Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

Wanawake mpo huru kufanya mtakavyo na wanaume wapo huru kuhukumu watakavyo
Wanawake wakiwa kwenye ubora wao wanajiona wana haki ya kuwahukumu kikatili wanaume ambao hawajajipata, ila sasa wakifika kwenye declining stage na wao wakianza kuhukumiwa kikatili ndo wanajifanya victims
 
yes sir! ngoja nizidi kuiongeza THAMANI yangu na kutunza RASILIMALI zangu.
Huo ndo mpango mzima. Achana na upumbavu wa kutaka kumridhisha mwanamke, jipeni kipaumbele mwenyewe.

Tafuta hela ili uishi vizuri na kugharamia malezi ya watoto wako kwa ukamilifu sio kwa ajiri ya kumuhudumia mwanamke.

Mwanamke aridhiki na kama ni malaya atakucheat tu. Wale wanawake waliotombwa na Baltasar kuna mpaka wake wa mawaziri, unafikiri nini ambacho wamekikosa kwa waume zao?

A woman is liability, trouble maker and chaotic. Don't take them serious
 
I second you in every post
Nina ka single maza hapa natafuna mdogo mdogo tu wala sina haraka..
Sasa kinachonifurahisha na kunitia huzuni ni kwamba kananiimbia nyimbo za ndoa,, mara kwenda kukalipia mahari na mambo kibao tu..
Sasa Mama yake amekuwa akikauliza eti huyo mwanaume ana pesa? Kanasema ndiyo.
Kwake pazuri? Kanasema ndiyo.
Una uhakika biashara hizo ni za kwake?
Kanasema ndiyo.. Japo huwa wanaongea kikabila chao kitutsi lakini naelewa vizuri tu maana nasikia sana ila kujibu ndio siwezi..
Sasa mimi nabaki na huzuni tu yaani mama mtu haoni shoti aliyo nayo binti yake
Ila anaweka standards kwa mwanae as if she deserves those merits..

Nipo zangu kimya tu binti hajui nachowaza kuhusu future yangu..
Kiukweli niseme wazi tu kama kuna sehemu nitafika kwaajili ya kufunga ndoa basi sitakuwa mimi huyu labda mzimu wangu..

Ndoa ni kasheshe fulani hivi ambayo mwanaume utakuwa unawindwa ukalishwe mwanzo mwisho, uporwe kile ulichonacho iwe kwa maneno matamu kutoka kwa mkeo au kupitia loopholes zilizopo kwenye mkataba wa ndoa.

Nachofanya kwa sasa ni kuzaa na wanawake tofauti tofauti hata kumi.
Baadae nikusanye watoto wangu niwaweke kwenye kambi yao
Na kwenye baadhi ya miradi yangu..
Suala la ndoa libaki kwenye masikio ya wengine..
Mimi kwasasa natumia mfumo wa sogea tuishi ukichoka huu mfumo unaruhusiwa kutafuta Simp atakae funga ndoa na sherehe kubwa juu huku maex zako wakiwa ni robo ya ukumbi.
Sitaki habari za ndoa haijalishi nimekukuta bikra au una mtoto au watoto..
Njoo tuishi kawaida mapenzi yakiisha chagua msela mwingine kutoka kwenye phonebook yako kapendane nae tena maana najua naishi na wewe na wao umewabeba kwenye simu yako..
Women think is ok to manipulate a man and take advantage of his loyalty, kindness and resources, but they can't tolerate it if another woman do that to her brother or son.

Uyo mama anaetaka kujua standard ya mwanaume anaedate na binti yake nina uhakika kabisa hawezi kuruhusu mwanae wa kiume aoe single mother.

HAta siku moja usidanganyike na maoni ya wanawake. Haya masuala ya past doesn't matter, accept her as she is, kitanda hakizai haramu n.k watakuambia wewe ukubaliane nayo lakini situation hizi zikitokea kwa kaka zao au watoto wa kiume watazipiga vita kali sana. As a man you deserve the same level of respect women demand for their brothers and sons
 
Back
Top Bottom