ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kama ni pumba kwanini nisicheke🤤Vicheko vimezidi kila😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni pumba kwanini nisicheke🤤Vicheko vimezidi kila😆😆😆
😆😆😆 Ata kwenye point wacheka tu 😛Kama ni pumba kwanini nisicheke🤤
Njoo nikuwowe basi nimependa hips zako30 bado kipenzi
Siku zikiisha Je? 😅😅😅😅Njoo nikuwowe basi nimependa hips zako
Sii unakuwa replaced na mwenye hips mwengine...ndio raha ya mwanaume kuwa nanhela yaani wee unakula totoz nzuri nzuri tuu🤣🤣🤣🤣Siku zikiisha Je? 😅😅😅😅
Kichwa chako😅😅Sii unakuwa replaced na mwenye hips mwengine...ndio raha ya mwanaume kuwa nanhela yaani wee unakula totoz nzuri nzuri tuu🤣🤣🤣🤣
Walijua madogo wa 2000 watakua kama wao tu kuwa watachelewa kufanya mapenz hawajui kuwa madog wa sas wanafanya ngono wakiwa na umri mdog mnoo 😄jamaa anawapiga za utosi haswa
lakini na hawa mabinti walikuwa wapi siku zote wanakuja kushituka madogo wa 2000 wanarauka
Aaaah Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN OKW umehamia huku tena?View attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Kuolewa sio lazima kabisa lakini ishu utakuja kuzaa mtoto ambaye utamkosesha haki ya kulelewa na wazazi wawili .Mwanamke akiwa na kazi ya kumpatia pesa/kipato kuolewa siyo lazima.
Siku hizi mwanaume na mwanamke wanalelea watoto vizuri pasipo ndoa.Kuolewa sio lazima kabisa lakini ishu utakuja kuzaa mtoto ambaye utamkosesha haki ya kulelewa na wazazi wawili .
Wanaojitambua ni wale hawana mambo ya ndoa wala hawana watoto.
Sio mfumo sahihi , kuna matatizo mengi sana ..Wanaishi matumatu bila ya ndoa.Siku hizi mwanaume na mwanamke wanalelea watoto vizuri pasipo ndoa.
Ndio mkuu ajuza kabisaKwani nawe age go?
Kabisa, hii sio sawa hata kidogo.....Sio sawa. Acheni kudharirisha dada na wadogo zetu. Hiyo ni kauli mbaya sana.