimi au?Wewe huamini kama yupo nashangaa hapa unasema yupo. [emoji1787]
Ulimuona wapi?
πππ Mkiwa mnajibu maswali ka haya msiingizie hekaya Kama majibuKwanini YESU hakwenda Mahospitali kuponya wagonjwa?
Dhaumuni la mahubiri na miujiza ya uponyaji si kuponya mwili bali kuponya roho, muujiza wa uponyaji hutokea ili watu wwamwamini YESU KRISTO kuwa bwana na mwokozi na ni Mungu.
Soma biblia utaona Yesu alimfufua Lazaro na watu wakamwamini na kusema "hakika huyu ni mwana wa Mungu".
Yusu alimponya kipofu tge same thing!
Hospitali hata ukipona utakufa tu.
Lazaro aliyefufuliwa baadae naye alikufa.
Mdogo wangu Salary Slip tafuta mtoto wa mafundisho pale St Joseph atakufunza haya.
Jamani msitumie hekayaNi vizuri mkipunguza dhihaka Kwa watumishi wa Mungu, ni wapi uliomuona Yesu akiingia hospital kuponya wagonjwa! Isipo kuwa, weshida.ndio walimwendea!!
Sasa ukisema hivi..kwamba kila kitu ni god's plan which is ultimately good...huoni kuwa unaruhusu jambo lolote... baya au zuri. Kwa kisingizio hicho hata mtoto akizaliwa na cancer utasema ni vizurikuna watu wengine wanaumwa kwa sababu Mungu ametaka wapitie hayo. hivyo hata wakiombewa hawawezi kupona ndio maana japo Yesu aliomba sana kikombe kimuepuke haikuwa hivyo kwani ilikuwa ni lazima apitie hayo ili aweze kukamilisha unabii
Waafrika au wagalatia?Wa Africa tuna share Shana ujinga[emoji57]
Na mtoto mwenye miaka miwili ..mwenye cancer ya damu...kafanya nini...au dhambi za kula tunda kina Adam...bana acheni kutetea mateso in the name of god is good sijui kama Mungu wako yupo kubali kwamba Kuna watu anawatesa kupitiliza na Kuna wengine wanafurahi all their lyf..na najua utaleta mambo ya after death cjui mwenye cancer ataenda mbinguni asa why umtese..why usimwumbe kabisa...kwani kakuomba etckila kitu hutokea kwakusudi maalum. Wengine wapo hospitalini wanavuna walichopanda. hivyo ni vigumu kumzuia mkulimakuvuna alichopanda/
God wins anyways yaaniWatumishi uchwara watatumia hii statement, watakwambia mwanzoni kuwa hakuna jambo linaloshindikana kwa maombi
Wakishindwa kukuponya watajificha kivuli chako kama ulivosema hapo βkuna watu wengine β¦β¦.β
Na pia unakanusha maelezo ya wenzio huko kuwa lazima mtu awe na imani ndo apone, so it means hata akiwa na imani kali akatoroka hospitali anaweza asipone sababu Mungu anataka huyo mtu aendelee kuteseka