mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
- Thread starter
- #101
Wengine ni matapeli,
Anakutamanisha na Bei rahisi ila gari iko mikoani ili ukikolea anakuambia tuma hela ya mafuta uletewe Dar.
Mkuu mtu unaanzaje kutuma pesa? Mimi gari naifuata mwenyewe na naikagua mwenyewe. Tunamalizana hapo nasepa nayo
Kutuma pesa kwa mtu usiemjua unataka lawama tu