INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Samahani kidogo Kuna kaneno hapo umekataja MANABII unabii unaupata vp I mean ukisoma Sana au unagewa na papaKama hawataki kuyajua maandiko kwa nini wasiyajue kwa kulipishwa Hela,manabii wapo sawa kuwauzia uponyaji watu