Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
yuko vizuriSio yeye ila anafanana nae 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yuko vizuriSio yeye ila anafanana nae 😂😂
Hapo wamezingua big time.Ifike muda serikali ikemee hawa wajinga, kutwa tunahangaika na wagonjwa wa afya ya akili sababu ya watu kama hawa, neno lako moja linaweza kumuharibia mwingine maisha yake,
Shame!
Hii ni kweli.Kama haujui 30ys mwanamke ndio anakuwa mtamu balaa
Leo nakuunga mkono mwalimu.Sio sawa. Acheni kudharirisha dada na wadogo zetu. Hiyo ni kauli mbaya sana.
Ebo! Yaani mwanamke kasema kuwa 30+sio wakuoa. Ama kweli kawasagia kunguni wanawake wenzie.Hata Anna tibaijujka amesema hilo so hamna jipya hapo
Taaluma haihalalishi kutamka upuuzi.mwanasaikolojia.
Kwani wanasikia basiEbo! Yaani mwanamke kasema kuwa 30+sio wakuoa. Ama kweli kawasagia kunguni wanawake wenzie.
Ila ameongea ukweli. Mwanamke kama una miaka 27 hujaolewa aloohh wee nenda kawe sista tuu usituaumbue na "mwanaume tafuta hela" 🤣🤣🤣as🤣
Kama kashaharibika akiwa hapo je akifika hiyo 30s atakuwaje,Ila hivi vitu siku hizi unweza ukakuta binti,18-25 ila machine imechakazwa kama kama mabus ya mwendokasi kila siku trip.Japo ndio akiwa mbichi ndio anakunjika vizuri, ila siku hizi hata hao wabichi washaharibika hawakunjiki.
dah!View attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Unaweza ukakuta body count ya mwenye 30yrs ni ndogo kuliko kwenye 18-25,ndio maana nikasema haya haya tabiriki kabisa kwa hiki kizazi chetu cha sasa cha wanawake,jamii yetu maadili yameshuka kwa kila rika.Kama kashaharibika akiwa hapo je akifika hiyo 30s atakuwaje,
Wanakomaa na makomwe yao 🤣🤣🤣🤣Kwani wanasikia basi
Huyo ni MahaliaHapana mkuu
Ukweli unauma sana ila hamna jinsi kuukabili. Anyway, he got your attentionIfike muda serikali ikemee hawa wajinga, kutwa tunahangaika na wagonjwa wa afya ya akili sababu ya watu kama hawa, neno lako moja linaweza kumuharibia mwingine maisha yake,
Shame!
Kwa kiasi kikubwa wanawake wanaolewa kupata life security. Wakijipata ndani ya ndoa wanadai talaka au kuua mume ili waishi kwa uhuru. Wapo baadhi wanaotoka kwenye familia za kitajiri wao huolewa sababu ya social pressure. Ni asilimia ndogo sana ya wanawake wenye uwezo wanaolewa sababu ya upendo wa kweli.Kumbe wanaolewa sababu ya umasikini