Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

Wanawake mpo huru kufanya mtakavyo na wanaume wapo huru kuhukumu watakavyo
Wanawake wakiwa kwenye ubora wao wanajiona wana haki ya kuwahukumu kikatili wanaume ambao hawajajipata, ila sasa wakifika kwenye declining stage na wao wakianza kuhukumiwa kikatili ndo wanajifanya victims
 
yes sir! ngoja nizidi kuiongeza THAMANI yangu na kutunza RASILIMALI zangu.
Huo ndo mpango mzima. Achana na upumbavu wa kutaka kumridhisha mwanamke, jipeni kipaumbele mwenyewe.

Tafuta hela ili uishi vizuri na kugharamia malezi ya watoto wako kwa ukamilifu sio kwa ajiri ya kumuhudumia mwanamke.

Mwanamke aridhiki na kama ni malaya atakucheat tu. Wale wanawake waliotombwa na Baltasar kuna mpaka wake wa mawaziri, unafikiri nini ambacho wamekikosa kwa waume zao?

A woman is liability, trouble maker and chaotic. Don't take them serious
 
Women think is ok to manipulate a man and take advantage of his loyalty, kindness and resources, but they can't tolerate it if another woman do that to her brother or son.

Uyo mama anaetaka kujua standard ya mwanaume anaedate na binti yake nina uhakika kabisa hawezi kuruhusu mwanae wa kiume aoe single mother.

HAta siku moja usidanganyike na maoni ya wanawake. Haya masuala ya past doesn't matter, accept her as she is, kitanda hakizai haramu n.k watakuambia wewe ukubaliane nayo lakini situation hizi zikitokea kwa kaka zao au watoto wa kiume watazipiga vita kali sana. As a man you deserve the same level of respect women demand for their brothers and sons
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…