wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
magari mengi ya Mwanza ni ya wachimba dhahabu wa kutoka kahama,geita na nyamongo, watu wa kule huwa wanashindana kubadili magari hivyo huwa wanauza kwa madalali wa mwanza kwa bei cheap ili wakanunue magari mapya