Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Ila ukumbuke kunawatu wamepona kupitia mwamposa,ila kwakua sisi hayajatugusa TUNAROPOKA TU

Siku yakikukuta utakuja kutoa ushuhuda,

Nimeshuhudia watu zaidi ya wanne Mmoja ni mama angu,kama huna interaction na mambo ya mitaani huwez jua

Ukikaa vijiwe vyako ni jf,insta,tik talk unahisi unaifahamu sana dunia
Mama yako alikuwa anaumwa nini kwanza utujulishe. Pili je hakuwahi kwenda hospitali kupata dawa? Acheni kuabudu wajasiriamali wa biblia wanaochanganya na uchawi wa Nigeria
 
Kama Mwamposa ana uwezo wa kuponya angeponya tu wagonjwa bila hiyo CONDITION ya imani.

Huwezi kuniambia wale watu wote Ocean Road waliolala hawana imani hata kidogo.
Sehemu ambayo kifo kipo karibu imani haikosekani. Watu wanaomba hata kimoyomoyo watoke hapo kitandani. Ye aende tu.
 
Mama yako alikuwa anaumwa nini kwanza utujulishe. Pili je hakuwahi kwenda hospitali kupata dawa? Acheni kuabudu wajasiriamali wa biblia wanaochanganya na uchawi wa Nigeria
Mkuu kama uchawi upo basi na miujiza ipo.
 
Mkuu kama uchawi upo basi na miujiza ipo.
Bora umemwambie kijana,usijifanye unajua kumbe hujui

Kama mtu hujaguswa na matatizo utawaona wale ni wapumbavu

Kama ni rahisi aanzishe kanisa lake ajaze kama ataweza
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mama yako alikuwa anaumwa nini kwanza utujulishe. Pili je hakuwahi kwenda hospitali kupata dawa? Acheni kuabudu wajasiriamali wa biblia wanaochanganya na uchawi wa Nigeria
Unanihoji tena,kifupi kunamdogo angu alikua anasoma kidato Cha 4,Kila akienda kufanya mitihani ya Moko,annual macho yalikua hayaoni, akitoka anaona

Alipewa maji tena na mtu wa mitaani tu akanawa kichwa na USO Hadi leo Yuko form 6

Ndo mana nimekujibu,kama hujawai kutwa na matatizo,utadhihaki sana,

Ila siku yakikukuta,utapewa ad kinyesi kuwa ni dawa na utaamini
 
Bora umemwambie kijana,usijifanye unajua kumbe hujui

Kama mtu hujaguswa na matatizo utawaona wale ni wapumbavu

Kama ni rahisi aanzishe kanisa lake ajaze kama ataweza
Ila point ya kwenda mahospitalini ni ya muhimu. Kule kuna uhitaji.
 
Mwamposa anadili na mambo ya Giza,
Ila point ya kwenda mahospitalini ni ya muhimu. Kule kuna uhitaji.
Sasa unaumwa malaria wakati si mambo ya giza.mahospitali kunamda unaumwa madaktari wanakwambia jiongeze,nenda kienyeji

Mwamposa anadili na mambo ya Giza,sio magonjwa ya kawaida
 
Mgonjwa ndie umfuata mganga
Kwani wagonjwa wanamfuata nyumbani kwake??? Si ni huyo nabii anazunguka mikoani kutafuta wenye matatizo?? Ujinga tu huu.

Laiti kama angekuwa anapita kutoa huduma bure hapo kweli ningeamini huyo ni mtumishi wa Bwana, sasa mshenzi anapita kuuza mafuta, udongo, maji halafu anajipigia mihela tu kwani BWANA si aliwakataza akina Petro wasipokee chochote maana karama za uponyaji wamepewa bure????. Endeleeni kudanganyika.

NB. Wengi watakuja kwa jina langu nao watawapoteza wengi
 
Bora umemwambie kijana,usijifanye unajua kumbe hujui

Kama mtu hujaguswa na matatizo utawaona wale ni wapumbavu

Kama ni rahisi aanzishe kanisa lake ajaze kama ataweza
Ni wapumbavu tu na mateka wa kisaikolijia
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Bila thaka ngufu thake ni mathabahuni na kwa wathu wa Chaguo lake thuu.
 
Atawapanga saa ngapi? Hivi kweli manaamini anaamini yanayoendelea pale? Pale kuna wanaopangwa, wenye hisia, na wanaopona kwa kudra za mwenyezi Mungu.

Watu wote wasiotembea pale wana magongo, nataka waonyeshe mmoja kaja na wheel chair, akainuka na kutembea.

Wa Africa ni watu wa hovyo sana, sio kwamba Mungu haponyi, anaponya, ila hawa manabii ni waganga wa kienyeji watupu.

Wakina Mama sawa, nashangaa kweli mwanaume na Makende yale mawili anashabikia ule ujinga pale, ajabu ajabu sana
Poleee
 
1. Story ya Yesu kwenye gospels tu 4 Kuna tofauti as if ni story nne from different ppo na ndani ya hizo story Kuna contradictions pia
2. Kuna dini zaidi ya buku na each religion Ina madhehebu yake...
3. Mungu angekuwa anatokea watu na yupo mahali kote kila mahali kungekuwa na mtume mwenye neno moja dini moja na Mungu angekuwa na sifa moja...ila tunachoona ni kila mtu kuja na fikra zake na kumuita Mungu coz we can't prove otherwise..ndo maana kila kukicha watu wa dini wanapingana kuhusu biblia Quran na Mungu kiujumla

Mkuu nasikia kuna dini nyingine nyingi tu zaidi ya hizi mbili ambazo zinatumia Bible na Quran, hizo dini nyingine zinatumia vitabu gani?
 
Back
Top Bottom