Mkuu wewe ndio mshamba, Sisi Tanzania tuna lugha mbili za taifa Kiswahili na Kiingereza sasa kama mtu kaamua kutumia lugha moja wapo wewe unachukia ujue una shida...Wengi wao washamba tu mkuu..
Nimewahi kufatilia soka la ufaransa,
Mchezaji mgeni asiyejuwa kifaransa,, anahojiwa kwa kifaransa,,halafu mkalimani anatafsiri.
Mfano under herera mchezaji wa PSG akihojiwa anahojiwa kwa kifaransa,,na mkalimani anatafsiri kwa kispaniola.
Hapa kwetu ushamba na ujuwaji unatusumbuwa...
Kuongea kingereza ndy utaonekana mwandishi mzuri,,mbobezi.
Muda bado upo ras simba anapokea wanafunzi
Wewe ngeli unaweza kuongea sentensi 10 za kueleweka?Umande ukwepe wewe lawama uwatupie wengine.
Naweza nisiweze kuongea sentensi 10 za kueleweka ila siwezi kushindwa kuelewa sentensi 10 za Kiingereza.Wewe ngeli unaweza kuongea sentensi 10 za kueleweka?
Hivi mkuu,, unaweza ukatamba mbele za watu kwamba kingereza ni lugha ya taifa?Mkuu wewe ndio mshamba, Sisi Tanzania tuna lugha mbili za taifa Kiswahili na Kiingereza sasa kama mtu kaamua kutumia lugha moja wapo wewe unachukia ujue una shida...
Shule gani za serikali zinatumia kingereza?Duh...mbona mgumu kuelewa wewe? Rwanda wana lugha za taifa tatu , kinyarwanda, french na english, maana yake ni kwamba hizo ndio lugha zilizorasimishwa na haimaanishi kuwa wanyarwandwa wote wanazijua lugha zote kwa ufasaha.
Hapa hoja ni lugha kurasimishwa kuwa lugha ya taifa.Kama ina waongeaji wachache hilo ni suala lingine ndugu.
Kingereza kimerasimishwa kuwa lugha ya taifa ndio maana kinatumika mashuleni, vyuoni, mikataba, interview, n.k
Hoja ya kusema kwa kwa vile waongeaji wengi hawaongei kiufasaha basi hiyo sio lugha ya taifa hiyo ni hoja mfu. Nasisitiza tena hoja ni kurasimishwa, hivi lugha amabayo haijarasimishwa inaweza kutumika mashuleni, vyuoni?
Shule gani za serikali zinatumia kingereza?Duh...mbona mgumu kuelewa wewe? Rwanda wana lugha za taifa tatu , kinyarwanda, french na english, maana yake ni kwamba hizo ndio lugha zilizorasimishwa na haimaanishi kuwa wanyarwandwa wote wanazijua lugha zote kwa ufasaha.
Hapa hoja ni lugha kurasimishwa kuwa lugha ya taifa.Kama ina waongeaji wachache hilo ni suala lingine ndugu.
Kingereza kimerasimishwa kuwa lugha ya taifa ndio maana kinatumika mashuleni, vyuoni, mikataba, interview, n.k
Hoja ya kusema kwa kwa vile waongeaji wengi hawaongei kiufasaha basi hiyo sio lugha ya taifa hiyo ni hoja mfu. Nasisitiza tena hoja ni kurasimishwa, hivi lugha amabayo haijarasimishwa inaweza kutumika mashuleni, vyuoni?
Ha ha shule gani hiyo mnafundishwa kiswahili we jamaa au unaongelea darasa la kwanza mpaka la saba... na vipi kuanzia form one mpaka chuo mnasoma kiswahili pia. nendeni kwa Ras Simba kama mliishia la saba.Hivi mkuu,, unaweza ukatamba mbele za watu kwamba kingereza ni lugha ya taifa?
Wakati shule tunafundishwa kwa kiswahili?
Wewe hamnazo kabisa.
Olympio shule ya serikali na wanafundishwa kiingereza, hiyo 99% kama hawajui kiingereza ni uzembe wao tu kwa sababu sekondary zote zinafundisha kwa lugha ya kiingereza.Shule gani za serikali zinatumia kingereza?
-- kuanzia std 3 hadi std 7? English ni somo kama masomo mengine.
Na sio lugha ya kufundishia mashuleni..utasemaje lugha ya taifa?
Unasema kingereza lugha ya taifa wakati 99% hawajuwi kuongea.
Mkuu tunasafari ndefu sana.Olympio shule ya serikali na wanafundishwa kiingereza, hiyo 99% kama hawajui kiingereza ni uzembe wao tu kwa sababu sekondary zote zinafundisha kwa lugha ya kiingereza.
Labuda ni mtangazaji wa wazungu! Nisemeje Sasa!?Habari wanajamvi,
Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala hafafanui walichozungumza wakati anajua wazi lugha ya taifa ya Bongo ni kiswahili.
Je, washibiki waliowengi wanafaidika kweli kujua makocha wao wanatoa maoni gani? Mi nadhani wajifunze kwa BBC Swahili bwana.