mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
- Thread starter
- #21
Kule wengi wananunua gari ndio wauze gari
Ohoo hapo nmekupata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule wengi wananunua gari ndio wauze gari
Bidhaa nyingi Mwanza bei rahsi chaka la Kampala linawabeba Sana
Wasukuma hawana Njaa wala Dhiki!!
Gari za Mwanza ni bei chee kweli shida ni wamiliki wa magar huko hawajui kuyatunza
Unakuta gari mtu anatembelea vioo wazi ili aonekane na watu wakat gar ina ac inasababisha ichoke ndani mapema
Unakuta mtu hajui mambo ya kufanya service gari inakufa vipur ye yuko tu anakomaa so unashangaa gari mpya inaanza kumsumbua
Yes gari za mwanza used ni cheap but ukibahatisha ambayo haisumbui shukuru Mungu
Dsm madalali wengi sana
Tatzo unakuta gari ndio hiyo hiyo moja,Magari ya Mwanza mengi yamechoka sana ukilinganisha na ya Dar..magari yanayouzwa Mwanza yametumika Dar kisha yakauzwa huko..inasemekana 70% ya magari yanayoingizwa nchini hubaki Dar..na yanapochoka huuzwa huko mikoani
Af unakuta kila dalali kaweka laki 5 juu 😀😀😀 mwisho wa siku gari unakuta bei juu sana. Gari ya 15m kwa mwenyewe dalali unakuta analiuza 18M kumbe kuna cheni ya watu 6.Gari moja madalali sita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hio ni sababu ya kijinga kusema gari mbovu, unless useme unanunua namba A mwanza.Oh kumbe sababu ni magari yao mabovu kutokana na utunzaji mbovu. Nashukuru kwa kunielewesha.
Ingawa nina watu wangu kadhaa wamenunu mwanza na zipo very clean… nitaendelea kufuatilia kwa watu wengi zaidi ili nisije kuingizwa chaka na gari zao
Ni kawaida miji mikubwa Bei zinatofautiana na miji mingine
Sio kwa kila kitu hapana
Ila upande wa magari Bei huwa kubwa kwa sababu ya madalali na vipato vikubwa pia vinachangia
Hapa nilipo magari huwa yapo juu ila nikienda nje ya mji sana yanakuwa chini zaidi
Asante kwa kutujuza
Af unakuta kila dalali kaweka laki 5 juu [emoji3][emoji3][emoji3] mwisho wa siku gari unakuta bei juu sana. Gari ya 15m kwa mwenyewe dalali unakuta analiuza 18M kumbe kuna cheni ya watu 6.
Kingine gari ukiipata direct kwa mmiliki inakuwa bei chee sana. Wanachofanya Dar kuna ile wanaita kulenga, dalali anainunua gari kwa tajiri lets say kwa 8m-9m kisha anauza 11m.Habari za asubuhi wakuu.
Kwa muda kidogo nimekua nikifanya utafiti mdogo wa madalali wauzaji wa magari instagram na social media nyingine.
Kuna kitu nimegundua nikaona nijadiliane nipate majibu sahihi.
Nimeona madalali wa mwanza wanauza gari kwa bei rahisi sana ukilinganisha na wa Dar es Salaam (kwa gari zenye specificationa sawa)
Mfano
Toyota crown
mwanza nakuta nyingi average milion 8 (zinaanza 7m mpaka 10m hivi) ila dar es salaam average milion 11 (zinaanzia 10m mpaka 13m)
Toyota mark x
Mwanza around 5.5m mpaka 7m, ila Dar es salaam around 8m mpaka 11m
Toyota kluger
Mwanza 9m mpaka 14m.. ila Dar es salaam 14 mpaka 18
Toyota harrier tako la nyani
Mwanza 14m mpaka 18m
Dar 16 - 22m
Sasa ndugu zangu naomba kujua sababu ya utofauti huu mkubwa wa bei! Je madalali wa Dar ni kwamba wanapiga cha juu kingi au watu wa mwanza wana pesa sana ndio sababu wanauza bei ndogo?
Maana nimeshawishika kidogo kununua harrier kwa hawa jamaa wa Mwanza maana bei zao kitonga sana.
Nawasilisha
Unauliza Viuno Congo DR?Hahahah wana pesa sana nasikia
Madalali wahuni sanaHahhahah alafu wanakwambia, AC mpaka unaganda, chuma anaisukuma mwanamke wa kihindi anataka kurudi kwao fasta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hio ni sababu ya kijinga kusema gari mbovu, unless useme unanunua namba A mwanza.
Ila kama utanunua gari DZL leo hii Mwanza lazma utaikuta iko in clean condition. Mwanza watu wana hela ya kubadili magari so hawana tamaa. Ni jamii tu ya watu wa kule.
Kingine gari ukiipata direct kwa mmiliki inakuwa bei chee sana. Wanachofanya Dar kuna ile wanaita kulenga, dalali anainunua gari kwa tajiri lets say kwa 8m-9m kisha anauza 11m.
Sasa wakiongezeka madalali wenzie lazma waongeze cha juu ndio unakuta gari inafika 12.5m
Unauliza Viuno Congo DR?